ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hata Hilo daraja halina ukifanya cost-benefit analysis na kujenga Barabara za km 500 hapo Mwanza.😯 unasemaje?! Daraja la Busisi halina maana hivi una wazimu?!
Ule uwanja wa ndege ndio ulikuwa hauna naana sio Dalaja.
Wewe tuliza mshono....mbunge anasema abiria wapo ndege ndio hazipo
wewe unasema eti kuna abiria wawili
unamiliki airline gani kwanza?
Kipaumbele cha Daraja ni muhimu sana hizo ferry zipelekwe sehemu nyingineHata Hilo daraja halina ukifanya cost-benefit analysis na kujenga Barabara za km 500 hapo Mwanza.
Waambie ukweli Hawa machawa!Sasa ndege ziende na watu wawili ?
Ziende kumpeleka au kumchukua nani?MBUNGE wa Jimbo la Chato mkoani Geita, Dk Medard Kalemani ameomba mamlaka zinazohusika kutoa ufafanuzi wa kile kilichopelekea ndege za abiria kuacha kutua uwanja wa ndege wa Chato.
Dk Kalemani ametoa malalamiko yake mbele ya wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Geita na kueleza hali hiyo imepelekea abiria wenye uhitaji wa usafiri wa haraka kupata usumbufu kwa kukosa huduma.
MBUNGE wa Jimbo la Chato mkoani Geita, Dk Medard Kalemani ameomba mamlaka zinazohusika kutoa ufafanuzi wa kile kilichopelekea ndege za abiria kuacha kutua uwanja wa ndege wa Chato.
Dk Kalemani ametoa malalamiko yake mbele ya wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Geita na kueleza hali hiyo imepelekea abiria wenye uhitaji wa usafiri wa haraka kupata usumbufu kwa kukosa huduma.
Amesema uhitaji wa ndege za abiria ni mkubwa kwani tangu uwanja wa ndege Chato uanze kutumika kuna mwitikio mkubwa wa abiria kutokana na miundombinu rafiki ya uwanja na uwepo wa abiria wanaoingia na kutoka Chato.
"Nilikuwa naomba kupitia kikao hiki, hebu tushawishi mgawanyo wa ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki, kwa sababu tuna kiwanja kizuri, kikubwa, kimejemgwa kwa fedha nyingi.
Pia soma
- Mashirika ya ndege yaukimbia uwanja wa ndege Chato. Hakuna ndege yoyote inayotua tena uwanjani hapo!
Ndege ni biashara, hao wanaokula nchima bhoyo na ndege wapi na wapi?!MBUNGE wa Jimbo la Chato mkoani Geita, Dk Medard Kalemani ameomba mamlaka zinazohusika kutoa ufafanuzi wa kile kilichopelekea ndege za abiria kuacha kutua uwanja wa ndege wa Chato.
Dk Kalemani ametoa malalamiko yake mbele ya wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Geita na kueleza hali hiyo imepelekea abiria wenye uhitaji wa usafiri wa haraka kupata usumbufu kwa kukosa huduma.
Amesema uhitaji wa ndege za abiria ni mkubwa kwani tangu uwanja wa ndege Chato uanze kutumika kuna mwitikio mkubwa wa abiria kutokana na miundombinu rafiki ya uwanja na uwepo wa abiria wanaoingia na kutoka Chato.
"Nilikuwa naomba kupitia kikao hiki, hebu tushawishi mgawanyo wa ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki, kwa sababu tuna kiwanja kizuri, kikubwa, kimejemgwa kwa fedha nyingi.
Pia soma
- Mashirika ya ndege yaukimbia uwanja wa ndege Chato. Hakuna ndege yoyote inayotua tena uwanjani hapo!
Kweli kila zama na kitabu chake jamaa alikuwa. Jamaa kutoka kuwa waziri wa nishati hadi kuanza kulialia. Kweli heshimu watu, zama hupita!!MBUNGE wa Jimbo la Chato mkoani Geita, Dk Medard Kalemani ameomba mamlaka zinazohusika kutoa ufafanuzi wa kile kilichopelekea ndege za abiria kuacha kutua uwanja wa ndege wa Chato.
