Mbunge awachana bungeni wanaodai hajaolewa

Mbunge awachana bungeni wanaodai hajaolewa

Sasa hapo wajinga ni hao wahuni au wajinga ni wananchi ?
Kwa Umoja wetu wengi wetu ni wajinga..... Mtu anaona kabisa hiki sio sawa ...lakini Kwa kulinda tumbo na kusubiri teuzi anajivalisha mawani ya mbao...... Wengine mpaka maofisini tumeshapewa majina mabaya na pande tumechaguliwa .... Nchi ya hovyo sana.... Uchawa, unafiki, undumilakuwili ndio umetamalaki....
 
Kwa Umoja wetu wengi wetu ni wajinga..... Mtu anaona kabisa hiki sio sawa ...lakini Kwa kulinda tumbo na kusubiri teuzi anajivalisha mawani ya mbao...... Wengine mpaka maofisini tumeshapewa majina mabaya na pande tumechaguliwa .... Nchi ya hovyo sana.... Uchawa, unafiki, undumilakuwili ndio umetamalaki....
Tufanye nini ili kuondokana na ujinga?
 
bunge la shujaa wako alilowaachia?
Nyerere aliwaachia UJAMAA/KUJITEGEMEA na AZIMIO la Arusha wakaua vyote.

Iweje washindwe kuua bunge la mtu aliyekufa ?

Acha kujitoa ufahamu bwashee, hilo ni bunge pendwa la mama Abdul lipo kwa maslahi ya wezi na mafisadi na sio kwa maslahi ya wananchi.
 
Nyerere aliwaachia UJAMAA/KUJITEGEMEA na AZIMIO la Arusha wakaua vyote.

Iweje washindwe kuua bunge la mtu aliyekufa ?

Acha kujitoa ufahamu bwashee, hilo ni bunge pendwa la mama Abdul lipo kwa maslahi ya wezi na mafisadi na sio kwa maslahi ya wananchi.
Simkubali Mama Abdul , ila kwenye huu upuuzi mtamuonea kabisa engineers wa ule upuuzi wa October 28 , 2020 ni Jiwe , wakurugenzi na vyombo vya ulinzi na usalama vyote na mitandao ya simu.

Waliokuwepo Tanzania walikiri hata jumuiya za kimataifa na waangalizi wa uchaguzi walikiri irregularities kubwa kuwahi tokea tangu chaguzi za vyama vingi .

Unaitaje uchaguzi watu wanaingia vituo vya kupigia kura na mabegi yaliyojaa kura zilizopigwa tayari na mawakala wa vyama vya upinzani wakikamatwa siku moja kabla na wengine siku yenyewe ya tukio.

Hii iko documented Magufuli hasafishiki kwa hilo tukio la October 28, 2020.
IMG_20201028_173703.jpg
images (36).jpeg
 
Mbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .

Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la

Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni

View attachment 2889716
Aliolewa akaachika . Kwahiyo ni divorced
 
Back
Top Bottom