Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

there is no food you are exporting to UGANDA ..bring evidences here not thoughts from your ass ..Uganda is 3 times food secure than Tanzania
Japo Uganda itakua nchi ya mwisho kukumbwa na balaa la njaa kama Tanzania ikiamua kufunga mipaka yake, lakini nchi zote za EAC, na SADC kwa viwango tofauti, hutegemea chakula toka Tanzania.

Tanzania is a food basket for this region.
 
So kama unaleta vifaranga havijakaguliwa na TBS na vimepita kimagendo nini maana yake??? Na kama je ni vifaranga vimepandikizwa magonjwa kuja kuwaua watanzania hilo unalichukuliaje??? Siku zite sheria ni msumeno haiwezekani ng’ombre wao walete kwenye area reserve za tanzania kuja kuwalisha na ni kinyume cha sheria ikiwa watanzania wanakatazwa kufanya hvo Na wapi ndani ya nchi yao,
Na katika swala la yule CEO kunyimwa permit wakat wapo watanzania wanaeza kufit kwa nafas hio
Umenena ukweli , wanataka walete bidhaa kwa njia za panya halafu Tz tunakenua meno , haiwezekani wafuate sheria.
 
there is no food you are exporting to UGANDA ..bring evidences here not thoughts from your ass ..Uganda is 3 times food secure than Tanzania
Ninakusubiri, ulisema hatuwauzii chakula Uganda, wewe jua kwamba Tanzania ni baba yenu ktk ukanda huu.
 
Ninakusubiri, ulisema hatuwauzii chakula Uganda, wewe jua kwamba Tanzania ni baba yenu ktk ukanda huu.
Wakumbushe , wamesahau.
 
Go Magu Go Magu and Make Tanzania, Great Again!😀
Magu yupo saaana , magufuli wa Tz nyie kinauma nini , ongeleeni mambo yenu ya uhuruto, màgufuli funga shamba labibi, waKe waliieeee.
 
Walishikwa nchini akiwa keshawaingiza busara gani wakati keshakuletea ndani ya nchi ingekuwa mpakani sawa unamwambia geuka.Keshakultea ndani ya nchi unarudisha wapi? Kenya wangekataa kuwa Sio vifaranga vya kwao watagoma kuwa haviingii kwao Hadi maafisa mifugo was Tanzania wathibitishe ubora wao.Ujue viliingia bila documents Sasa Kenya wangevipokeaje wakati mumiliki Hana documents husika za Kenya.Hivi hata wewe ungekuwa mkenya ungepokea mzigo usio na documents kuwa wa kwako? Kama vifaranga Sio vile vya Kenya je? Hekima gani waweza rudisha mzigo usio na documents nchi ya Mwingine kuwa Ni wake.Ndio maana serikali ikapiga Moto vile vifaranga kuondokana na complications za kipumbavu na usumbufu kea serikali na kuiingizia serikali ghatama usio na sababu.

Majibu ya kijinga kabisa!

Kama kweli walikuwa wameingizwa ndani ya nchi, basi kuna uwendawazimu mkubwa nchini mwetu. Ina maana mpakani hakuna wakaguzi? Mzigo unapoingia nchini mwako, unakaguliwa wapi?

Lakini kwa ujumla maelezo yako ni ya uwongo.
 
Majibu ya kijinga kabisa!

Kama kweli walikuwa wameingizwa ndani ya nchi, basi kuna uwendawazimu mkubwa nchini mwetu. Ina maana mpakani hakuna wakaguzi? Mzigo unapoingia nchini mwako, unakaguliwa wapi?

Lakini kwa ujumla maelezo yako ni ya uwongo.
Kabla ya kufungua mdomo wako, jaribu kujaza ubongo wako, usichangie japo usilolojua, unapaswa kuuliza kwanza, kwani vile vifaranga vilikamatiwa wapi?, ulipaswa kuuliza hivyo kwanza.
 
By SIMON NDONGA, NAIROBI, Kenya, Jun 12 – Interior Cabinet Secretary Fred Matiangi has reiterated that the government will not issue work permits to foreigners wishing to engage in small-scale trade, saying even those found trading in Gikomba market in Nairobi will be deported.

