Hyo pia basi ni 2007..inamaana na wewe unaleta habari za kale...
Halafu katika ubaguzi wa vyama hko kwenu mpka bungeni...si lazima ukubali..ila huo ndo ukwel...
Nyie hko mnabaguana kisiasa...
Umeona amekimbia?, hawajamaa huwa hawajui mambo mengi sana, hii JF imekua kama ni darasa kwao, wanajifunza mambo mengi sana.Halafu kaka mbona huyo jamaa kama mnywa gongo?!
Au katoka usingizini?!
Kwa food security hapa East and Central Africa hakuna wa kuizidi Tanzania.
We hiyo Uganda iizidi Tanzania kwa food security ?!
Bro huyo jamaa kanywa chai ASUBUHI kweli
Kama mnadhani kuna shida, lazima mtumie vyopo vya kisheria tulivyojiwekea ili kutafuta suluhisho, mkijichukulia sheria mikononi tutajibu kwa nguvu zote, hamna ubavu wa kupambana na sisi, " We shall starve you to death".Huyo anaongea jinsi serikali yenu ilivyo ya kinafiki...au pia hta video hauoni...mtanzania kuingia kenya rahisi sana...haya ngoja mkenya ajaribu kufika mpkani..utachoka nakwambia...
Unafiki ndio zenu
Wape ukweliHadi sasa ubaguzi kenya upo.
We kama mjaluo mpeleke mkisii kwenu uone kama hajafungiwa nje kwa two factors ;
1)Kaja bila appointment .
2)Sio mjaluo mwenzenu bali mkisii.
Acha Maneno yako wewe, mwaka huu ni Tanzania pekee ndio imepata chakula cha ziada cha kuziuzia karibu nchi zote za EAC, SADC na COMESA. Lete data za Kenya mwaka huu uone chakula kingi kinatoka wapi kati ya Tanzania na Uganda. Kumbuka Uganda wanategemea Tanzania kwa pamba na Mchele, wao hulima zaidi Mahindi na Ndizi.
[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Nendeni mkajipange kwanza...manake hta vibiriti tutapiga ban
Mnamashamba wapi yie ? Mashamba yanawenyewe, ardhi kenya ni shidaaa!Wuhuhuuu...tutalima...si kwamba eti mashmba hamna...ni serikali tu imeamua kuwacha biashara za kijamaa..
Sasa mnalialia nini ? Kama wa Tz hatujitambui? Kaza uzi baba Magufuli , wa ke. Waendelee kuisoma namba.Ajira mmewapa au wabongo hamuajiriki?? Wabongo kujitambua zero kabisa. Ndiyo maana unawaona wanasiasa wanavyochezea wananchi.
Bwahahaaaaa!!!lazima tuwabane...tumewaachia sana...wafanyiniashara wadogo wadogo sana watz ndio wataumia...afadhali wawekezaji...Kama mnadhani kuna shida, lazima mtumie vyopo vya kisheria tulivyojiwekea ili kutafuta suluhisho, mkijichukulia sheria mikononi tutajibu kwa nguvu zote, hamna ubavu wa kupambana na sisi, " We shall starve you to death".
Kuwaua Watanzania ndio kuwaabudu???Wao ndio wanatuabudu sisi , ulizia vizuri.
Kwani ww hata kuthubutu kufanya hvyo ulithubutu?!Kuwaua Watanzania ndio kuwaabudu???
Mnajifariji na ule uongo wa kukomboa Waafrika lakini wapi? Mbona hamkuikomboa Somalia, DRC, Central African Republic, Rwanda na Burundi 1994 genocide? Nyinyi ni wakora tu wa kuzihangaisha nchi ndogo ndogo Kama Komoro. Bure kabisa
Jaribuni muone. Wanasiasa wenu wamezoea kutoa matamshi ya hovyo bila kuchukuliwa hatuna, Jaguar alidhani Tanzania ni Kenya, Leo ni siku ya pili bado ananyea katika ndoo, na tutafuatilia kwa karibu sana, asipopata adhabu, tutazuia chakula kuja Kenya.Bwahahaaaaa!!!lazima tuwabane...tumewaachia sana...wafanyiniashara wadogo wadogo sana watz ndio wataumia...afadhali wawekezaji...
