Mbunge awachana bungeni wanaodai hajaolewa

Mbunge awachana bungeni wanaodai hajaolewa

Mbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .

Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la

Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni

View attachment 2889716
Ila umemaliza kuandika uzi kikuda sana.🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom