Mpumbavu sana huyu,wasomili wenzake wamejazana kibao pale Isilii market nao ni foreigners kama Watz na WagandaKumbe hii vita ya Jaguar tuliianzisha wenyewe!! Sikiliza Majority Leader bungeni kenya leo.
Acha kuwa pimbi!Wapi nimeshangilia?Mnaambiwa chanzo cha yote haya ni matendo yenu ya hovyo alafu unasema ninashangilia!!!!Mtapatapa sana yani ushawahi ona wapi eti mtanzania anashangilia watanzania wenzake wateseke ugenini eti kisa anamchukia magufuli? Halafu badae anataka kura zake?
Kweli chadema hamna akili ya watanzania wanateseka wewe unaunga mkono? Nyie mataka madaraka kwa udi na uvumba hata kwa kumwaga damu za watanzania wenzenu?Acha kuwa pimbi!Wapi nimeshangilia?Mnaambiwa chanzo cha yote haya ni matendo yenu ya hovyo alafu unasema ninashangilia!!!!
Wakenya walitufanya ndondocha ndo maana Mwalimu alipong’amua akafunga na mpaka. Kuna wakati sisi tulikuwa soko la bidhaa za Kenya. Kwa sasa wakenya wanaona tunavyochanja mbuga katika infrastracture, hivyo wanamchukia sana magufuli maana tunachanja mbuga. Wivu hata gharama za SGR, tulivyowapoka bomba la kutoka hoima unadhani waliPenda?Mbunge wa Garisa mjini nchini Kenya Aden Duale amesema haungi matamshi ya Jaguar ila kuna mambo ya ovyo yanayofanywa na Rais Magufuli dhidi ya wakenya ambayo yanawakera sana
Amesema tangu Rais Magufuli aingie madarakani biashara kati ya Tanzania na Kenya imekuwa ya ovyo sana,"walikamata kuku zetu wakachoma,wakakamata ng'ombe wetu wakapiga mnada,hivi vitendo si vya kiungwana kabisa" Alisema mbunge huyo ambaye ni mwenyekiti wa wabunge walio wengi bungeni
Aliongeza kusema ni haki serikali ilinde nafasi za kazi kwa wakenya ,kwani hata mkurugenzi wa Safaricom alizuiliwa kufanya kazi Vodacom Tanzania na serikali ya Tanzania kisa kulinda kazi za watanzania
My take,haya mambo yasipoingiliwa kideplomasia huenda kuna anguko lingine la jumuiya ya Afrika Mashariki linakuja
Source BBC
Kweli chadema hamna akili ya watanzania wanateseka wewe unaunga mkono? Nyie mataka madaraka kwa udi na uvumba hata kwa kumwaga damu za watanzania wenzenu?
Nabado 2020 inakuja watanzania tutawaonyesha kwamba tulifanya makosa kuwapa ubunge 2015 sasa lazima tuwafagie kwa fagio la chuma.
Acha propaganda za kijinga!!Hiyo clip umeisikiliza?Jadili aliongea ya kumfukuza aliekuwa CEO wa voda,kuchoma vifaranga wa kenya,n.k.
Hayo ni yako wapi kasema unayosema?!Kwani hayo yote yalifanyika kisheria? Je kwasababu ya hayo mambo ambayo unahisi serikali ya tz ilikosea ndo ushadie watanzania wenzako wasio wanasiasa wapigwe nchini Kenya ambao wengi ni wachaga wenzenu?
Duh!Kama ni hivyo naunga mkono hoja ya mh jaguar Tupigwe tu mpaka tuchakae
Na pia kuna bunge jingine inasemekana ni dhaifu... Kazi ipoKuna mbunge siku kariri jina lake alikuwa na interview NTV jana alisema Bunge la Kenya limejaa watoto na liko na utoto mwingi
Pale KCB na Equity bank wapo raia kibao wa kericho.Huyo mbunge kamponza CEO wa Barclays bank. Permit yake ikiisha ajiandae kurudi kwao
Umevaba mkuu wewe bado mwanasiasa mteke sana kama Polepole ambaye hajui nini cha kuongea na wakati gani.Hayo ni yako wapi kasema unayosema?!
Kama hujasikiliza hiyo clip kaa kimya.
Kwani kichwa habari kinasema nini na Jaguar kasema nini kuhusu watanzania?Hayo ni yako wapi kasema unayosema?!
Kama hujasikiliza hiyo clip kaa kimya.
Kwa hiyo nanyi mmelipa kwa kuja na worst strategy...nimewaelewakwani nyinyi mlivyoripua vile vifaranga mlijiuliza strategy mliotumia ?