Mbunge gani harudi 2025?

Mbunge gani harudi 2025?

Uchaguzi mkuu wa Tanzania unatabirika sana hasa kutokana na ushawishi wa chama cha mapinduzi. Ni wazi hata uchaguzi mkuu wa 2025 unatabirika japo utakuwa mgumu ikilinganishwa na ule wa 2020.

Ni wazi CCM bado itadhibiti bunge baada ya uchaguzi mkuu wa 2025. Hili ni kweli ndugu zangu (si mnakumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu?).Hata hivyo ninatazama kuwa huenda idadi ya wabunge wa upinzani ikaongezeka.

Sasa ni Mbunge gani ambaye unaamini hatarudi bungeni 2025?
Ndugu yangu Fred 😂 wengi sana
 
Uchaguzi mkuu wa Tanzania unatabirika sana hasa kutokana na ushawishi wa chama cha mapinduzi. Ni wazi hata uchaguzi mkuu wa 2025 unatabirika japo utakuwa mgumu ikilinganishwa na ule wa 2020.

Ni wazi CCM bado itadhibiti bunge baada ya uchaguzi mkuu wa 2025. Hili ni kweli ndugu zangu (si mnakumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu?).Hata hivyo ninatazama kuwa huenda idadi ya wabunge wa upinzani ikaongezeka.

Sasa ni Mbunge gani ambaye unaamini hatarudi bungeni 2025?
Kwa mkoa wa Ruvuma:
1. VITA RASHID MFAUME KAWAWA
2. DAMAS NDUMBARO
3. STELLA MANYANYA
4. MPAKATE
 
Uchaguzi mkuu wa Tanzania unatabirika sana hasa kutokana na ushawishi wa chama cha mapinduzi. Ni wazi hata uchaguzi mkuu wa 2025 unatabirika japo utakuwa mgumu ikilinganishwa na ule wa 2020.

Ni wazi CCM bado itadhibiti bunge baada ya uchaguzi mkuu wa 2025. Hili ni kweli ndugu zangu (si mnakumbuka msema ukweli ni mpenzi wa Mungu?).Hata hivyo ninatazama kuwa huenda idadi ya wabunge wa upinzani ikaongezeka.

Sasa ni Mbunge gani ambaye unaamini hatarudi bungeni 2025?
Mbunge wa ubungo, mbunge wa kibamba
 
Huyu labda akatwe na NEC ya CCM but ukiona kapita kwenye kura za maoni jua ameshaenda Dodoma huyu
Hana jipya kwake ni ngome ya CHADEMA, mara mbili amepita kimagumashi.

Atakeyegombea sasa ni Mwamba, na native wa Jimbo la Mtama, Steve Kamiliuls Membe Jr
 
Back
Top Bottom