Mbunge Chato: Tunaomba ndege chache zilizopo ziwe zinatua Chato hata kama ni mara moja kwa wiki

Uwanja wa Ndege chato ulikuwa unawasyani wa watu wanaoshuka 20 hadi 25 na waanopanda hivyohivyo,,kwa hiyo kusema uwanja hauna maana ni uwongo
Data za kupika chato nani apande ndege ? Mlipendelewa na aliyewapendele kafa na upendeleo wake
 
Mambo yatakuwa mazuri wakati Iringa kuna kiwanja kizuri tu na kinatoa huduma?

Mambo mazuri wakati Manyara imezungukwa na na KIA na Kiwanja cha Arusha ambapo kutoka pale ni karibu kwenda Babati?

Watu wenye akili za namna yako inawezekana ndo wapanga mipango huko Serikalini. Hamna akili kabisa.
 
Uwanja wa Ndege chato ulikuwa unawasyani wa watu wanaoshuka 20 hadi 25 na waanopanda hivyohivyo,,kwa hiyo kusema uwanja hauna maana ni uwongo
Katika hao 20, 18 ni wafuasi wa JPM.
 
Maamuzi mengi huwa kisiasa kuliko uhalisia


Kaangalieni Stendi zote zilizojengwa ni magofu, ukienda pale Dodoma hadi huruma.
Stendi inajengwa kilometa 10 toka katikati ya mji wakati mji wenyewe ukitembea 1km umeumaliza. Sema kwa miaka 20 ijayo stendi zitakuwa zimefikiwa na miji
 
Kiwanja Cha Iringa sio Cha ndege kubwa
 
Watu wanaenda na upepo wa aliyepo juu.
Hivi yule mkuu wa TAKUKURU enzi za JPM alietaka kujenga nyumba kubwa chato hadi raisi akamwambia anajipendekeza,
Yuko wapi???
Nakumbuka alikuwa kanali wa jeshi
 
Kuna mambo mengi JPM alifanya yenye tija ila ule uwanja hapana. Alifosi. Hata ye nadhani alijua haikuwa sawa kujenga uwanja kule ila ndo hivo. Kufosi. Yaani hakuna hata basi la abiria lenye ruti ya Dar-Chato. Ila unaletewa uwanja wa ndege.

Ule uwanja ungejengwa geita mjini, ungekuwa na tija vizazi na vizazi.
 
Zitue tu kwa kumfurahisha marehehemu tahira aliyetumia mabilioni kujenga uwanja wa ndege sehemu ambayo si sahihi?
 
Uwanja wa Ndege chato ulikuwa unawasyani wa watu wanaoshuka 20 hadi 25 na waanopanda hivyohivyo,,kwa hiyo kusema uwanja hauna maana ni uwongo
Kwa idadi hiyo ya wasafiri, basi aerodrome ilikuwa inawatosha. Iweje unajenga Airport inayogharimu mabilioni ya pesa ilhali wasafiri hawafiki 30? Bado tuna matatizo ya kupanga na kuchagua kipi muhimu na sehemu ipi.
 
Stendi inajengwa kilometa 10 toka katikati ya mji wakati mji wenyewe ukitembea 1km umeumaliza. Sema kwa miaka 20 ijayo stendi zitakuwa zimefikiwa na miji
UONGO.
Msamvu iko mjini kabisa

Magufuli iko katikati kabisa ila kaangalie kule underground kuna maduka 100 hayana mteja hata 1
 
Kwa kuwa uwanja umekwishajengwa, itafutwe namna utumike, hata kama ni kwa kutumia Dash8. Kutokuutumia ni hasara zaidi.
wapewe wanajeshi tu, jamii ya huko haijiwezi kipesa
 
Dom ni Capital City no way lazima uwe na uwanja wa Kimataifa.

Hata Mikoa a jirani watatumia hasa Kwa cargo kikubwa ni kukuza shughuli za kiuchumi za watu na Mikoa ya jirani.

Pia wajenge Kumbi za Mikutano kubwa.
Sawa uwanja wa Kimataifa si lazima uwe mkubwa sana.
Sehemu kubwa ya hizi ndege za Kimataifa hubeba Wafanyabiashara
 
Mkuu hiyo Hamilton Palace siyo mali ya Hayati Robert Mugabe.
Urafiki kati ya Mugabe na Nicholas van Hoogstraten mmiliki halali wa hiyo mali hakukupi uhalali wa kusema ni mali ya Mugabe.
Kwa jinsi Mugabe alivyo kuwa amewekewa vikwazo na UK enzi za uhai wake ingetaifishwa tu.
 
Hili liwe funzo kwa viongozi, wache ubinafsi. Eti chato int'l airport
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…