Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
nyie makada muwakanye kwasababu hii tabia wamejifunza huko LumumbaPameibuka tabia ya wabunge wa viti maalumu kuvaa vinyela momo( skin tight) wawapo kwenye vikao vya bunge, hii haikubaliki.
Ukivaa kimnyelala momo basi vaa gauni juu yake ili kulinda heshima na utamaduni wa kitanzania.
Ni angalizo tu.