Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

SI wewe kasema Kuna slums zinaitwa Nai huko Bongo watu wanakula kinyesi na albino.
Story zilizopita hizo, wakati zenu za kibaguzi wenyewe kwa wenyewe zinaendelea kila siku na sasa hivi mko na xenophobia
 
Story zilizopita hizo, wakati zenu za kibaguzi wenyewe kwa wenyewe zinaendelea kila siku na sasa hivi mko na xenophobia
Kuhusu ubaguzi ndugai ndo mbaguzi nambari moja akifuatiwa na wasiojulikana..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kawabagua kina nani? Hatuna ubaguzi huku na hautokaa itokee kamwe maana naona unalazimisha sana
Kuhusu ubaguzi ndugai ndo mbaguzi nambari moja akifuatiwa na wasiojulikana..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kawabagua kina nani? Hatuna ubaguzi huku na hautokaa itokee kamwe maana naona unalazimisha sana
Eti nalazimisha...unaumwa nn...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu tena yye ndio kinara[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Nina jirani yangu mkenya hapa sijui nikamtembezee panga usiku huu
 
Wasiojulikana jamani ni wabaguzi....yani wao kazi yao hawaitendei haki...

Wao ni kuteka wapinzani,wasanii na wafanyibiashara...hku wakimuacha bashite na makonda wakidunda
 
Eti nalazimisha...unaumwa nn...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu tena yye ndio kinara[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Unalazimisha sana ila ndo hivyo tena haiwezekani
 
Tatizo unaupinga ukwel...[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Napinga uwongo wako unaojaribu kuufanya uonekane ni kweli kumbe hakuna, safari hii mtanyooka tu mtajua hamjui, Go magu wanyooshe hadi wakae kwenye line waache ukora
 
Asa waliowachukua mondi na kiba wale si shombe wa mombasa?!
Hawana tofauti na Watu wa Tanga tyu mostly.
Sio wajaruo wale wala wakikuyu
mkuu Iyo masihara mondi na kiba hawajaona au walirogwa
 
Lete evidence kuwa Tz kuna sehem wanakula albino na Kinyesi?!
Ila mm naweza kukuletea evidence ya Kenya kuna njaa.
Na wanakokula kinyesi na zeruzeru ni wapi/ pande gani ya Tz?
 
Napinga uwongo wako unaojaribu kuufanya uonekane ni kweli kumbe hakuna, safari hii mtanyooka tu mtajua hamjui, Go magu wanyooshe hadi wakae kwenye line waache ukora
Hhhhhh!!!unadhihirsha km umeukubali ukwel...ila unaona hya....
 
Kuhusu ubaguzi ndugai ndo mbaguzi nambari moja akifuatiwa na wasiojulikana..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza unajua maana ya ubaguzi ndugu ?!
Inaonekana hujui hata maana ya ubaguzi.
Maana nchi inayoripotiwa kuwa na ubaguzi wa kikabila ni nchi yenu
 
Wewe ni wakupuuza kabisa , kinachowaliza nini sasa , sie ndio baba lao Africa nzima ,wewe endelea kujamb* jamb* , Tanzania imekua na kiongozi bora kabisa , hata lile kanisa kubwa kabisa Duniani RC, limemuweka kwenye daraja la watakatifu, haya bisha na hilo , nyie bakini na vijiugomvi uchwala , pumbaf.
 
Kwanza unajua maana ya ubaguzi ndugu ?!
Inaonekana hujui hata maana ya ubaguzi.
Maana nchi inayoripotiwa kuwa na ubaguzi wa kikabila ni nchi yenu
Nifundishe basi na mm nijue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…