Dk Kalemani ametoa malalamiko yake mbele ya wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Geita na kueleza hali hiyo imepelekea abiria wenye uhitaji wa usafiri wa haraka kupata usumbufu kwa kukosa huduma.
Amesema uhitaji wa ndege za abiria ni mkubwa kwani tangu uwanja wa ndege Chato uanze kutumika kuna mwitikio mkubwa wa abiria kutokana na miundombinu rafiki ya uwanja na uwepo wa abiria wanaoingia na kutoka Chato.
"Nilikuwa naomba kupitia kikao hiki, hebu tushawishi mgawanyo wa ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki, kwa sababu tuna kiwanja kizuri, kikubwa, kimejemgwa kwa fedha nyingi.
Pia soma
- Mashirika ya ndege yaukimbia uwanja wa ndege Chato. Hakuna ndege yoyote inayotua tena uwanjani hapo!
TeheteheKuna siku Moja nilienda hapo chato internation airport Kwa ajiri ya kupanda ndege na nilijionea uhitaji wa watu wengi sana kusafiri Kwa ndege
Tatizo ni akili.Mwanza inakabiliwa na shida kubwa ya Barabara harafu inajenga kadaraja Ili eti ionekane umefanya sijui kitu gani
Q400 au Dash 8 ziko wapi?
Katoro, Biharamuro, Lunzewe, Nyakanazi, Ushirombo hata Geita wanaweza kuutumia huo uwanja kufika Dar, Mbeya, SA, China, nk.
Mikoa yoote na wilaya zote zilizochangamka zilipaswa kuwa na viwanja na AirTanzania inaweza kupeleka ndege ndogo kama Q400.
Tatizo tunataka kufanya usafiri wa ndege big deal sana wakati ni usafiri wa kawaida t
MBUNGE wa Jimbo la Chato mkoani Geita, Dk Medard Kalemani ameomba mamlaka zinazohusika kutoa ufafanuzi wa kile kilichopelekea ndege za abiria kuacha kutua uwanja wa ndege wa Chato.
Dk Kalemani ametoa malalamiko yake mbele ya wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Geita na kueleza hali hiyo imepelekea abiria wenye uhitaji wa usafiri wa haraka kupata usumbufu kwa kukosa huduma.
Amesema uhitaji wa ndege za abiria ni mkubwa kwani tangu uwanja wa ndege Chato uanze kutumika kuna mwitikio mkubwa wa abiria kutokana na miundombinu rafiki ya uwanja na uwepo wa abiria wanaoingia na kutoka Chato.
"Nilikuwa naomba kupitia kikao hiki, hebu tushawishi mgawanyo wa ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki, kwa sababu tuna kiwanja kizuri, kikubwa, kimejemgwa kwa fedha nyingi.
Pia soma
- Mashirika ya ndege yaukimbia uwanja wa ndege Chato. Hakuna ndege yoyote inayotua tena uwanjani hapo!
Wala kuzingatia uwezo wa Uchumi wetu na Tija Kwa wakati hii na mda wa kati.Tukiweka siasa kando ukweli ni kuwa
Miradi mingi sana imejengwa kisiasa bila kuzingatia thamani ya pesa
Fatilia stendi, Masoko yote utalielewa
Fatilia JNIA utaelewa, kisha miaka 5 ijayo utanielewa kuhusu Msalato
SGR ilipaswa ishia Dodoma tu, Marehemu akaona isiwe kesi akaruka akaanzia Mwanza ili lolote lile lazima imalizike.Wala kuzingatia uwezo wa Uchumi wetu na Tija Kwa wakati hii na mda wa kati.
Vietnam ambayo Ina Uchumi mkubwa mara 6 ya Tanzania na watu wengi kushinda sisi ndio inajipanga kujenga Sgr,Sasa Tanzania na ufukara wake huu hizo Sgr na mamiradi mengine ya maonesho Yana faida ipi zaidi ya kuzidi kuleta hasara?