huska
JF-Expert Member
- May 1, 2019
- 292
- 336
kila kitu mnazidiwa kasoro ubishi tu .nyie ni wabishi tu
Asee we jamaa unajidanganya kwa uchumi wa makaratasi?!
Katika sector ipi mpo mbele.,?!
1)SGR yenye kuleta hasara ?!
2)Njaa Turkana?!
Eti
Nyie mmetuzidi ukabila tyuu na njaa Kali na miradi yenye kuleta hasara basi.