Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu


Ndiyo maana mimi nilikuwa na mashaka sana na hii East African Community, kwani tulikuwa nayo tangu zamani lakini kwa vile haikufurahisha matakwa yao wakati huo, wakaivunja na kupora mali zake karibu zote. Unapoiona KQ ikiwa juu ya airlines zote za Tanzania na Uganda leo ni kwa sababu walipora ndege zote zilizokuwa za EAA kasoro ile iliyotoroshwa na Capt Mapunda. Sasa hivi tunaelekea kurudia yale yale ila safari hii sijui watapora nini. Niliandika post moja ya kuonyesha mashaka yangu haya mwaka 2007 hapa, na miaka leo 12 bado mashaka hayo hayajanitoka.
 
Hiki tunachokiita EAC ni jumuiya hewani. Tujitoe tu kama nchi. Rais Magufuli tunaomba atuongeze kujitoa. Hatuwezi kuendelea kushirikiana na watu wenye spirit kama hii. Haiwezekani.
Waswahili husema,"shuzi la mwanao,marashi"
 
Nchi zote mbili zitaathirika lakini kenya itaathirika zaidi. Wakenya wanetapakaa nchi hii hata katika maeneo remote ambako hutarajii kuwakuta unawakuta waneshaoa zaidi kuliko kuolewa na wamezaliana sana. Wanafanya biashara kubwa na ndogo wanafuga na kulima. Mi nafikiri tuache tu wananchi wa EA waishi wanavyoishi tu!
Ni rahisi tuu. wakenya wote walioko Tanzania warudi kwao na pia wa TZ walioko Kenya warudi TZ. Kisha tuone nani Kichaa zaidi
 
Nimemsikia anasema CEO wa Benki furani anatoka Kenya na huwa anashitaki huko kwao kwamba wananyanyaswa hapa kwetu. Nashauri atafutwe mapema na atoe maelezo kama ni kweli ama la
Huyu atakuwa katumwa atuchafue tu, Tanzania hatuna ukabila, udini wala utaifa. Yeye CEO anyanyaswe na watu gani. Ni vema aondolewe kabisa kuliko kumuacha hapa na uchochezi wake.
 
Hivi Wakenya do you think kuna mtanzania anashida ya kuja kuishi Kenya???
Nyie Deport any Tanzanian muone??
Coz Sisi tunapenda Amani.
Watanzania wanakwenda Rwanda, Burundi, DRC, Uganda na huko wanapokelewa vizuri sana. Even those EA countries people are free to work & doing business in Tz without any harrassement!!!
What is so special in Kenya????
Compare below two countries Vegetation then come for Argument

 
Hiki tunachokiita EAC ni jumuiya hewani. Tujitoe tu kama nchi. Rais Magufuli tunaomba atuongeze kujitoa. Hatuwezi kuendelea kushirikiana na watu wenye spirit kama hii. Haiwezekani.
mlipokuwa mnaleta unyama kwenye vifaranga vya watu mlidhani mabwege wale , ni kipi alichoongea huyu mh unachoweza wewe kupinga ?
 
Nimwongezee aje? ?? Niongeze volume ama niache???
 

Kwa hivo Midanganyika milioni mmoja unusu wanaoishi Kenya ni Mefi ya mbuni??? Usipoteze akili mapema namna hiyo
 
Sai naona watakomaa...wantubana kw sheria zao za chuki dhidi ya wakenya...sasa imekula kwao
 
Hata kama huyu msomali wa Kenya anaongea kweli tupu ila tunamwambia hatuogopi na wasitutishe wakitaka na jumuia waivunje kwani nini
 
Kila mtu akae kwao...ndio tuone nani mwanaume...manina hta toothpick hatutowauzia tena...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umesahau wakenya wanabaguana sana tena sana ndio maisha yao
 
Ama kweli unawashwa na kinyeo, sasa hapa umesema nini?? Jibu hoja yangu pumbavu. Mm hapa kwangu, mfanyakazi wa ndani, gardener na mlinzi pale nje ni wakenya wenzio, je kwa uroho yenu mbaya mnataka tuwafukuze na wao??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…