Mbunge Condester Michael atimuliwa Bungeni kwa kuvaa ovyo. Spika awaagiza askari wa bunge kuwazuia getini wavaa ovyo

Mbunge Condester Michael atimuliwa Bungeni kwa kuvaa ovyo. Spika awaagiza askari wa bunge kuwazuia getini wavaa ovyo

Upuuzi tu.. Wanaacha sheria za kijinga na kandamizi zinapitishwa kwa sababu wanakomalia ujinga ujinga na mambo ya hovyo!

Mavazi yanatuhusu nini sisi?
Yaani bure kabisa,.... badala ya kupigania mambo ya msingi jinsi gani ya wapunguzia wananchi ktt kero za afya,maji,bei juu za bidhaa i.e.mafuta ya kula, cement,sukari, ajira na uwezeshaji kwenye kilimo, wenyewe ni ku concentrate kwenye vitu ambavyo ni 'so trivial' .....kaazi kwelikweli..
 
Bunge katika mwendelezo wa utawala Dume!mwanamke ana uhuru wa kuvaa chochote anachokioenda kwa siku hiyo na wanaume wasitafsiri hii kuwa she need sex!kinachotakiwa bungeni ni madini kutoka kwa Mh.Mbunge sio kavaa nini,pls my speaker tembelea bunge la SA uone,wabunge pale wengine wanavaa maovaroli na wengine kama domestic worker na kila kitu kipo safi,haya masheria ya kipuuzi futilia mbali na unyanyasaji ndani yake.
Ni kweli.
 
Kama kuna kanuni kandamizi, zibadilishwe sio zidharauliwe. Hata wanaume wamewahi kutolewa.

View attachment 1804430
Uvaaji wa mtu it got nothing na kile kinachofanyika ndani ya Bunge,wapiga kura wanataka kusikia mbunge wao anawatetea vipi sio kavaa nini,mbunge huyu aliyesababisha naye ana matatizo ya kisaikolojia ,kabla ya kuzungumzia hii issue bila shaka mind yake ilimpeleka kwenye sex
 
Bunge katika mwendelezo wa utawala Dume!mwanamke ana uhuru wa kuvaa chochote anachokioenda kwa siku hiyo na wanaume wasitafsiri hii kuwa she need sex!kinachotakiwa bungeni ni madini kutoka kwa Mh.Mbunge sio kavaa nini,pls my speaker tembelea bunge la SA uone,wabunge pale wengine wanavaa maovaroli na wengine kama domestic worker na kila kitu kipo safi,haya masheria ya kipuuzi futilia mbali na unyanyasaji ndani yake.
Umechemka sana mkuu
 
Back
Top Bottom