Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Tunakosa ajira nje kutokana na UZWAZWA wetu... hatuna maarifa shindani katika ajira si Kenya tu bali hata Uganda... (kuna walimu kibao wa kiganda hapa kwetu je kuna walimu wangapi wa kitanzania Uganda?)Makubwa watu wanaweka tuu data. Ila ki takwimu wakenya wameajiriwa wengi Tz kuliko watanzania kenya
Mkuu unakumbuka wakenya walichukua n'gombe wetu na siku nyingine wakachoma vifaranga! Yaani wana roho mbaya watu hao wa Kenya sijui kwanini. Juzi wakamtuma Cyprian Musiba aseme yoyote atakae mpinga rais watamuua,watampoteza au kumpa kilema. Wakenya wana roho mbaya
Citizen TV Kenya ·Ama kweli unawashwa na kinyeo, sasa hapa umesema nini?? Jibu hoja yangu pumbavu. Mm hapa kwangu, mfanyakazi wa ndani, gardener na mlinzi pale nje ni wakenya wenzio, je kwa uroho yenu mbaya mnataka tuwafukuze na wao??
i have listened this guy... what i understand now is kenyans for kenyans and tanzanians for tanzanians... lets call espade a spade !! this tanzanians-kenyans relationship must be viewed in all aspects if it is beneficial to both country and if it is not... why not be quited for the sake of both country?? the way this guy talking... is like he is talking the truth and the truth always hurts,!!! i think we should quit relationship for good... let tanzania be tanzania and kenya be kenya... this can be good....Kumbe hii vita ya Jaguar tuliianzisha wenyewe!! Sikiliza Majority Leader bungeni kenya leo.
Na vile wanachinjana waTz wenyewe wakitafuta utajiri kwa njia za kuua albinos. Hawa watu hawana utu wala ungwaana.Heri kibaguana kuliko kutekana na kunyofoana minofu na kulana[emoji26][emoji26][emoji26]
Bwana kama waishi kwa nyumba ya vioo, kaa mbali na mawe. Usitupe dongo ovyo ovyo kaka aidha!! Hapa sio Tanzania!!Sawa Nyang'au la Kibera.
Mkuu, wakati kuna waheshimiwa wanalialia humu "KWA KUJIFANYA HAWAUONI HUO UKWELI WA HUYO MBUNGE WANAYEMUITA MSOMALI ILHALI NI MKENYA" JE HIVI ILE LAANA YA KUCHOMA MOTO WALE VIFARANGA ILIKUWA INAMKOMOA YULE MAMA MYONGE AU ILIKUWA KUPAMBANA NA KENYA "VITA YA UCHUMI" KAMA TUNAVYOAMINISHWA?Awamu ya 5 imetuletea aibu sana , anayoongea huyu mbunge jasiri wa Kenya ni kweli tupu !
Watanzania ni kama "tuna damu ya kunguni ughaibuni!!!" Nikiyakumbuka ya SA nayaona ya Kenya hapo bado kwingineko....kwani nyinyi mlivyoripua vile vifaranga mlijiuliza strategy mliotumia ?
not a big spoonWe must call a [emoji812]️ a [emoji812]️
Mbaki huko kwenu maadam hambaguani mbona mnakuja huku ?. Mtu akiwa na mapungufu flani weye usio na mapungufu mbona ujilazimishe kwake? .Wakenya wenyewe wanabaguana kwa makabila so sioni ajabu wao kubagua raia wa nchi nyingine tuwasamehe tu bado wako zama za mawe za kale.
Nyie mliopewa nchi kwa miaka zaidi ya 50 na huu umasikini uliokithiri mna faida gani kwa nchii?hii sasa ni chuki, jambo la kitaifa unaleta mambo ya upinzani. ndo maana watu wenye akili hawawezi kuwapa nchi. maana mmegubikwa na umimi na sio utaifa. umeniangusha sana aisee
Chama cha waoga kinachotegemea dola nacho ni chama cha siasa?