Mbunge Deo Sanga wa Makambako afunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu

Mbunge Deo Sanga wa Makambako afunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu

Padre wa kikatoliki aliwahi kuniambia ndoa ya RC sio siri, ndio maana utangazwa wiki 3 kabla ya ndoa, na utangazwa kanisani kwa mchumba alikozaliwa, anakoishi sasa nk, na ni kwa pande zote 2, sasa hapo huo usiri unatoka wapi??
Kuna tofauti kati ya siri, secrets, na faragha, the right to privacy!. Hata nikikaa bar openly kujinywea Joni Mtembezi wangu, huruhusiwi kunipiga picha au kunisema popote in public kuwa nimemuona Pasco yuko counter ya Rombo Green View, anapiga vitu!.
Japo sio siri lakini kunipiga picha au kunizungumzia ni kuniingilia my right to privacy.

Ndoa, ni tukio personal la public na inatangazwa openly na inafungwa openly watu wamealikwa openly na kupiga picha na simu janja zao na kushare kwenye social media lakini kuzileta picha hizo kwenye public forum or mainstream media bila ruhusa ya wahusika ni kuingilia their right to privacy!.
P
 
Naomba tujifunze kuheshimu the right to privacy ya haki za faragha za watu!.

Mtu kuoa au kuolewa ni issue private ya maisha binafsi ya mtu, kama mtu anapoamua kukaa bar au kustarehe popote, hiyo ni haki binafsi ya faragha, haki hiyo inabidi iheshimiwe, unless kama ni yeye mwenyewe amealika media akawaruhusu mtangazie dunia kuwa ameoa!.
P
Kama ni private na alitaka privacy angefungia chumbani. Mtu kafungia Kanisani unazungumzia privacy? Bado una mawenge? Umemsikia analalamika?ameenda kusherehekea uwanjani unazungumzia privacy? Tuliza akili we sukuma gang.
 
Kama ni private na alitaka privacy angefungia chumbani. Mtu kafungia Kanisani unazungumzia privacy? Bado una mawenge? Umemsikia analalamika?ameenda kusherehekea uwanjani unazungumzia privacy? Tuliza akili we sukuma gang.
Mkuu Mtu Asiyejulikana , kwanza mimi japo ni Msukuma, lakini sio Sukuma Gang!. Pili kuna vitu vingi tuu vinafanyika openly na publically lakini ni private. The right to privacy iheshimiwe!.

The right to privacy inapaswa kuheshimiwa, na inapoingiliwa, sio lazima hadi mhusika alalamike, rights to privacy ziheshimiwe!.
P
 
Deo Sanga , Maarufu kama Jah People , ambaye ni mbunge wa Jimbo la Makambako , leo 14/9/2022 amefunga ndoa Takatifu katika Kanisa Katoliki mjini humo .

Chanzo : Mwananchi

Bado haijajulikana kama hii ni ndoa ya kwanza au la .

View attachment 2357168

=====
Mbunge wa Makambako mkoani Njombe, Deo Sanga maarufu ‘Jah People’ amefunga ndoa na mkewe Suzana Kapasi leo Septemba 14, 2022 katika kanisa Katoliki Ilangamoto, Makambako Njombe.

Baada ya ndoa hiyo, hivi sasa sherehe ziliendelea katika uwanja wa mpira wa miguu wa Amani ambapo Viongozi mbalimbali wamehudhuria akiwemo Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, Waziri wa Maliasili na Utali, Dk Pindi Chana.

Wengine ni wabunge mbalimbali akiwemo William Lukuvi (Isimani-Iringa), Festo Sanga (Makete) na Joseph Kamonga (Ludewa) pamoja na wananchi wa Mji wa Makambako.

Padri Ladislaus Mgaya wa Jimbo la Katoliki Njombe ndiye aliyewafungisha ndoa hiyo.

Chanzo: Mwananchi
IMG-20220915-WA0102.jpg


Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
 
Naomba tujifunze kuheshimu the right to privacy ya haki za faragha za watu!.

Mtu kuoa au kuolewa ni issue private ya maisha binafsi ya mtu, kama mtu anapoamua kukaa bar au kustarehe popote, hiyo ni haki binafsi ya faragha, haki hiyo inabidi iheshimiwe, unless kama ni yeye mwenyewe amealika media akawaruhusu mtangazie dunia kuwa ameoa!.
P
Enzi za uandishi wako hukuyajali haya. I bet kulikuwa na wazee waliokushauri uheshimu faragha za watu lakini ukachagua kutokuwasikiliza.
 
Sijampangia yoyote cha kuandika, nimekumbushia tuu kutoingilia privacy za watu!.
P
Wakati mwingine mkuu Paschal uwe unatafakar kabla ya kuandika naheshimu Sana michango na mijadala yako humu

Lakn Kama chombo Cha habar kimealikwa sasa hapo Siri gan Tena inatakiwa izingatiwe?

Jf n chombo Cha habari Kama vyombo vingine hakuna kilichovunjwa hapo kikatiba

Ndoa n Jambo la hadharani ndio maana Kuna mashahidi wa ndoa ila tendo la ndoa hubaki kuwa Siri hapo hakuna mashahid wakusimamia uchakataji

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Naomba tujifunze kuheshimu the right to privacy ya haki za faragha za watu!.

Mtu kuoa au kuolewa ni issue private ya maisha binafsi ya mtu, kama mtu anapoamua kukaa bar au kustarehe popote, hiyo ni haki binafsi ya faragha, haki hiyo inabidi iheshimiwe, unless kama ni yeye mwenyewe amealika media akawaruhusu mtangazie dunia kuwa ameoa!.
P
Once a person is a public figure or any form of prominence taarifa zake ziwe mbaya au nzuri si mali yake isipokuwa ni ya public. Na ndio maana public figures/prominence people wanatakiwa kuwa very careful na mwenendo wao wa kila sekunde!!
 
