Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

Mbunge Garisa: Tanzania Walituchomea kuku,wakapiga mnada ng'ombe wetu

Pumbavu kabisa wewe, huo ujinga wenu na kauli ya Duale itaigharimu Wakenya.

Mnaichezea Sharubu za Magufuli nyie. Kaa mkijua Magu sio Kikwete. Kabla hapajakucha jambajamba itafanyika kwa wakenya wote waliopo nchini na hapo ndio Utajua kuwa bila Tanzania, Kenya haipo.
By SIMON NDONGA, NAIROBI, Kenya, Jun 12 – Interior Cabinet Secretary Fred Matiangi has reiterated that the government will not issue work permits to foreigners wishing to engage in small-scale trade, saying even those found trading in Gikomba market in Nairobi will be deported.

Speaking during the launch of the e-passport centre in Nakuru on Wednesday, the CS pointed out that any foreigner who unlawfully engages in trade will be deported.


Pumba ni wewe. Tanzania is basket case mnaokula albino na ushirikina ni kama kuagiza chai kibandani!
Omba omba wamefurika mijini na vijijini kenya toka tanzania, mtajisaidia kwanza au ni kusaidia wengine. Rudi shimo uliloibuka utafakari semi zako zaidi. Tanzania is the worst of worst maskini duniani. Omba omba producers! !!
 
Wewe unaongea usichokijua.
Do you think bila kuwa na Blocks utaweza kushindana ktk dunia ya leo.
1. USA ni muunganiko wa several states
2. Ukiwa member wa European countries U'r liable to work among of the Member states with free permit
3. Kumbuka kilichomkuta Theresa May (UK prime minister) under Brexit Saga.
Ukibaki wewe na Kenya yako mwishowe utaanza kubaguana Wakamba, Wakarenjini, Kikuyu, Luo
Hayo ni mawazo ya kimaskini sana.
After all ukija Tz utawakuta Kenyans wengi Dar es salaam, Arusha, Tarime wanafanya kazi au Biashara zao
By SIMON NDONGA, NAIROBI, Kenya, Jun 12 – Interior Cabinet Secretary Fred Matiangi has reiterated that the government will not issue work permits to foreigners wishing to engage in small-scale trade, saying even those found trading in Gikomba market in Nairobi will be deported.

Speaking during the launch of the e-passport centre in Nakuru on Wednesday, the CS pointed out that any foreigner who unlawfully engages in trade will be deported.
 
Nimemsikia anasema CEO wa Benki furani anatoka Kenya na huwa anashitaki huko kwao kwamba wananyanyaswa hapa kwetu. Nashauri atafutwe mapema na atoe maelezo kama ni kweli ama la

Ninachokijua mimi hakuna mgeni anaenyanyasika BONGO labda kama watafuta chokochoko na tutawachokonoa tu.
 
Nimeshasema mahali flani kuwa; Hii kisirani haitakwisha kwa maneno ya Kenyatta. Lazima hii kitu utoke na mtu. Kuna siku mtaona mpakani kumejaa watz kutoka huko tena bila hata ndururu
Hawatathubutu mkuu....angalia statistics utagundua nani anafaidika zaidi.... infact Kenya wanafaidika mara mia zaidi kuliko Tz kwenye huu ujirani na volume of trade.... employment interactions...etc
 
Mavijana mengi ya Tz ni mapuuzi na mazwazwa mnoo, yaan jitu linaunga mkono kila kitu eti simply haumpendi Magufuli or yeyote ktk Serikali, guys are yuu stupid? Yaan mzalendo gan anaweza kuunga mkono huu utumbo wa msomali kichaa
Chuki hujengwa taratibu na pengine bila kujua
 
Ninachokijua mimi hakuna mgeni anaenyanyasika BONGO labda kama watafuta chokochoko na tutawachokonoa tu.
Ni kweli, ila ukimsikiliza kwa makini wakati anamalizia anaongelea CEO wa benki furani hapa Tanzania ambaye uwa ana mawasiliano nae mara kwa mara, na huyo CEO anamueleza mambo mengi wanayopitia wakenya waliopo hapa Tanzania.
 
Back
Top Bottom