Mbunge awachana bungeni wanaodai hajaolewa

Mbunge awachana bungeni wanaodai hajaolewa

Mbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .

Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la

Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni

View attachment 2889716
Niwa chama gani
 
Tatizo ni bunge refu mpaka hutafuta hoja za kutafuta
.lingekuwa fupi wasingekuwa na muda huo
 
Magufuli alituweza kweli kutujazia vilaza na makahaba ndani ya Bunge,
Hili lingekuwa bunge la Magufuli lingekuwa limekufa mara tu baada ya Magufuli kufa.

Tamka bila uoga, hili ni bunge la CCM na ni bunge pendwa la mama Abdul lipo kwa maslahi ya wezi na mafisadi na sio kwa maslahi ya wananchi.
 
Mbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .

Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la

Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni

View attachment 2889716
Sasa nani aliyemwambia hajaolewa hata kumjua hatumjui..

Hii tabia ya kutengeneza na kubuni Hoja binafsi na kuzitetea "Paranoia" Ili kupata publicity ni Ya kijinga sana..
Tubadilike unaweza kufanya kitu kizuri zaidi ya huu ukosefu wa Hoja Bungeni (UHoBu)
 
Back
Top Bottom