Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Yalipelekwa na nani ?Hakuna mbunge asiye na chama bungeni. Halima ni mbunge wa viti maalum CHADEMA. Majina yao yalipelekwa kwa spika Ndugai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yalipelekwa na nani ?Hakuna mbunge asiye na chama bungeni. Halima ni mbunge wa viti maalum CHADEMA. Majina yao yalipelekwa kwa spika Ndugai
Kweli kabisa, upo sahihi, hakuna wa kibishaعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ (رضي الله عنه) عَنْ النَّبِيِّ (صلى الله عليه و آله وسلم): ((آيَةُ الْمُنَافِقِ ثلاَثٌ إِذَا حَدَّثَ كَذَبَ وَإِذَا وَعَدَ أَخْلَفَ وَإِذَا اؤْتُمِنَ خَانَ)) متفق عليه . وفي رواية: ((وَإِنْ صَامَ وَصَلَّى وَزَعَمَ أَنَّهُ مُسْلِمٌ)) متفق عليه
Njuka wa JPM utawajua tu.... Wanajitutumua ili waonekane wapo pale kihalali.Mbunge wa Mlimba (CCM), Godwin Kunambi amemuonya Mbunge (asiye na chama), Halima Mdee kuacha kuwaita wabunge wapya njuka kwa "lugha za kejeli, lugha za kuudhi ndani ya bunge na sisi wengine ni vijana pia, bado hata umri wa busara haujafika. Namuaonya tu, hamna njuka hapa.
Pambaneni na hao nduguzenu,Ila Magufuli anaaibika jamani .... kuna wakati najaribu kumhurumia lakini mwili unakataa kabisa hasa ninapowakumbuka wahanga
Kweli lazima apwaye.. Kwenye siasa lazima uwe na kile kinaitwa constituency .. Hicho kinakupa uhalali.. Sasa wakiangalia mzee mdee ni jibu.. Kwa maana nyingine , wanamwambia ... tutakushughulikia kwa ubunge wa kupewa ...Halima kapwaya nimeshindwa hata kumsikiliza. Angekuwa anakaa kimya tu
Pambaneni na hao nduguzenu,
C 19.
Muache shujaa wa Afrika apumzike.
Magu kazizake nzuri zitambeba milele.
Nyiewote njaatu ndio zinawasumbua na wewe siku ukipata ulaji utakuwa kama hao c19.
Mimi pia ñilikuwa namuamini sana halima lakini kumbe njala likoko niswala la mudatu.
Hahahaa wewe ni kichaa.
Umeshuka kiwango siku hizi Kamanda, angalia usije ukajikuta unacheza mechi za kombe la mbuzi.😆😆😆😆
Tatizo njaa mkuuTatizo la bunge letu ni "UKISEMA UKWELI" kosa.
"Halima Mdee & Covid-19 Co LTD" ni wabunge wasio na chama. Bunge la Speaker Ndugai ni dhaifu na la kijinga kukubali kuwa na wabunge wasio na chama.
Nchi Ilikuwa inaongozwa na mtu mshamba na limbukeniBunge la mapimbi na majuha
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Sahihi kabisa wote wameingia Bungeni kwa magumashi
Kama inakuumiza chomoa kenge weweMlivyo na mambo ya kike Sasa.
Poleni.
Wapuuzi wakubwa hao[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hawataki ujinga tenaNjuka wamechachamaa.
🤣🤣Hawataki ujinga tena