Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Deo Sanga maarufu kama Jah People ambaye ni mbunge wa Jimbo la Makambako, leo 14/9/2022 amefunga ndoa Takatifu katika Kanisa Katoliki mjini humo .
Chanzo: Mwananchi
=====
Mbunge wa Makambako mkoani Njombe, Deo Sanga maarufu ‘Jah People’ amefunga ndoa na mkewe Suzana Kapasi leo Septemba 14, 2022 katika kanisa Katoliki Ilangamoto, Makambako Njombe.
Baada ya ndoa hiyo, hivi sasa sherehe ziliendelea katika uwanja wa mpira wa miguu wa Amani ambapo Viongozi mbalimbali wamehudhuria akiwemo Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, Waziri wa Maliasili na Utali, Dk Pindi Chana.
Wengine ni wabunge mbalimbali akiwemo William Lukuvi (Isimani-Iringa), Festo Sanga (Makete) na Joseph Kamonga (Ludewa) pamoja na wananchi wa Mji wa Makambako.
Padri Ladislaus Mgaya wa Jimbo la Katoliki Njombe ndiye aliyewafungisha ndoa hiyo.
Chanzo: Mwananchi
Chanzo: Mwananchi
=====
Mbunge wa Makambako mkoani Njombe, Deo Sanga maarufu ‘Jah People’ amefunga ndoa na mkewe Suzana Kapasi leo Septemba 14, 2022 katika kanisa Katoliki Ilangamoto, Makambako Njombe.
Baada ya ndoa hiyo, hivi sasa sherehe ziliendelea katika uwanja wa mpira wa miguu wa Amani ambapo Viongozi mbalimbali wamehudhuria akiwemo Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, Waziri wa Maliasili na Utali, Dk Pindi Chana.
Wengine ni wabunge mbalimbali akiwemo William Lukuvi (Isimani-Iringa), Festo Sanga (Makete) na Joseph Kamonga (Ludewa) pamoja na wananchi wa Mji wa Makambako.
Padri Ladislaus Mgaya wa Jimbo la Katoliki Njombe ndiye aliyewafungisha ndoa hiyo.
Chanzo: Mwananchi