Mbunge Deo Sanga wa Makambako afunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu

Mbunge Deo Sanga wa Makambako afunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu

Deo Sanga , Maarufu kama Jah People , ambaye ni mbunge wa Jimbo la Makambako , leo 14/9/2022 amefunga ndoa Takatifu katika Kanisa Katoliki mjini humo .

Chanzo : Mwananchi

Bado haijajulikana kama hii ni ndoa ya kwanza au la .
Majuto ni mjukuu
 
IMG_2616.jpg
 
Naomba tujifunze kuheshimu the right to privacy ya haki za faragha za watu!.

Mtu kuoa au kuolewa ni issue private ya maisha binafsi ya mtu, kama mtu anapoamua kukaa bar au kustarehe popote, hiyo ni haki binafsi ya faragha, haki hiyo inabidi iheshimiwe, unless kama ni yeye mwenyewe amealika media akawaruhusu mtangazie dunia kuwa ameoa!.
P
Mkuu sidhani kama uko sahihi kwenye huu mtazamo wako, yule ni kiongozi wa watu...... Ndiyo maana Media nyingi zimeripoti kupitia kurasa za mitandaoni, then mbona Mrema namna ilivyoripotiwa hukulalamika kama Jah people?
 
Deo Sanga , Maarufu kama Jah People , ambaye ni mbunge wa Jimbo la Makambako , leo 14/9/2022 amefunga ndoa Takatifu katika Kanisa Katoliki mjini humo .

Chanzo : Mwananchi

Bado haijajulikana kama hii ni ndoa ya kwanza au la .

View attachment 2357168

=====
Mbunge wa Makambako mkoani Njombe, Deo Sanga maarufu ‘Jah People’ amefunga ndoa na mkewe Suzana Kapasi leo Septemba 14, 2022 katika kanisa Katoliki Ilangamoto, Makambako Njombe.

Baada ya ndoa hiyo, hivi sasa sherehe ziliendelea katika uwanja wa mpira wa miguu wa Amani ambapo Viongozi mbalimbali wamehudhuria akiwemo Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, Waziri wa Maliasili na Utali, Dk Pindi Chana.

Wengine ni wabunge mbalimbali akiwemo William Lukuvi (Isimani-Iringa), Festo Sanga (Makete) na Joseph Kamonga (Ludewa) pamoja na wananchi wa Mji wa Makambako.

Padri Ladislaus Mgaya wa Jimbo la Katoliki Njombe ndiye aliyewafungisha ndoa hiyo.

Chanzo: Mwananchi
Huyu Sanga ni Mrema ajae.. mpeni mda tu
 
Naomba tujifunze kuheshimu the right to privacy ya haki za faragha za watu!.

Mtu kuoa au kuolewa ni issue private ya maisha binafsi ya mtu, kama mtu anapoamua kukaa bar au kustarehe popote, hiyo ni haki binafsi ya faragha, haki hiyo inabidi iheshimiwe, unless kama ni yeye mwenyewe amealika media akawaruhusu mtangazie dunia kuwa ameoa!.
P
Padre wa kikatoliki aliwahi kuniambia ndoa ya RC sio siri, ndio maana utangazwa wiki 3 kabla ya ndoa, na utangazwa kanisani kwa mchumba alikozaliwa, anakoishi sasa nk, na ni kwa pande zote 2, sasa hapo huo usiri unatoka wapi??
 
Deo Sanga , Maarufu kama Jah People , ambaye ni mbunge wa Jimbo la Makambako , leo 14/9/2022 amefunga ndoa Takatifu katika Kanisa Katoliki mjini humo .

Chanzo : Mwananchi

Bado haijajulikana kama hii ni ndoa ya kwanza au la .

View attachment 2357168

=====
Mbunge wa Makambako mkoani Njombe, Deo Sanga maarufu ‘Jah People’ amefunga ndoa na mkewe Suzana Kapasi leo Septemba 14, 2022 katika kanisa Katoliki Ilangamoto, Makambako Njombe.

Baada ya ndoa hiyo, hivi sasa sherehe ziliendelea katika uwanja wa mpira wa miguu wa Amani ambapo Viongozi mbalimbali wamehudhuria akiwemo Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, Waziri wa Maliasili na Utali, Dk Pindi Chana.

Wengine ni wabunge mbalimbali akiwemo William Lukuvi (Isimani-Iringa), Festo Sanga (Makete) na Joseph Kamonga (Ludewa) pamoja na wananchi wa Mji wa Makambako.

Padri Ladislaus Mgaya wa Jimbo la Katoliki Njombe ndiye aliyewafungisha ndoa hiyo.

Chanzo: Mwananchi
Sijui nimecheka nini dah ...ccm bhana
 
Back
Top Bottom