Sasa likihalarishwa kisheria wewe litakuathiri vipi?Mkuu kama umeamua mwenyewe kuwa mse*nge au shoga hainihusu mimi au serikali.
Tatizo lina anzia pale ambapo mtu anapotaka mambo hayo yahalalishwe kisheria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa likihalarishwa kisheria wewe litakuathiri vipi?Mkuu kama umeamua mwenyewe kuwa mse*nge au shoga hainihusu mimi au serikali.
Tatizo lina anzia pale ambapo mtu anapotaka mambo hayo yahalalishwe kisheria.
Waacheni wavae tu, mbona hata ninyi wengi wenu mmeiba kura - wizi na nguo fupi za kubana kipi kina nafuu..
Mfano yupi nikapande dau? manake tushatoka mashambaniWengi wapo sokoni hapo ni wewe na pesa ako
Lakini pia kumbuka huko SA ndio madalali wazuri wa sera za ushoga (LGBT) ambazo huku Tanzania ni mwiko hata kuzitamka mbele ya hadhara.Bunge katika mwendelezo wa utawala Dume! Mwanamke ana uhuru wa kuvaa chochote anachokipenda kwa siku hiyo na wanaume wasitafsiri hii kuwa she need sex! Kinachotakiwa bungeni ni madini kutoka kwa Mh. Mbunge sio kavaa nini, pls my speaker tembelea bunge la SA uone,
Mkuu nina mpango wa kuongeza mke na bahati inamuangukia huyu halima,koneksheni mkuuJaribu kumuoa Mzee H. Mdee
Yes huko SA wanazo haki za LGBT na kwingi duniani but nani aliyepewa haki ya kuhukumu wengine?kama wewe upo straight sio tatizo but why kuwe na tatizo la mtu ambaye sio straight?Lakini pia kumbuka huko SA ndio madalali wazuri wa sera za ushoga (LGBT) ambazo huku Tanzania ni mwiko hata kuzitamka mbele ya hadhara.
Mistari ya chupi wew inakutoa kwenye reli ?nyie ndio wabakajiAnatuvalia kivazi kinaonesha mistari ya chupi
Mkuu, huo mfano wangu wa sera kuhusu LGBT community ulilenga kukueleza kwamba mazingira ya siasa za SA sio sawa na huku Tanzania.Yes huko SA wanazo haki za LGBT na kwingi duniani but nani aliyepewa haki ya kuhukumu wengine?kama wewe upo straight sio tatizo but why kuwe na tatizo la mtu ambaye sio straight?
Maadili ni jambo la muhimu kuzingatiwa, hata kama unahoja nzuri kichwani, bado tunapaswa kujenga heshima na kuzinatia maadili ya jamii.Uvaaji wa mtu it got nothing na kile kinachofanyika ndani ya Bunge,wapiga kura wanataka kusikia mbunge wao anawatetea vipi sio kavaa nini,mbunge huyu aliyesababisha naye ana matatizo ya kisaikolojia ,kabla ya kuzungumzia hii issue bila shaka mind yake ilimpeleka kwenye sex
Kwani Ndugai anasemaje??Hili vazi la mbunge wa momber ni wivu tu au kuna kisa kingine wadau
Nenda kapige punyeto.Anatuvalia kivazi kinaonesha mistari ya chupi