johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
MwalimuLuvanda huyu wa kwenye mambo ya usafirishaji au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MwalimuLuvanda huyu wa kwenye mambo ya usafirishaji au
Simjui itakua hana profile kubwaMwalimu
Huyu si alishawahi laumu vijana kwa nini hawaoi?Mbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
View attachment 2889716
Amewajaribu wangapi akaona hili ni tatizo la kijamii?Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
Wanaacha kujadili masuala ya mfumuko wa Bei za bidhaa mtaani ili kumpunguzia Mwananchi ukali wa maisha,wao wanajadili masuala binafsi ya kuoana!Mbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
View attachment 2889716
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni posho mill?
Sasa kama hajaolewa anahamsisha nguvu za kiume za nn?Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
Mume wake au bwanake?Mme wake ni mh Luvanda 🐼
Ukikua mambo hayo utayajua.Kivip mkuu
Daima bunge la chama kimoja haliwezi kuwa na sifa njemaMbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
View attachment 2889716
Bunge la JiweKweli lile bunge halina maana kabisa.
Ni jengo la vikao vya chama cha ccmTunabunge la wanaccm wasio na busara
Sasa hapa umeandika nini we andazi?Ndo mbunge pekee mpanda basi
Statute hata nyanya mkala Moja na ndoa iwe bomani
Mbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
View attachment 2889716
Mjinga sana kageuza bunge sehemu ya mipasho ya uswahilini mitaani"Ndiye mbunge pekee aliyehamasisha nguvu za kimue kwa vijana bungeni"
Tanzania ngumu hii, inaitaji mbinu mpya jameni kuimusu