Watu wa Morogoro sijui huwa tuna shida gani, maana ni practically absurd kuruhusu mchaga aje kutuongoza kilombero. Na ukitaka kujua hivyo, jiulize kama mtu wa tribe la tofauti anaweza kwenda kugombea Uchagani na akashinda., never on earthAbubakar assenga mxiuuuu zake harudi
Tusibaguane ndugu Watanzania sisi na wamoja.Watu wa Morogoro sijui huwa tuna shida gani, maana ni practically absurd kuruhusu mchaga aje kutuongoza kilombero. Na ukitaka kujua hivyo, jiulize kama mtu wa tribe la tofauti anaweza kwenda kugombea Uchagani na akashinda., never on earth
NimekutukanaTusibaguane ndugu Watanzania sisi na wamoja.
Tupige Siasa safi tusihamasishe Ukabila na kubaguana.Nimekutukana
Huyu labda akatwe na NEC ya CCM but ukiona kapita kwenye kura za maoni jua ameshaenda Dodoma huyuNape Mnauye
Ndugu yangu Fred 😂 wengi sanaUchaguzi mkuu wa Tanzania unatabirika sana hasa kutokana na ushawishi wa chama cha mapinduzi. Ni wazi hata uchaguzi mkuu wa 2025 unatabirika japo utakuwa mgumu ikilinganishwa na ule wa 2020.
Ni wazi CCM bado itadhibiti bunge baada ya uchaguzi mkuu wa 2025. Hili ni kweli ndugu zangu (si mnakumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu?).Hata hivyo ninatazama kuwa huenda idadi ya wabunge wa upinzani ikaongezeka.
Sasa ni Mbunge gani ambaye unaamini hatarudi bungeni 2025?
Kwa mkoa wa Ruvuma:Uchaguzi mkuu wa Tanzania unatabirika sana hasa kutokana na ushawishi wa chama cha mapinduzi. Ni wazi hata uchaguzi mkuu wa 2025 unatabirika japo utakuwa mgumu ikilinganishwa na ule wa 2020.
Ni wazi CCM bado itadhibiti bunge baada ya uchaguzi mkuu wa 2025. Hili ni kweli ndugu zangu (si mnakumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu?).Hata hivyo ninatazama kuwa huenda idadi ya wabunge wa upinzani ikaongezeka.
Sasa ni Mbunge gani ambaye unaamini hatarudi bungeni 2025?
Mbunge wa ubungo, mbunge wa kibambaUchaguzi mkuu wa Tanzania unatabirika sana hasa kutokana na ushawishi wa chama cha mapinduzi. Ni wazi hata uchaguzi mkuu wa 2025 unatabirika japo utakuwa mgumu ikilinganishwa na ule wa 2020.
Ni wazi CCM bado itadhibiti bunge baada ya uchaguzi mkuu wa 2025. Hili ni kweli ndugu zangu (si mnakumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu?).Hata hivyo ninatazama kuwa huenda idadi ya wabunge wa upinzani ikaongezeka.
Sasa ni Mbunge gani ambaye unaamini hatarudi bungeni 2025?
Hili cha pombe hata lyenyewe linajua kuwa halitorudi.Mwita Waitara
Wabaki na viti maalum bila kushinda ? Civics ulipata ngapi?bilashaka yoyote CCM itaibuka na ushindi wa kishindo majimbo yote ya uchaguzi huo, na wapinzani watabaki na viti maalumu tu tena 🐒
kwajiyo 19 walo po walipelekwa na civics pale bungeni, right?Wabaki na viti maalum bila kushinda ? Civics ulipata ngapi?
Hana jipya kwake ni ngome ya CHADEMA, mara mbili amepita kimagumashi.Huyu labda akatwe na NEC ya CCM but ukiona kapita kwenye kura za maoni jua ameshaenda Dodoma huyu