Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu JPM haji kuaibika na wala hatoaibika kamwe.Ila Magufuli anaaibika jamani .... kuna wakati najaribu kumhurumia lakini mwili unakataa kabisa hasa ninapowakumbuka wahanga
Khee..!!! Kumbe nao wanajuwa kuwa kuna wabunge wasio na vyama na wala hawakuteuliwa na Rais kama BASHIRU..??? Kwanini sasa wasianzishe hoja binafsi ya kuhoji uhalali wa Wabunge wa namna hiyo? NJUKA NI NJUKA TU..Ni mbunge wa Mlimba ndugu Kunambi ambapo amelalamika kwa spika kwa kuitwa mbunge njuka na mbunge asiye na chama chochote aitwaye Halima Mdee , lugha ambayo imeonekana ya kuudhi na isiyokubalika ndani ya bunge
Form one tulikuwa tunawaita NJUKA wallahDuh... Term la enzi za Mwalimu...
Aibu mojawapo ndo hii ya hao wabunge kutokuwa wa chama chochote na wala kuteuliwa na Rais, lakini wapo Bungeni..Mkuu JPM haji kuaibika na Wala hata aibika kamwe.
Muda utaongea.
Watunga sheria wanavunja sheria.. kifupi WOTE NI NJUKAHivi kumbe sheria yetu inaruhusu kuwa mbunge bila chama maana sikujua hilo
Kama akili yako na wenzio mnatafsiri ni aibu ya JPM hiyo poleni sana.Aibu mojawapo ndo hii ya hao wabunge kutokuwa wa chama chochote na wala kuteuliwa na rais, lakini wapo bungeni..
Sahihi kabisa wote wameingia Bungeni kwa magumashiAcha yafarakane yenyewe kwa yenyewe
Wote ni mapaka poriWatunga sheria wanavunja sheria.. kifupi WOTE NI NJUKA
Bunge la mapimbi na majuhaAcha yafarakane yenyewe kwa yenyewe
Kunambi kasema ukweli mtupu kwani ni uwongo ndugu zangu, hilo ni tusi kwa Ndugai siyo Halima MdeeNi mbunge wa Mlimba ndugu Kunambi ambapo amelalamika kwa spika kwa kuitwa mbunge njuka na mbunge asiye na chama chochote aitwaye Halima Mdee , lugha ambayo imeonekana ya kuudhi na isiyokubalika ndani ya bunge
Sasa lugha ya kuuzi ni kuitwa Njuka au mbunge asiye na chama chochote? Manake hivyo vyote ni vijembe🤣lugha ambayo imeonekana ya kuudhi na isiyokubalika ndani ya bunge
Kwani sisi ndo tunalazimisha wale waingie bungeni?Kama akili yako na wenzio mnatafsiri ni aibu ya JPM hiyo poleni sana.
Tafuteni msaada.
Kwanini isiwe aibu yenu ninyi nasi vichwa maji?