Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,921
- 4,683
Mkuu kama umeamua mwenyewe kuwa mse*nge au shoga hainihusu mimi au serikali.Mkuu umeongelea SA kuhusu swala la ndoa including za jinsia moja wewe nani kukupa mamlaka ya kuhukumu?mimi nikiamua kuwa guy au lesbian wewe utapungukiwa na nini?bunge letu sheria hizi zimepitwa na wakati kila mtu awe huru kuvaa anachokitaka
Tatizo lina anzia pale ambapo mtu anapotaka mambo hayo yahalalishwe kisheria.