Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Mbunge kapata pesa wapi ni swali ambalo inabidi tujiulize kabla hatujapongeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamtindo huu hata angetoa nyumba kwa kila mtu wangesikika wanaosema si angetoa pumzi tuu ili kila mtu aishi,anatoa nyumba za nini nani anashida ya nyumba[emoji38][emoji1787][emoji3]Anaacha kujenga viwanda watu wapate ajira ili wajitibu wenyewe, anatoa magari ya wagonjwa kana kwamba wakazi wote wa huko kwake ni wagonjwa!
wewe sio mpinzani bali Ni haterAnaacha kujenga viwanda watu wapate ajira ili wajitibu wenyewe, anatoa magari ya wagonjwa kana kwamba wakazi wote wa huko kwake ni wagonjwa!
Ndio anaanza kufanya mazuri sasa wakati alikuwa mbunge zaidi ya 5yrs? Huko kwake kuna kata ngapi ili tujue Idadi ya magari aliyonunua.
Jimbo lake lina kata ngapi bwashee? Fedha amepata wapi za kununulia hayo magari kwa kata zote?Mbunge wa Same Magharibi Mh David Mathayo amekabidhi magari ya wagonjwa kwa kila kata katika jimbo lake.
Mathayo amesema magari hayo imara sana ameyanunua yeye mwenyewe ili kuwasaidia wapiga kura wake na hasa akina mama ukizingatia Same ni eneo lenye milima.
Chanzo: Upendo TV
Maendeleo hayana vyama!
Kata za Jimbo la Same Magharibi ni hizi hapa:Jimbo lake lina kata ngapi bwashee? Fedha amepata wapi za kununulia hayo magari kwa kata zote?
Jimbo lina kata zaidi ya 10 bwashee!Jimbo lake lina kata ngapi bwashee? Fedha amepata wapi za kununulia hayo magari kwa kata zote?
Aisee gari 20 za wagonjwa sio fedha ya kitoto,aweke wazi alipopata pesa ili wengine nao wajifunze(Kama ni msaaada au michango ya wananchi).Kata za Jimbo la Same Magharibi ni hizi hapa:
1.Bangalala
2.Chome.
3.Gavao Saweni
4.Hedaru
5.Kisiwani
6.Kisima
7.Makanya
8.Mabilioni
9.Mshewa
10.Mhezi
11.Msindo
12.Mwembe
13.Same Mjini
14.Ruvu
15.Njoro
16.Suji
17.Stesheni
18.Tae
19.Vudee
20.Vumari.
Anaacha kujenga viwanda watu wapate ajira ili wajitibu wenyewe, anatoa magari ya wagonjwa kana kwamba wakazi wote wa huko kwake ni wagonjwa!
Atuhakikishie na mafuta atakuwa anajaza yeye sio siku una mgonjwa Wa kupeleka hosp unaambiwa weka mafuta ta 20000= ,wakati boda ni 3000\=Anaacha kujenga viwanda watu wapate ajira ili wajitibu wenyewe, anatoa magari ya wagonjwa kana kwamba wakazi wote wa huko kwake ni wagonjwa!
Huyu hajamaa alishatiliwaga mashaka na takakuu(takukuru) akahojiwa sijui alichomokaje,Babaye slishawahi kuwa prime minister, sishangai mtoto kumiliki sandarusi ya mahera.Aisee gari 20 za wagonjwa sio fedha ya kitoto,aweke wazi alipopata pesa ili wengine nao wajifunze(Kama ni msaaada au michango ya wananchi).
Wasipotembea na camera, wauza magazeti na waandishi wa habari watalala njaa, maana camera ndio ugali waoDuh! Kumridhisha mwanadamu ni kazi sana
Pongezi kwa mbunge. Japo sivutiwi na tabia yao ya kutembea na camera.
Ni zaidi ya hater, sijawahi kuwa na mahaba na majizi ya kura na mamwaga damu.wewe sio mpinzani bali Ni hater
mathayo ni bilionea ana likampuni la kukodisha mitambo ya ujenzi.Aisee gari 20 za wagonjwa sio fedha ya kitoto,aweke wazi alipopata pesa ili wengine nao wajifunze(Kama ni msaaada au michango ya wananchi).
dr.david mathayo hajazaliwa wala kulelewa na waziri mkuu mstaafu cleopa msuya. pia mathayo ana mapesa aliyoyapata kwa uhangaikaji wake mwenyewe. siwezi kusema ni kwa njia halali au zisizo halali, lakini huyu bwana ni bilionea.Huyu hajamaa alishatiliwaga mashaka na takakuu(takukuru) akahojiwa sijui alichomokaje,Babaye slishawahi kuwa prime minister, sishangai mtoto kumiliki sandarusi ya mahera.
Asante Dr kwa ufafanuzi mzuri,Kumbe na wewe ni mwenzetu humu jeiefuu.dr.david mathayo hajazaliwa wala kulelewa na waziri mkuu mstaafu cleopa msuya. pia mathayo ana mapesa aliyoyapata kwa uhangaikaji wake mwenyewe. siwezi kusema ni kwa njia halali au zisizo halali, lakini huyu bwana ni bilionea.
magari aliyoyagawa ilikuwa ayatoe mwaka jana karibia na uchaguzi mkuu. dr.mathayo ana tabia ya kujitokeza jimboni wakati uchaguzi umekaribia. wananchi wakishampa kura anatokomea tena mjini kuendesha biashara zake.