Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Fuatilia kinachojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 15, Kikao cha 9, leo Aprili 18, 2024.
View: https://www.youtube.com/watch?v=Gp8bHGqD8Pk
View: https://www.youtube.com/watch?v=fgS_7suPjm0
Mbunge Francis Mtinga: Watendaji wa Kata Waajiriwe na TAMISEMI, si Utumishi.
Amesema Utaratibu wa Utumishi kuajiri Watumishi Kada ya Mtendaji wa Kata umesababisha ufanisi umekuwa mdogo na kushauri ajira hizo zirejeshwe TAMISEMI ili Watumishi waombe katika Halmashauri.
Pia soma: Mbunge Francis Mtinga: Watendaji wa Kata Waajiriwe na TAMISEMI, sio Utumishi
Babu Tale: Jimboni kwangu hakuna Mochwari
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais TAMISEMI amesema Jimbo hilo lina Vituo vya Afya katika Kata za Mkuyuni, Mikese na Mkulazi lakini havina vyumba vya kuhifadhia maiti hivyo kusababisha maiti kwenda kuhifadhiwa Morogoro Mjini
Pia soma:
Babu Tale: Jimboni kwangu hakuna Mochwari
Mbunge Kishoa aitaja tena Mkalama Bungeni, ahoji idadi ya watumishi kada ya Afya, Serikali kuipa kipaumbele mwaka huu
Bunge siyo sehemu ya kumwagiana sifa wala uwanja wa kampeni, mnatia aibu!
View: https://www.youtube.com/watch?v=Gp8bHGqD8Pk
View: https://www.youtube.com/watch?v=fgS_7suPjm0
Mbunge Francis Mtinga: Watendaji wa Kata Waajiriwe na TAMISEMI, si Utumishi.
Amesema Utaratibu wa Utumishi kuajiri Watumishi Kada ya Mtendaji wa Kata umesababisha ufanisi umekuwa mdogo na kushauri ajira hizo zirejeshwe TAMISEMI ili Watumishi waombe katika Halmashauri.
Pia soma: Mbunge Francis Mtinga: Watendaji wa Kata Waajiriwe na TAMISEMI, sio Utumishi
Babu Tale: Jimboni kwangu hakuna Mochwari
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais TAMISEMI amesema Jimbo hilo lina Vituo vya Afya katika Kata za Mkuyuni, Mikese na Mkulazi lakini havina vyumba vya kuhifadhia maiti hivyo kusababisha maiti kwenda kuhifadhiwa Morogoro Mjini
Pia soma:
Babu Tale: Jimboni kwangu hakuna Mochwari
Mbunge Kishoa aitaja tena Mkalama Bungeni, ahoji idadi ya watumishi kada ya Afya, Serikali kuipa kipaumbele mwaka huu
Bunge siyo sehemu ya kumwagiana sifa wala uwanja wa kampeni, mnatia aibu!