Speaking during the launch of the e-passport centre in Nakuru on Wednesday, the CS pointed out that any foreigner who unlawfully engages in trade will be deported.


Pumba ni wewe. Tanzania is basket case mnaokula albino na ushirikina ni kama kuagiza chai kibandani!
Omba omba wamefurika mijini na vijijini kenya toka tanzania, mtajisaidia kwanza au ni kusaidia wengine. Rudi shimo uliloibuka utafakari semi zako zaidi. Tanzania is the worst of worst maskini duniani. Omba omba producers! !!
Tanzania wanaoomba ni hao wavivu wasiotaka kujishughulisha.
Lakin wengi wetu wenye kujishughulisha twala bata.
Na wala hatuna njaa kama watu wa. Turkana.
Mnajifaragua mna utajiri ilhali Africa nchi zinazokumbwa na njaa kumi bora Kenya ipo.i
 
Aaah hawa wakorofi bhana we mkenya nn?!
Hii mijitu inaobaguana yenyewe mkikuyu anamfanyia racism mkisii ni mijinga bora hata EAC ivunjike.
mlipokuwa mnaleta unyama kwenye vifaranga vya watu mlidhani mabwege wale , ni kipi alichoongea huyu mh unachoweza wewe kupinga ?
 
Tatizo la Wanasiasa hawjali sana matokeo, wao zaidi ni matakwa yao yatimie wakijua fika Waathirika wakuu wa kelele zao ni Wananchi wa kawaida.
 
Majibu ya kijinga kabisa!

Kama kweli walikuwa wameingizwa ndani ya nchi, basi kuna uwendawazimu mkubwa nchini mwetu. Ina maana mpakani hakuna wakaguzi? Mzigo unapoingia nchini mwako, unakaguliwa wapi?

Lakini kwa ujumla maelezo yako ni ya uwongo.

Mkuu, vifaranga vilinunuliwa na MTANZANIA KENYA, vikaingizwa nchini KIMAGENDO,,,vikakamatwa njiani...KWAKUWA MWENYE NAVYO HAKUWA NA ANY DOCUMENT,,KUONYESHA AMEVITA WAPI....BEST SOLUTION NIKUVICHOMA MOTO...NA KAMA NI HASARA ALIYEPATA HASARA NI MTANZANIA ALIYEVINUNUA KWANI ALILIPA CASH MKENYA ALIYEMUUZIA MKENYA ILA ALIYEPATA HASARA NI MTANZANIA... zipo sheria na taratibu za kufuata ili uweze ingiza mayai/vifaranga/kuku/ngombe na kadhalika,,,,
 
We kuku maji.
Mbona huyo jaguar wako kataja na Uganda ?!
Kama ni sis wakorofi mbona hakututaja sis peke etu?!
Question you should ask yourself you dimwit is why Tanzania,and not Uganda, Rwanda, Burundi, Congo, SA, Nigeria or any other African Country...Truth of the matter is, Tanzanians are the worst neighbours to have...Full of themselves who think they can prosper without their neighbours....Your President is wary of the competition Kenya poses as the Economic giant in EA and to counter that, he tries to come up with repressing policies and the more he thinks he is MATAGA, h eis actually taking the country downhill......We live harmoniously with people from other countries......and why has UG not said anything and yet they were mentioned by Jaguar??Because Tanzanians have an inferiority complex! Bure kabisa
Tanzania kama ndio worst neighbors mbona inakimbiliwa na majirani kuliko nchi yako?!
Huku kigamboni tuna warundi na waganda kibwena na wanakwambia dhahiri Tz ni nchi pekee EA unapoweza ishi utakavyo.
Wewe kama unapanga hadi appointment katka kutembeleana utaweza ishi vema na jirani?!
 
Kabla ya kufungua mdomo wako, jaribu kujaza ubongo wako, usichangie japo usilolojua, unapaswa kuuliza kwanza, kwani vile vifaranga vilikamatiwa wapi?, ulipaswa kuuliza hivyo kwanza.
Uankwepa swali zuri kabisa...mjibu mwenzio
 
Back
Top Bottom