Huoni ukiwa umevaa vazi la hijab na baibui hakuna mwanaume atakae kutamani!!!!! Lakini dada zenu mnawaachilia hovyo na vinguo vinaonyesha ndani, chupi, sidilia, mipaja yote wazi, nywele zimesimama kama mwendawazimu, kiufupi nguo mnazowaachia dada zenu/mama zenu ni aibu, na ndiomaana wana shawishika kwa wanaume na hupelekea kubakwa na kutongozwa. Hii sio sifa ya mwanaume kuwaachia dada/mama zako wakijiachia. Watu wa ajabu nyie sijapata kuona, mpo kidunia zaidi.
Wangelikuwepo wakina ottoman empire/Sultan/Eturgrul n.k mngenyooka tu.