Mbunge CHADEMA amlipua Hayati Magufuli bungeni, asema aliua demokrasia

Mbunge CHADEMA amlipua Hayati Magufuli bungeni, asema aliua demokrasia

Huyo naye mjinga
Kama Magufuli aliminya demokrasia yeye aliwezaje kupita kuwa mbunge toka upinzani kupitia upinzani kwenye sanduku la kura?
?
Atueleze kama demokrasia Magufuli kipindi chake haikuwepo atueleze yeye alifanikiwa vipi kuwa mbunge kupitia upinzani.

Magufuli alikuwa hawara yake kuwa Magufuli alinogewa sana na penzi lake na kuamua ampe ubunge au? Alipitaje ubunge? Kama demokrasia haikuwepo ina maana na yeye yuko bunge nje ya demokrasia?.mpuuzi huyo mkubwa Aida

Huyo aliwekwa na TISS. Bara wabunge wawili tu wa upinzani, CUF na CHADEMA. Na wote wanawake
 
Ubunge alipataje kama demokrasia haikuwepo yeye kama mbunge wa upinzani?

Alikuwa hawara wa Magufuli au hawara wa mkurugenzi wa tume ya uchaguzi wakaamua kumzawadia ubunge kwa penzi alilowapa?

Je ajibu alipita kidemokrasia au alihongwa ubunge na Magufuli sababu alikuwa hawara yake?

Aliwezaje kuwa mbunge wakati demokrasia haikuwepo kipindi cha Magufuli kama anavyodai? Waandishi wa habari nendeni mkakamhoji aliingiaje bungeni na msimuogope kamhojini sana tu

Wekeni kambi kwake

Ubunge wa TISS uwe unaelewa. Halafu huyo sio CHADEMA ni CCM .
 
Yeye ndio alipitishwa na huyo anayemsema, akawageuka wenzake na akaingia Bungeni. Huyu sasa ndio mnafki mkubwa alitakiwa kuwa na aibu na kunyamaza

Nashangaa anapata wapi ujasiri. Wenzake walipinga uchaguzi yeye akakimbia kwenye uapishwaji wa Magufuli ili tu kukididimiza chama, leo kaona Magufuli hayupo kamgeuka. Mnafiki mkubwa.
 
Kwa hiyo Chadema mnalipua Makaburi tu!

Huyo sio mbunge wa CHADEMA ni CCM mjinga. Alikisaliti chama akaenda jamhuri kwenye hafla ya kumuapisha Magufuli, leo anamgeuka kponda. Uzuri chama kilishampuuza amebaki kujisemesha.
 
Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CHADEMA) amemlipua Rais Magufuli wakati akichangia hoja bungeni hii bungeni hii leo akieleza kuwa amefanya vyema kwa namna alivyoliongoza taifa tangu alivyopokea kwenye mazingira magumu mpaka hapa tulipofika hii leo.

Pia alisema Rais Samia ameweza kuimainisha jamii kuwa hata Mwanamke anaweza kuwa kiongozi kama ilivyo kwa Mwananume

Hata hivyo Aida ameeleza kuwa Rais Samia anapongezwa kwa kukuza Demokrasia lakini je aliyebomoa na kuharibu hiyo demokrasia ni nani, aliyezuia mikutano ya hadhara ni nani ambapo wabung walishangilia pale ilipoondolewa kwa kupiga makofi, hivyo ni vyema Bunge lijue linasimama wapi?

Aida amepongeza kuwa maridhiano yanayoendelea yana afya kwa Taifa ni jukumu la Bunge kufanya kazi na kusimama imara kumsaidia Mheshimiwa Rais bila unafiki

Tazama video kwa urefu:

Maridhiano at work. Only one agenda. Kufuta legacy. Both parties to the maridhiano. One agenda only.
 
Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CHADEMA) amemlipua Rais Magufuli wakati akichangia hoja bungeni hii bungeni hii leo akieleza kuwa amefanya vyema kwa namna alivyoliongoza taifa tangu alivyopokea kwenye mazingira magumu mpaka hapa tulipofika hii leo.

Pia alisema Rais Samia ameweza kuimainisha jamii kuwa hata Mwanamke anaweza kuwa kiongozi kama ilivyo kwa Mwananume

Hata hivyo Aida ameeleza kuwa Rais Samia anapongezwa kwa kukuza Demokrasia lakini je aliyebomoa na kuharibu hiyo demokrasia ni nani, aliyezuia mikutano ya hadhara ni nani ambapo wabung walishangilia pale ilipoondolewa kwa kupiga makofi, hivyo ni vyema Bunge lijue linasimama wapi?

Aida amepongeza kuwa maridhiano yanayoendelea yana afya kwa Taifa ni jukumu la Bunge kufanya kazi na kusimama imara kumsaidia Mheshimiwa Rais bila unafiki

Tazama video kwa urefu:


Ngoja waje...!
 
Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CHADEMA) amemlipua Rais Magufuli wakati akichangia hoja bungeni hii bungeni hii leo akieleza kuwa amefanya vyema kwa namna alivyoliongoza taifa tangu alivyopokea kwenye mazingira magumu mpaka hapa tulipofika hii leo.

Pia alisema Rais Samia ameweza kuimainisha jamii kuwa hata Mwanamke anaweza kuwa kiongozi kama ilivyo kwa Mwananume

Hata hivyo Aida ameeleza kuwa Rais Samia anapongezwa kwa kukuza Demokrasia lakini je aliyebomoa na kuharibu hiyo demokrasia ni nani, aliyezuia mikutano ya hadhara ni nani ambapo wabung walishangilia pale ilipoondolewa kwa kupiga makofi, hivyo ni vyema Bunge lijue linasimama wapi?

Aida amepongeza kuwa maridhiano yanayoendelea yana afya kwa Taifa ni jukumu la Bunge kufanya kazi na kusimama imara kumsaidia Mheshimiwa Rais bila unafiki

Tazama video kwa urefu:


Legacy imeguswa 🤪🤪
 
Back
Top Bottom