Mbunge Chato: Tunaomba ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki

Mbunge Chato: Tunaomba ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki

biashara ya usafiri inahitaji sana zaidi wanaohitaji kusafiri kutoka eneo husika hii ni biashara na siyo siasa huwezi wasafirisha wenyeji/wakaazi wa chato kwenda sehemu ambako hawana mpango wa kwenda japo wangefurahia sana kupanda ndege kama watapata mfadhili wa kuwalipia nauli.
 
Back
Top Bottom