Your brain might be too liquidityBy SIMON NDONGA, NAIROBI, Kenya, Jun 12 – Interior Cabinet Secretary Fred Matiangi has reiterated that the government will not issue work permits to foreigners wishing to engage in small-scale trade, saying even those found trading in Gikomba market in Nairobi will be deported.
Speaking during the launch of the e-passport centre in Nakuru on Wednesday, the CS pointed out that any foreigner who unlawfully engages in trade will be deported.
Pumba ni wewe. Tanzania is basket case mnaokula albino na ushirikina ni kama kuagiza chai kibandani!
Omba omba wamefurika mijini na vijijini kenya toka tanzania, mtajisaidia kwanza au ni kusaidia wengine. Rudi shimo uliloibuka utafakari semi zako zaidi. Tanzania is the worst of worst maskini duniani. Omba omba producers! !!
SADC ni wenzetu hata Kama South Africa wanawaua ndugu zetu ila tukumbuke tuliwakomboa kwa hio ni Bora kuliko Nyang'aus.Watanzania tatizo tuna wapenda sana wenzetu mpaka wanatuona wajinga, NI WAKATI SASA KWA SERIKALI NA KILA MTANZANIA MZALENDO KUHAKIKISHA TUNAFANYA BIASHARA ZA KIUNGWANA NA MATAIFA YALE TU YENYE NIA NJEMA NA KUTUPILIA MBALI WAPUUZI .
SADC ni wenzetu hata Kama South Africa wanawaua ndugu zetu ila tukumbuke tuliwakomboa kwa hio ni Bora kuliko Nyang'aus.
Alipita njia za panya hakupita official borderMajibu ya kijinga kabisa!
Kama kweli walikuwa wameingizwa ndani ya nchi, basi kuna uwendawazimu mkubwa nchini mwetu. Ina maana mpakani hakuna wakaguzi? Mzigo unapoingia nchini mwako, unakaguliwa wapi?
Lakini kwa ujumla maelezo yako ni ya uwongo.
Hiyo mbunge wa Kenya shenzi kabisa kwao pesa ilishaingia hasara kala mtanzania mwenzetu anabweka nini.Wakati hao wakenya ndio walimtapeli mtanzania mwenzetu Kwa kutompa document husika.Wakamshauri apite njia za panya ilishaingia ile lake WA chao wakiwa wameshalipwaMkuu, vifaranga vilinunuliwa na MTANZANIA KENYA, vikaingizwa nchini KIMAGENDO,,,vikakamatwa njiani...KWAKUWA MWENYE NAVYO HAKUWA NA ANY DOCUMENT,,KUONYESHA AMEVITA WAPI....BEST SOLUTION NIKUVICHOMA MOTO...NA KAMA NI HASARA ALIYEPATA HASARA NI MTANZANIA ALIYEVINUNUA KWANI ALILIPA CASH MKENYA ALIYEMUUZIA MKENYA ILA ALIYEPATA HASARA NI MTANZANIA... zipo sheria na taratibu za kufuata ili uweze ingiza mayai/vifaranga/kuku/ngombe na kadhalika,,,,
Eti jaribuni...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]lazima tuwabane...mtanuka meno mwaka huu...Jaribuni muone. Wanasiasa wenu wamezoea kutoa matamshi ya hovyo bila kuchukuliwa hatuna, Jaguar alidhani Tanzania ni Kenya, Leo ni siku ya pili bado ananyea katika ndoo, na tutafuatilia kwa karibu sana, asipopata adhabu, tutazuia chakula kuja Kenya.
Eti mfuatilie...km akina nani...unafikiria ni km kwenu mtu anaahidi kuua wavuvi wa nchi jirani kisha hapelekwi mahali...Jaribuni muone. Wanasiasa wenu wamezoea kutoa matamshi ya hovyo bila kuchukuliwa hatuna, Jaguar alidhani Tanzania ni Kenya, Leo ni siku ya pili bado ananyea katika ndoo, na tutafuatilia kwa karibu sana, asipopata adhabu, tutazuia chakula kuja Kenya.