Mbunge Charles Njagua(Jaguar) amekamatwa akiwa eneo la Bunge kwa madai ya vitisho dhidi ya wafanyabiashara wa kigeni

Mbunge Charles Njagua(Jaguar) amekamatwa akiwa eneo la Bunge kwa madai ya vitisho dhidi ya wafanyabiashara wa kigeni

Kukamatwa na kwenda kuhojiwa ni hatua za Serikali ya Kenya kuonesha imekwazika na kauli za mbunge huyu Jaguar.

Hapa wafanyabiashara wakubwa wa Kenya pia wametahamaki na matamshi ya huyu mbunge wa Starehe, Bw. Charles Njagua.

Maana kauli za mbunge huyo kama vurugu zingetokea zingeweza kutibua / kuathiri masoko ya wafanyabiashara wakubwa waKenya zilizopo Tanzania.

Wafanyabiashara Hawkers / machinga siku zote hawawezi kusikilizwa kwa uzito uleule na serikali kama wafanyabiashara wakubwa. Hilo Charles Kanyi Njagua alikuwa halifahamu wakati anafurahisha genge mitaa ya raia wanyonge.

 
Polisi jifunzeni kwa wakenya,msimlee MUSIBA,huyo mpuuzi musiba kuna siku atakuja kuropoka kama JAGUAR na kuleta taharuki,nawaomba polisi muanze kumchukulia hatua za kisheria kwa maneno yake ya uchochezi kabla ajaharibu hali ya hewa kimataifa.
Wamkamate Musiba hawajipendi,huyo anaruhusiwa kusema lolote katika nchi hii.
 
Lusinde alisema na yeye j3 ana mkutano ataamrisha wananchi wakawabonde wakenya walioko Bongo.
Inabidi uchaguzi ujao na sisi tuhakikishe Afande Sele anaingia Mjengoni, mambo kama haya ilitakiwa ajibiwe na Afande.
 
Afadhali maana kauli yake ingetafusirika kama ni kauli ya wakenya wote kumbe ni mpumbavu mmoja
 
wakenya ni wabinafsi sana hizi kauli zao zitawatokea puani soon.
 
mimi nilishangaa wale wamama na wababa pale nyuma wakishangilia nikajua doh,kumbe kenya bado kazi ipo.
 
Mbunge wa jimbo la starehe Charles Njagua (Jaguar) amekamatwa nje ya bunge la Kenya muda huu.

Akiwa viwanja wa Bunge nchini Kenya mbunge wa Jimbo ya Starehe Charles Njagua maarufu Kama Jaguar amekamatwa na jeshi la polisi nchini humu

Stareherles Njagua Kanyi has been arrested following xenophobic statements he made against foreigners doing business in Kenya.

The MP was nabbed by DCI detectives on Wednesday, June 26, who pounced on him outside the National Assembly

----------
The youthful legislator had threatened to gather a team of youth and round up all the foreigners operating in the city, beat them up then escort them to the airport for deportation.

He was arrested for failure to present himself at the parliament police station earlier today.

His statement rocked the nation with the Tanzanian Parliament discussing the matter and ordering their President John Pombe Magufuli to issue a statement on the situation of their nationals operating businesses in Kenya.

Fellow Members of Parliament present during his arrest hurriedly jumped into their vehicles and followed the police car that Jaguar was bundled into.

On Tuesday, Foreign Affairs PS Macharia Kamau issued a statement stating that Kenya deeply regrets the careless and inciting language in public utterances made by the legislator.

He added that such aggressive and ill-tempered language goes against the spirit of Kenya’s welcoming ethos, as well as the progressive nature of the Constitution of our Republic.

"The Government of Kenya wishes to categorically distance itself from Hon. Charles Njagua’s reckless and unwelcoming statements," he clarified.

The Tanzanian State summoned the Kenyan High Commissioner to Dar es Salaam Dan Kazungu over remarks made by the Starehe MP on Wednesday morning.

"I am not referring to the 6 Chinese nationals deported earlier by the Interior CS Fred Matiang'i, but hundreds of foreigners who have come to do business in the country," retorted Jaguar.

He further gave the government an ultimatum to deal with the alleged influx of foreigners operating businesses illegally in the nation.

"I am giving the government 24 hours to deport them, if not, we will march into their business premises, we shall remove them, we shall beat them and take them to the airport. Matiang'i and the Department of Immigration's job will be to fly them back to their home countries." concluded the MP.

AT LEAST ... HE IS TO BE CHARGED
 
I like the way Danganyikans watch our TV channels with a lot of Gusto,It feels like a CNN<BBC<Al Jazeera to them,Thankyou that means business to us.
 
wakenya ni wabinafsi sana hizi kauli zao zitawatokea puani soon.

Tihahaha,Midanganyika kumbe mko delicate namna hii.wanaume nchi nzima wamelia tu kama mabinti just because of one mad man who sneezed.
 
[emoji53] Hata muongee sana juwa Jaguar ameongea sentiments za wakenya wengi,Ni venye Government inajifanya tu but ina support remarks zake,hakuna penye Jaguar atapelekwa,Wakenya wamechoka na Foreigners Wenye su Whites hio ni Fact na hata Watanzania wasipo fukuzwa Sahi,kesho ama kesho kutwa tutawafukuza tu[emoji12] [emoji16] What happened ni kuonyesha wakenya wako na feelings lakini wamekanyagia
 
Vile Jaguar imefanya ilipaswa kesho Kule kwa Mafarao tufanye japo jambo flani kubwa mno....lakini sasa.
Alisikika mlevi mmoja. 😁
 
Hahaha nilikuwa shabiki wa nyimbo zake mkubwa sana hasa ngoma yake ya kigeugeu

Aisee kumbe ndiyo yule mwanamziki?.

Iweje amejikuta anatumia ulimi wake vibaya vile wakati nyimbo zake zilikuwa ni burudani na kufundisha jamii kubwa vile?

Ama kweli ulimi ni kiungo kidogo sana, lakini ukiutumia vibaya tu, unaweza kuwasha moto mkubwa wa kiasi cha kuteketeza msitu wote wa Amazon!!
 
Back
Top Bottom