Mbunge Condester Michael atimuliwa Bungeni kwa kuvaa ovyo. Spika awaagiza askari wa bunge kuwazuia getini wavaa ovyo

Mbunge Condester Michael atimuliwa Bungeni kwa kuvaa ovyo. Spika awaagiza askari wa bunge kuwazuia getini wavaa ovyo

CCM akili zao kama za yule Jamaa Jabu

IMG-20210531-WA0237.jpg


IMG-20210601-WA0052.jpg
 
Kwanza kwa umri wake yule mzee angemwambia hata Tulia amuonye nje ya muuongozo wa kanuni ikawa siri.Sasa binti wa watu hayo mavazi mbona SUPER! Kuna mzee mwenzie wa same mbunge anavaaga ovyo tu matiti nje hajawahi omba mwongozo.
 
Tukio la leo asubuhi , lalamiko la Mbunge wa Nyangw'ale Hussein Nassor Amar akilalamika ati Mbungwe mwenziwe Condester Minael Sichalwe kavaa visivyo, limeelezea zaidi mtoa hoja anafikiri nini huko Bungeni kuliko kile “waliomchagua” kuwawakilisha wanachokitaka toka kwake.

Tunaifahamu Dodoma, na jinsi watu wanakaa bila wake zao kwa muda mrefu, na tunafahamu imagination ile Mbunge kama huyu wa Nyang’wale anavyoweza kufadhaika kiakili pasipo na sababu.

BINTI YULE ALIVAA VIZURI KABISA.
View attachment 1805304


Tena kwa heshima kabisa, sasa sijui huyu Hussein Nassor Amar alitaka avae baibui au?
Hata picha zinaonhesha binti yuko sawa kabisa.


Mbunge wa Nyang’wale alipita ubunge kwa vigezo vipi haswa vya kutetea chama na maslahi ya nchi?
AIISEEE!

Hapo kuna jambo jingine, siyo uvaaji unaoonekana hapa!

Sasa inakuwaje na yulekilaza Spika naye anaungane na huyo mdhalilishaji wa jinsia!`

Ingependeza na picha ya huyo mbunge tukaiona, na yeye tuangalie namna ya uvaaji wake au mwonekano wake ulivyo.

Hapa kamdhalilisha mbunge mwenzake bila ya sababu kabisa.
 
WABUNGE CCM KE, MLIAMSHE KWA KUGONGA MEZA KAMA VIPI MTOKE NJE KWAKUDHALILISHWA
 
Umeona nguo aliyorudi kavaa baada ya kufukuzwa,tafuta picha uone halafu utatujibu,
Mkuu moja wa mambo magumu sana duniani ni kuishi ama kufanya kazi na MSWAHILI ndo kilichotokea
Mkuu dos. Suruali imembana, na kiblauzi kifupi. Tatizo wanajisahau sana.

Kama ni mimi nisingemtoa wala nisingemruhusu kusimama/kuongea na minguo yake ya ajabu kadamnasi, ila onyo angelipata
 
Wanajuana hao usikute huyo demu ni kicheche shanga zilikuwa nje nje
 
Umeona nguo aliyorudi kavaa baada ya kufukuzwa,tafuta picha uone halafu utatujibu,
Mkuu moja wa mambo magumu sana duniani ni kuishi ama kufanya kazi na MSWAHILI ndo kilichotokea

Binafsi sikupenda namna alivyozalilishwa. Spika Angewatangazia umati wote ndani ya bunge wavae nguo za heshima/kujisitiri.
 
Aiseee....
Kweli hii nchi ya kipuuzi......
Wakati nchi zingine wabunge wanawaweka kiti moto wasomi wa nchi watafute solution za matatizo...
Hawa kenge wetu wanaenda bungeni kuchunguzana mavazi........ Nyambafuuu kabisa..
 
Sijaona alichokosea huyu Dada nilidhani alivaa mini skirt iliyowasabishia mfadhaiko Bungeni wabunge muache kudemka Alisema Amiri jeshi wetu.
Huyo dada yuko poa sana.
Huyu mbunge Amar amesalitiwa na mifadhaiko inayowapata wabunge fulani huko Dodoma Ndani ya Mjengo.
 
Back
Top Bottom