Mbunge Condester Michael atimuliwa Bungeni kwa kuvaa ovyo. Spika awaagiza askari wa bunge kuwazuia getini wavaa ovyo

Mbunge Condester Michael atimuliwa Bungeni kwa kuvaa ovyo. Spika awaagiza askari wa bunge kuwazuia getini wavaa ovyo

Hakuwa na kitu cha kuzungumza mule ndani... C mnajua tena namna walivyoingizwa bungeni... Kudemka kunaendelea
 
Naona unaandika ukidhani kama kila mtu anajua nini kimetokea huko bunguni, eleza kiundani ikiwezekana weka na picha au video
 
Inasemekana dada alimsalimia habari za saizi dingi hakuitika alitaka aamkiwe shikamoo noma ikaanzia hapo, wengine wanasema dingi aliomba kazi akanyimwa ndio visa vikaanza
 
Wamevimbiwa na pesa za walipa kodi wa focus kwenye mambo yenye maslahi kwa taifa.
 
Ya msingi hawayafanyi kutwa kupoteza muda kwa vijembe na visasi. Nashauri wabunge walipwe mishahara usiozidi milioni 2 na allowance milioni 1 na wasilipwe kiinua mbongo, tuone kama atabaki mtu. Wabunge wetu wamekuwa mabwenyenye na miungu watu Inauma sana
 
Tukio la leo asubuhi , lalamiko la Mbunge wa Nyangw'ale Hussein Nassor Amar akilalamika ati Mbungwe mwenziwe Condester Minael Sichalwe kavaa visivyo, limeelezea zaidi mtoa hoja anafikiri nini huko Bungeni kuliko kile “waliomchagua” kuwawakilisha wanachokitaka toka kwake.

Tunaifahamu Dodoma, na jinsi watu wanakaa bila wake zao kwa muda mrefu, na tunafahamu imagination ile Mbunge kama huyu wa Nyang’wale anavyoweza kufadhaika kiakili pasipo na sababu.

BINTI YULE ALIVAA VIZURI KABISA.
View attachment 1805304


Tena kwa heshima kabisa, sasa sijui huyu Hussein Nassor Amar alitaka avae baibui au?
Hata picha zinaonhesha binti yuko sawa kabisa.


Mbunge wa Nyang’wale alipita ubunge kwa vigezo vipi haswa vya kutetea chama na maslahi ya nchi?
Kumbe bunge letu halijawa huru hivi? Mbona mdada umependekeza tu.
 
Kwa yaliyotokea leoooo
Sidhani Kama mna UMOJA wenu hili Jambo lisiachwe KIMYA

Kama mbunge anadhalilika vile.mwanamke kesho.mjiandae wengine KUDHALILIKA

LAZIMA HILI vazi LIANGALIE pande zote wapi palikuwa na SHIDA simjui nilichoona Leo n tamaaa ya mwili

Hataaa walipokuwa akitoka watu KADHAA walitoamachozi macho kama.vile.ilikuwa.planned

Mjitathimini kilichotokea leo hujui KESHO anafwata Nani

Badokulikuwa na hekima ya kujibu ataelezwa ajirekebishe then mmemaliza vikao vyenu wote.mjirishishe SHIDA wapi na kama kuna aliekosea achukuliwe hatua kinidhamu

Nguo haima shida matanio ya nafsi ndio yaliokuwa tatizo mkaekimya mtanikumbuka
Walishazoea kuwatoa nje wabunge wa CDM,sasa hivi wanatimuana wenyewe kwa wenyewe......"BUNGE LIMEPOTEZA DIRA HALINA MVUTO"
 
Hili ndilo analoweza mheshimiwa subwoofer ila kukumbatia Covid19 yeye haoni kama anavunja utaratibu kabisa 😅😅😅
 
Tukio la leo asubuhi , lalamiko la Mbunge wa Nyangw'ale Hussein Nassor Amar akilalamika ati Mbungwe mwenziwe Condester Minael Sichalwe kavaa visivyo, limeelezea zaidi mtoa hoja anafikiri nini huko Bungeni kuliko kile “waliomchagua” kuwawakilisha wanachokitaka toka kwake.

Tunaifahamu Dodoma, na jinsi watu wanakaa bila wake zao kwa muda mrefu, na tunafahamu imagination ile Mbunge kama huyu wa Nyang’wale anavyoweza kufadhaika kiakili pasipo na sababu.

