The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Asante mjumbe kwa kuzingatia makubalianoUle uwanja kwa sasa matumizi yake ni kuanikia mpunga tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mjumbe kwa kuzingatia makubalianoUle uwanja kwa sasa matumizi yake ni kuanikia mpunga tu.
Data za kupika chato nani apande ndege ? Mlipendelewa na aliyewapendele kafa na upendeleo wakeUwanja wa Ndege chato ulikuwa unawasyani wa watu wanaoshuka 20 hadi 25 na waanopanda hivyohivyo,,kwa hiyo kusema uwanja hauna maana ni uwongo
Mambo yatakuwa mazuri wakati Iringa kuna kiwanja kizuri tu na kinatoa huduma?Mikoa ya Singida,Iringa ,Manyara nk.
Kinachotakiwa ni kuupa miundombinu inayohitajika kuhudumia biashara.
Sio lazima ilingane na Dar lakini taratiibu mda unavyoenda mambo yatakuwa Mazuri eg uwanja wa Ndege wa Dom unaweza kutumika kuleta Watalii wa hifadhi za Ruaha,Udzungwa,Manyara,Tarangile nk so utapata tuu international flights.
Kikubwa kulíko vyote ni kuimarisha biashara na uzalishaji
Katika hao 20, 18 ni wafuasi wa JPM.Uwanja wa Ndege chato ulikuwa unawasyani wa watu wanaoshuka 20 hadi 25 na waanopanda hivyohivyo,,kwa hiyo kusema uwanja hauna maana ni uwongo
Stendi inajengwa kilometa 10 toka katikati ya mji wakati mji wenyewe ukitembea 1km umeumaliza. Sema kwa miaka 20 ijayo stendi zitakuwa zimefikiwa na mijiMaamuzi mengi huwa kisiasa kuliko uhalisia
Kaangalieni Stendi zote zilizojengwa ni magofu, ukienda pale Dodoma hadi huruma.
Kiwanja Cha Iringa sio Cha ndege kubwaMambo yatakuwa mazuri wakati Iringa kuna kiwanja kizuri tu na kinatoa huduma?
Mambo mazuri wakati Manyara imezungukwa na na KIA na Kiwanja cha Arusha ambapo kutoka pale ni karibu kwenda Babati?
Watu wenye akili za namna yako inawezekana ndo wapanga mipango huko Serikalini. Hamna akili kabisa.
Watu wanaenda na upepo wa aliyepo juu.MBUNGE wa Jimbo la Chato mkoani Geita, Dk Medard Kalemani ameomba mamlaka zinazohusika kutoa ufafanuzi wa kile kilichopelekea ndege za abiria kuacha kutua uwanja wa ndege wa Chato.
Dk Kalemani ametoa malalamiko yake mbele ya wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Geita na kueleza hali hiyo imepelekea abiria wenye uhitaji wa usafiri wa haraka kupata usumbufu kwa kukosa huduma.
Amesema uhitaji wa ndege za abiria ni mkubwa kwani tangu uwanja wa ndege Chato uanze kutumika kuna mwitikio mkubwa wa abiria kutokana na miundombinu rafiki ya uwanja na uwepo wa abiria wanaoingia na kutoka Chato.
"Nilikuwa naomba kupitia kikao hiki, hebu tushawishi mgawanyo wa ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki, kwa sababu tuna kiwanja kizuri, kikubwa, kimejemgwa kwa fedha nyingi.
Pia soma
- Mashirika ya ndege yaukimbia uwanja wa ndege Chato. Hakuna ndege yoyote inayotua tena uwanjani hapo!
Hapana,,wengi ni wafanyabaishara wa katoro/buseresere na migodi midogomifogo pamoja na watu wa TemblNickelKatika hao 20, 18 ni wafuasi wa JPM.
Chato ni Gdabolite ya bongo.Hapana,,wengi ni wafanyabaishara wa katoro/buseresere na migodi midogomifogo pamoja na watu wa TemblNickel
Ni wivu tu. Njoo utalii darajani BusisiTatizo ni akili.Mwanza inakabiliwa na shida kubwa ya Barabara harafu inajenga kadaraja Ili eti ionekane umefanya sijui kitu gani
Kwa idadi hiyo ya wasafiri, basi aerodrome ilikuwa inawatosha. Iweje unajenga Airport inayogharimu mabilioni ya pesa ilhali wasafiri hawafiki 30? Bado tuna matatizo ya kupanga na kuchagua kipi muhimu na sehemu ipi.Uwanja wa Ndege chato ulikuwa unawasyani wa watu wanaoshuka 20 hadi 25 na waanopanda hivyohivyo,,kwa hiyo kusema uwanja hauna maana ni uwongo
UONGO.Stendi inajengwa kilometa 10 toka katikati ya mji wakati mji wenyewe ukitembea 1km umeumaliza. Sema kwa miaka 20 ijayo stendi zitakuwa zimefikiwa na miji
wapewe wanajeshi tu, jamii ya huko haijiwezi kipesaKwa kuwa uwanja umekwishajengwa, itafutwe namna utumike, hata kama ni kwa kutumia Dash8. Kutokuutumia ni hasara zaidi.
Sawa uwanja wa Kimataifa si lazima uwe mkubwa sana.Dom ni Capital City no way lazima uwe na uwanja wa Kimataifa.
Hata Mikoa a jirani watatumia hasa Kwa cargo kikubwa ni kukuza shughuli za kiuchumi za watu na Mikoa ya jirani.
Pia wajenge Kumbi za Mikutano kubwa.
Mkuu hiyo Hamilton Palace siyo mali ya Hayati Robert Mugabe.Aisee haswa, yaani utaona nyani ndio wamefanya makazi huko.
Inasikitisha sana akili za waafrika pindi wakiwa madarakani
Hebu fikiria huo mji wa Mobutu kwisha habari yake
Mwingine nae ni Bob Mugabe
Alituma jamaa yake mzungu kujenga Castle UK kwa thamani ya £41 million
Mpaka leo limetelekezwa na hakuna anaeishi na ni kubwa haswa
Sasa local residents wanalalamika kwa sababu pamekuwa sehemu ya kuuzia na kuvutia Unga na bangi kwa vijana
Hebu fikiria jengo limetupwa la mamilioni
Kuna watu wana laana mpaka walikoenda
Hili hapa jengo View attachment 3259879
BIASHARA HUFUATA WATEJAvita na marehemu bado inaendelea
mafisadi hawataki ndege ziende huko
Wewe nyumbu ni muhimu kulinganisha na nini?