Mbunge Chato: Tunaomba ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki

Mbunge Chato: Tunaomba ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
MBUNGE wa Jimbo la Chato mkoani Geita, Dk Medard Kalemani ameomba mamlaka zinazohusika kutoa ufafanuzi wa kile kilichopelekea ndege za abiria kuacha kutua uwanja wa ndege wa Chato.

Dk Kalemani ametoa malalamiko yake mbele ya wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Geita na kueleza hali hiyo imepelekea abiria wenye uhitaji wa usafiri wa haraka kupata usumbufu kwa kukosa huduma.

Amesema uhitaji wa ndege za abiria ni mkubwa kwani tangu uwanja wa ndege Chato uanze kutumika kuna mwitikio mkubwa wa abiria kutokana na miundombinu rafiki ya uwanja na uwepo wa abiria wanaoingia na kutoka Chato.

"Nilikuwa naomba kupitia kikao hiki, hebu tushawishi mgawanyo wa ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki, kwa sababu tuna kiwanja kizuri, kikubwa, kimejemgwa kwa fedha nyingi.

Pia soma
- Mashirika ya ndege yaukimbia uwanja wa ndege Chato. Hakuna ndege yoyote inayotua tena uwanjani hapo!
 
Kweli!. Mwezi wa pili nilishindwa kupata tiketi ya ndege kupitia kiwanja cha Chato. Kwa kuwa nilitakiwa kuwa Biharamlo, nilitegemea kurudi Dar kupitia Chato kwa Air Tanzania. Haikuwa kwa sababu kwenye ratiba ya ndege za Air Tanzania kutua na kuruka kutokea Chato hakuna siku hizi. 😢
 
kipara kipya .. Njo uone matokeo ya mlichokuwa mnashupalia kipindi kile kuwa Hata CHATO iko ndani ya Tanzania hivyo kujengwa uwanja wa kimataifa hakuna shida
Tena mlienda mbali mkidai huo uwanja una umuhimu sana kwasababu unaunganisha mikoa jirani, mara Unawateja wengi sana

Hivi sa hivi mnajiskiaje mlichokuwa mna sherekea kipindi kile
 
Yaani nicheka sana 😂😂😂😂😂

Kwamba Kalemani hajui kwamba huko hakuna faida Kibiashara ndio maana ndege zimeacha Kutua?

====
MBUNGE wa Jimbo la Chato mkoani Geita, Dk Medard Kalemani ameomba mamlaka zinazohusika kutoa ufafanuzi wa kile kilichopelekea ndege za abiria kuacha kutua uwanja wa ndege wa Chato.

Dk Kalemani ametoa malalamiko yake mbele ya wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Geita na kueleza hali hiyo imepelekea abiria wenye uhitaji wa usafiri wa haraka kupata usumbufu kwa kukosa huduma.

Amesema uhitaji wa ndege za abiria ni mkubwa kwani tangu uwanja wa ndege Chato uanze kutumika kuna mwitikio mkubwa wa abiria kutokana na miundombinu rafiki ya uwanja na uwepo wa abiria wanaoingia na kutoka Chato.

"Nilikuwa naomba kupitia kikao hiki, hebu tushawishi mgawanyo wa ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki, kwa sababu tuna kiwanja kizuri, kikubwa, kimejemgwa kwa fedha nyingi.

1741176336054.png
My Take

Ndio hasara ya maamuzi ya kukurupuka,ubinafsi na ya Kisiasa bila kuzingatia uhitaji.

Chato ni mashambani mlihitaji kujengewa irrigation schemes na sio viwanja vya ndege,stendi kubwa kubwa and such nonsense.
 
Yaani nicheka sana 😂😂😂😂😂

Kwamba Kalemani hajui kwamba huko hakuna faida Kibiashara ndio maana ndege zimeacha Kutua?

Kuna biashara ipi,Madini gani au shughuli zipi za Utalii za kubutia mashirika ya ndege kwenda huko?

View: https://x.com/HabariLeo/status/1897237048974524446?t=ew7jGXiZzx_oTdEV0dvxlw&s=19

My Take
Ndio hasara ya maamuzi ya kukurupuka,ubinafsi na ya Kisiasa bila kuzingatia uhitaji.

Chato ni mashambani mlihitaji kujengewa irrigation schemes na sio viwanja vya ndege,stendi kubwa kubwa and such nonsense.

Sasa ushauri huu uelekeze na Kizimkazi
 
Yaani nicheka sana 😂😂😂😂😂

Kwamba Kalemani hajui kwamba huko hakuna faida Kibiashara ndio maana ndege zimeacha Kutua?

Kuna biashara ipi,Madini gani au shughuli zipi za Utalii za kubutia mashirika ya ndege kwenda huko?

View: https://x.com/HabariLeo/status/1897237048974524446?t=ew7jGXiZzx_oTdEV0dvxlw&s=19

My Take
Ndio hasara ya maamuzi ya kukurupuka,ubinafsi na ya Kisiasa bila kuzingatia uhitaji.

Chato ni mashambani mlihitaji kujengewa irrigation schemes na sio viwanja vya ndege,stendi kubwa kubwa and such nonsense.

Uwanja wa Ndege chato ulikuwa unawasyani wa watu wanaoshuka 20 hadi 25 na waanopanda hivyohivyo,,kwa hiyo kusema uwanja hauna maana ni uwongo
 
kipara kipya .. Njo uone matokeo ya mlichokuwa mnashupalia kipindi kile kuwa Hata CHATO iko ndani ya Tanzania hivyo kujengwa uwanja wa kimataifa hakuna shida
Tena mlienda mbali mkidai huo uwanja una umuhimu sana kwasababu unaunganisha mikoa jirani, mara Unawateja wengi sana

Hivi sa hivi mnajiskiaje mlichokuwa mna sherekea kipindi kile
Lile bwawa la nyerere na daraja busisi lisinge komaliwa vingehujumiwa!
 
MBUNGE wa Jimbo la Chato mkoani Geita, Dk Medard Kalemani ameomba mamlaka zinazohusika kutoa ufafanuzi wa kile kilichopelekea ndege za abiria kuacha kutua uwanja wa ndege wa Chato.

Dk Kalemani ametoa malalamiko yake mbele ya wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Geita na kueleza hali hiyo imepelekea abiria wenye uhitaji wa usafiri wa haraka kupata usumbufu kwa kukosa huduma.

Amesema uhitaji wa ndege za abiria ni mkubwa kwani tangu uwanja wa ndege Chato uanze kutumika kuna mwitikio mkubwa wa abiria kutokana na miundombinu rafiki ya uwanja na uwepo wa abiria wanaoingia na kutoka Chato.

"Nilikuwa naomba kupitia kikao hiki, hebu tushawishi mgawanyo wa ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki, kwa sababu tuna kiwanja kizuri, kikubwa, kimejemgwa kwa fedha nyingi.

Pia soma
- Mashirika ya ndege yaukimbia uwanja wa ndege Chato. Hakuna ndege yoyote inayotua tena uwanjani hapo!
Sababu ni kwamba aliyejijengea uwanja kwa safari zake za Chato amehama Chato.
 
Back
Top Bottom