CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Hao wasagaji waliwekwa na huyo huyo mwovuHata Mbowe nae kaweka wasagaji ndani ya bunge aibu kubwa sana hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wasagaji waliwekwa na huyo huyo mwovuHata Mbowe nae kaweka wasagaji ndani ya bunge aibu kubwa sana hii.
HaujanivutiaUnakandwa wewe
Watu kutwa nzima wanaongelea ngono tuYule mshenzi alituweza kweli kweli. Alijaza mijitu mijinga mijinga kama yeye bunge lote.
Kwani kuna Bunge !! Na Lina vikao!?? Au ni vikao vya majambazi !?? Na watesi wa watanzania!??Kweli lile bunge halina maana kabisa.
Ndio suala linalozingatiwa sana kila sector, we Jana hujafanya?Watu kutwa nzima wanaongelea ngono tu
Huyo Mume wake Atakuwa ana huruma sana .....Mme wake ni mh Luvanda 🐼
Wewe jamaa yaelekea ni kuwadi mzuri sana hata Steve Nyerere anasubiri.Ndio suala linalozingatiwa sana kila sector, we Jana hujafanya?
Toleo la wanawake hao liliishia Kwa Nuhu.... Hawa wanaharakati waje kuomba kufichiwa aibu!??Kamuoe basi wewe umfichie aibu,
Imeandikwa na Isaya
Kuna kipindi kitafika wanawake 7 watamfuata Mwanaume mmoja alafu watakwambia tutakufanyia kila kitu Ila tu utufichie aibu hii
Niwa chama ganiMbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
View attachment 2889716
Mme wake ni mh Luvanda 🐼
Ni wa ccmNiwa chama gani
Wanaadikaga "TUNASAGA NA KUKOBOA"....Ni posho mill?
Sijawahi kua kuwadiWewe jamaa yaelekea ni kuwadi mzuri sana hata Steve Nyerere anasubiri.
Nadhani la KATIBA ndio la hovyo zaidi .... Hawakujadili chochote wakala posho wakasifu wakaondoka....Mojawapo ya bunge la ovyo kuwahi kutokea tangu Dunia iumbwe.
KabisaKweli lile bunge halina maana kabisa.
Hili lingekuwa bunge la Magufuli lingekuwa limekufa mara tu baada ya Magufuli kufa.Magufuli alituweza kweli kutujazia vilaza na makahaba ndani ya Bunge,
Hivi walipita na billion ngapi hao wahuni?Hawakujadili chochote wakala posho wakasifu wakaondoka....
Sasa nani aliyemwambia hajaolewa hata kumjua hatumjui..Mbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
View attachment 2889716