sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,280
- 7,930
Acha kumfananisha sugu na vitu vya ajabuuHuyu ni kama Sugu wa pale Dodoma....... Mzuka mwingi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumfananisha sugu na vitu vya ajabuuHuyu ni kama Sugu wa pale Dodoma....... Mzuka mwingi!
Alijitabiria kabisa kuna mstari unasema
" Mwanasiasa aliniomba kura baada ya miaia tano anarudi na kitambi bila kutimiza"
Chorus "Nikihaso juu juu chini ili nivuke boda wananigeukia"
Aiseee afunguliwe mashataka ya uhaini huyo.Akiwa viwanja wa Bunge nchini Kenya mbunge wa Jimbo ya Starehe Charles Njagua maarufu Kama Jaguar amekamatwa na jeshi la polisi nchini humu
Stareherles Njagua Kanyi has been arrested following xenophobic statements he made against foreigners doing business in Kenya.
The MP was nabbed by DCI detectives on Wednesday, June 26, who pounced on him outside the National AssemblyView attachment 1138961
Na dada zao wanavyotupenda [emoji23][emoji23][emoji23]Dada zenu ndio walio kuwa wana tuimiza kulalamika wa TZ wakiondoka dudu ya yuyundio wata ikosa
Na dada zao wanavyotupenda [emoji23][emoji23][emoji23]
Polisi jifunzeni kwa wakenya,msimlee MUSIBA,huyo mpuuzi musiba kuna siku atakuja kuropoka kama JAGUAR na kuleta taharuki,nawaomba polisi muanze kumchukulia hatua za kisheria kwa maneno yake ya uchochezi kabla ajaharibu hali ya hewa kimataifa.Viongozi wa Tanzania kila siku wanatukana wazungu na kuwaita mabeberu lakini hawajawahi hata kuhojiwa .
ukitaka polisi wavuliwe vyeo na kuokotwa mabwepande wamguse MusibaPolisi jifunzeni kwa wakenya,msimlee MUSIBA,huyo mpuuzi musiba kuna siku atakuja kuropoka kama JAGUAR na kuleta taharuki,nawamoba polisi muanze kumchukulia hatua za kisheria kwa maneno yake ya uchochezi kabla ajaharibu hali ya hewa kimataifa.
June 26, 2019Weka picha tafadhari
boda hii ya kuja Bongo au alikuwa anamaanisha boda za mbele mkuu???[emoji39]Aisee sasa akivuka boarder kuingia TZ anaweza tena?
Maana kashatangaza ubaya
Musiba mbona hakamatwi ?Hahahaa.... kwani Jaguar hajapigiwa kura?
Hhahahaa basi kuanzia sasa mwanaharakati akipotea tunaanza kudeal na MUSIBA Direct.ukitaka polisi wavuliwe vyeo na kuokotwa mabwepande wamguse Musiba