BINTI YULE ALIVAA VIZURI KABISA.
View attachment 1805304


Tena kwa heshima kabisa, sasa sijui huyu Hussein Nassor Amar alitaka avae baibui au?
Hata picha zinaonhesha binti yuko sawa kabisa.


Mbunge wa Nyang’wale alipita ubunge kwa vigezo vipi haswa vya kutetea chama na maslahi ya nchi?
Huyo Mbunge mwanaume yaani kazi yake ni kuangalia wanawake walivyovaa badala ya kujali maslahi ya jimbo lake?! Yaonekana hawajali raia jimboni, kwake ni posho na kuangalia kina mama walivyovaa, jamani hizi kura tuwapigie watu mahiri na wataotujali na kuleta maendeleo bungeni na siyo ujinga huo..
 
kule nyuma inawezekana mzigo unataka kuchana turubai
 
Tukio la leo asubuhi , lalamiko la Mbunge wa Nyangw'ale Hussein Nassor Amar akilalamika ati Mbungwe mwenziwe Condester Minael Sichalwe kavaa visivyo, limeelezea zaidi mtoa hoja anafikiri nini huko Bungeni kuliko kile “waliomchagua” kuwawakilisha wanachokitaka toka kwake.

Tunaifahamu Dodoma, na jinsi watu wanakaa bila wake zao kwa muda mrefu, na tunafahamu imagination ile Mbunge kama huyu wa Nyang’wale anavyoweza kufadhaika kiakili pasipo na sababu.

BINTI YULE ALIVAA VIZURI KABISA.
View attachment 1805304


Tena kwa heshima kabisa, sasa sijui huyu Hussein Nassor Amar alitaka avae baibui au?
Hata picha zinaonhesha binti yuko sawa kabisa.


Mbunge wa Nyang’wale alipita ubunge kwa vigezo vipi haswa vya kutetea chama na maslahi ya nchi?
Wewe ndio utakua na matatizo ya akili
 
Haijakaa vizuri kabisa naona misimamo ya kidini inaletwa bungeni Islamic culture imepelekwa kwa ambaye sio muhusika eti avae nguo ndefu na baibui au ajitande, haipo sawa kabisa, pili alistahili kupewa onyo tu na sio kutolewa nje.
Sikubaliani na kitendo cha kutolewa nje huyo mbunge kwa sababu ya hilo vazi lake kwani kwenye picha inaonekana halina shida na wabunge kadhaa wanawake wamekua wakivaa mavazi kama yake

Lakini pia sikubaliani na wewe unapolaumu kwamba kuna mtu anataka kulazimisha Islamic culture, eti wabunge wanawake wajitande na wavae mabaibui! Hiyo tafsiri yako ni potofu na yenye kukera.

Si mbunge aliyetoa hoja(kwa maoni yangu kapotoka) wala spika aliyeamuru mama mbunge akabadili mavazi yake alizungumzia sababu za kidini. Tusiende huko. Hayo ni matatizo yao binafsi
 
Kwani VAZI AINA HILO linaruhusiwa na kanuni za BUNGE ?!!!!

Ama pang'ang'a tu ?!!!🤣🤣

Bungeni hata ukivaa KANZU bila ya KOTI ,KIBARAGHASHIA na MAKOBAZI unakuwa umekiuka TARATIBU ZA MAVAZI ENEO LILE ?!!!

Hivi mmemsahau Yule MBUNGE aliyemlalamikia SPIKA kuwa BABA YAKE "amenyanyaswa" kwa kuzuiwa kuingia viwanja vya bunge na SHUKA (mgololole) za kimasai ?!!!

Mh.Spika alimjibu vyema tu kuwa ni kweli KUZUIWA MZEE WAKE SI JAMBO JEMA ,ila wataangalia tena kanuni ,Kwani VAZI LA AINA HIYO halitambuliwi na SHERIA ZAO ZA MAVAZI......

Lastly ,mbunge Amar wa Nyang'wale yuko sahihi kabisa kwani ,kanuni za BUNGE ndizo zilizomtoa huyo mbunge mwanamke !!!

#KaziIendelee
Sidhani kama ni kanuni ndizo zilizomtoa. Baada ya hoja kutolewa Spika alitoa uamuzi wa kutoa bila kulisoma hilo vazi. Kwa maana hiyo alisikiliza upande moja... Uamuzi wake haukuwa wa busara.
 
Back
Top Bottom