Naomba tujifunze kuheshimu the right to privacy ya haki za faragha za watu!.

Mtu kuoa au kuolewa ni issue private ya maisha binafsi ya mtu, kama mtu anapoamua kukaa bar au kustarehe popote, hiyo ni haki binafsi ya faragha, haki hiyo inabidi iheshimiwe, unless kama ni yeye mwenyewe amealika media akawaruhusu mtangazie dunia kuwa ameoa!.
P
Kaka Pascal naomba niwe tofauti na wewe kwenye hili. Hiyo ndoa imefungwa kanisani na baadae harusi ilienda kufanyika uwanja wa mpira na watu wote walialikwa. Nadhani nia ya kufanya hivyo ni kujitangaza kwa wapiga kura wake ili asikose turufu bungeni. ingekuwa issue private angefanya kwa siri tu na angealika watu wachache.

Hizo ndio gharama za umaarufu lazima azibebe na navyohisi anafurahia pia. Ukiwa maarufu lazima utaongelewa tu. Nakumbuka kipindi Princess Diana ameachana na mumewe alikuwa sehemu anapoenda inatangulia timu ya mapaparazi kwenda kutafuta tu habari na wakati anapata ajali alikuwa ndio mtu maarufu kuliko wote duniani. Umaarufu ni gharama
 
Enzi za uandishi wako hukuyajali haya. I bet kulikuwa na wazee waliokushauri uheshimu faragha za watu lakini ukachagua kutokuwasikiliza.
It is not true, uandishi wa habari pia una maeneo maeneo tofauti tofauti, enzi zangu wakati naanza uandishi wa habari, Tanzania tulikuwa na main stream media only, redio ilikuwa moja RTD na magazeti mawili ya dailies, Daily News/Sunday News na Uhuru/Mzalendo na one weekly Mfanyakazi, hakukuwa na tabloids za udaku. Mwinyi ndio amefungua rukhsa na media boom kwa kuruhusu private media na ndipo magazeti ya udaku yakaibuka na kuchipukia ila mimi sikuwahi kuandika udaku wowote.

Kitu nilichokuwa nafanya mimi ni kuandika IJ, kwenye kuandika IJ hakuna jinsi ni lazima ulipue watu na kuumiza watu, hivyo kwenye hili, kiukweli nimelipua wengi, nimetesa wengi, na kulipua mabomu mengi, matokeo yake, nimekuja kufidia kupitia karma.

P
 
Naomba tujifunze kuheshimu the right to privacy ya haki za faragha za watu!.

Mtu kuoa au kuolewa ni issue private ya maisha binafsi ya mtu, kama mtu anapoamua kukaa bar au kustarehe popote, hiyo ni haki binafsi ya faragha, haki hiyo inabidi iheshimiwe, unless kama ni yeye mwenyewe amealika media akawaruhusu mtangazie dunia kuwa ameoa!.
P
Hapa umechemka mzee baba kuoa ni public ndo maana imefanyika kwenye ukuwanja wa mpira. Lakini Pia ukioa c ndo unautangazia umma kwamba huyo ni mke wako na huyendi thambi tena. Hakuna ndoa ya watu wawili inafungwa huku watatu wakishuhudia. Pia ile ni public figure hawezi kuoa tena kwenye uwanja wa mpira na kanisani kumejaa vile halafu media zikae kimya. Hak ya kutoa habari iko wapi mc wa harusi yangu long time.🤣🤣🤣
 
Kuna tofauti kati ya siri, secrets, na faragha, the right to privacy!. Hata nikikaa bar openly kujinywea Joni Mtembezi wangu, huruhusiwi kunipiga picha au kunisema popote in public kuwa nimemuona Pasco yuko counter ya Rombo Green View, anapiga vitu!.
Japo sio siri lakini kunipiga picha au kunizungumzia ni kuniingilia my right to privacy.

Ndoa, ni tukio personal la public na inatangazwa openly na inafungwa openly watu wamealikwa openly na kupiga picha na simu janja zao na kushare kwenye social media lakini kuzileta picha hizo kwenye public forum or mainstream media bila ruhusa ya wahusika ni kuingilia their right to privacy!.
P

UONGO HUOOOOOO
 
Kama ni private na alitaka privacy angefungia chumbani. Mtu kafungia Kanisani unazungumzia privacy? Bado una mawenge? Umemsikia analalamika?ameenda kusherehekea uwanjani unazungumzia privacy? Tuliza akili we sukuma gang.
Kuandika mbunge wetu kaoa tena uwanjani nako unahitaji consent' hilo la bar sawa lakini pia ukiwa kiongozi wewe ni kiongozi mda wote na kila jambo ukitenda ni habari.
 
Naomba tujifunze kuheshimu the right to privacy ya haki za faragha za watu!.

Mtu kuoa au kuolewa ni issue private ya maisha binafsi ya mtu, kama mtu anapoamua kukaa bar au kustarehe popote, hiyo ni haki binafsi ya faragha, haki hiyo inabidi iheshimiwe, unless kama ni yeye mwenyewe amealika media akawaruhusu mtangazie dunia kuwa ameoa!.
P
Hapo chief umefeli. Unalaumu mtu hajaheshimu privacy ya mtu wakati ameoa hadharani?? Amao wanataka falagha wanakuwa na wapiga picha maalum. Usicomplicate vitu kiivyo, au ndio sheria uliyograduate majuzi?
 
Back
Top Bottom