Ummayed
JF-Expert Member
- May 21, 2019
- 6,155
- 2,580
Hadi sasa ubaguzi kenya upo.
We kama mjaluo mpeleke mkisii kwenu uone kama hajafungiwa nje kwa two factors ;
1)Kaja bila appointment .
2)Sio mjaluo mwenzenu bali mkisii.
We kama mjaluo mpeleke mkisii kwenu uone kama hajafungiwa nje kwa two factors ;
1)Kaja bila appointment .
2)Sio mjaluo mwenzenu bali mkisii.
Hyo pia basi ni 2007..inamaana na wewe unaleta habari za kale...
Halafu katika ubaguzi wa vyama hko kwenu mpka bungeni...si lazima ukubali..ila huo ndo ukwel...
Nyie hko mnabaguana kisiasa...