Sawa mkuu tuna haki ya kutofautiana kwa hili but will NEVER happen Mh.Mbunge kuingia uchi!Maadili ni jambo la muhimu kuzingatiwa, hata kama unahoja nzuri kichwani, bado tunapaswa kujenga heshima na kuzinatia maadili ya jamii.
Tusitetee ukosefu wa maadili, ipo siku watu wataingia uchi na je, tutaendelea kusema ili mradi anatema madini kutoka kichwani kwake?!!!