Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hadi wanataka kumfukuza ila wanaojadili ngono wanawaona wako timamu vichwani.Mada pendwa bungeni hapo
Hoja za mpina hawazitaki
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi wanataka kumfukuza ila wanaojadili ngono wanawaona wako timamu vichwani.Mada pendwa bungeni hapo
Hoja za mpina hawazitaki
Ova
Duuuh Mimi tena?Hajanivutia
Nimesema Hajanivutia sasa inakuaje wewe?Duuuh Mimi tena?
Huja au haja?Nimesema Hajanivutia sasa inakuaje wewe?
Yale ma covid yenu yameolewa? Naona misuli inakutoka kwenye suala la Jesca kuolewa.Huyo Luvanda yuko wapi , na kwanini Jesca asimtaje ila Umtaje wewe ?
IrudieHuja au haja?
[emoji848]Magufuli alituweza kweli kutujazia vilaza na makahaba ndani ya Bunge,aibu kubwa sana hii
Ila umemaliza kuandika uzi kikuda sana.🤣🤣🤣🤣🤣Mbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
View attachment 2889716
😆😆 Nisamehe mkuu , sikudhamiria , ni mzuka tuIla umemaliza kuandika uzi kikuda sana.🤣🤣🤣🤣🤣
Tom boy?Atoe hendo ya mumewe kwenye insta na tweeter.
Watu wansema hivyo kutokana na matendo yake.
HujanivutiaIrudie
Siku ingine umpe heshima yake mkuu wangu.Haya mambo ya kuoa au kuolewa ni changamoto. Ila Jesca ni mpambanaji na ana akili.Shida anashinda na akina nani?Corrupted big-girl.😆😆 Nisamehe mkuu , sikudhamiria , ni mzuka tu
Yamejaa majitu majinga haswaKweli lile bunge halina maana kabisa.
NI aibu tupuBunge la wapumbavu chawa wa mwendazake.
Unakandwa weweHujanivutia