Mbunge Condester Michael atimuliwa Bungeni kwa kuvaa ovyo. Spika awaagiza askari wa bunge kuwazuia getini wavaa ovyo

Upuuzi tu.. Wanaacha sheria za kijinga na kandamizi zinapitishwa kwa sababu wanakomalia ujinga ujinga na mambo ya hovyo!

Mavazi yanatuhusu nini sisi?
Yaani bure kabisa,.... badala ya kupigania mambo ya msingi jinsi gani ya wapunguzia wananchi ktt kero za afya,maji,bei juu za bidhaa i.e.mafuta ya kula, cement,sukari, ajira na uwezeshaji kwenye kilimo, wenyewe ni ku concentrate kwenye vitu ambavyo ni 'so trivial' .....kaazi kwelikweli..
 
Ni kweli.
 
Kama kuna kanuni kandamizi, zibadilishwe sio zidharauliwe. Hata wanaume wamewahi kutolewa.

View attachment 1804430
Uvaaji wa mtu it got nothing na kile kinachofanyika ndani ya Bunge,wapiga kura wanataka kusikia mbunge wao anawatetea vipi sio kavaa nini,mbunge huyu aliyesababisha naye ana matatizo ya kisaikolojia ,kabla ya kuzungumzia hii issue bila shaka mind yake ilimpeleka kwenye sex
 
Walioingiq Bungeni kupitia dirishani.
 
Umechemka sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…