Mbunge Godwin Kunambi amvaa Halima Mdee bungeni

Mbunge Godwin Kunambi amvaa Halima Mdee bungeni

Wote ni Wabunge wa viti maalum hadi spika kwa hisani ya Mwendazake
 
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ (رضي الله عنه) عَنْ النَّبِيِّ (صلى الله عليه و آله وسلم): ((آيَةُ الْمُنَافِقِ ثلاَثٌ إِذَا حَدَّثَ كَذَبَ وَإِذَا وَعَدَ أَخْلَفَ وَإِذَا اؤْتُمِنَ خَانَ)) متفق عليه . وفي رواية: ((وَإِنْ صَامَ وَصَلَّى وَزَعَمَ أَنَّهُ مُسْلِمٌ)) متفق عليه
Kweli kabisa, upo sahihi, hakuna wa kibisha
 
Mbunge wa Mlimba (CCM), Godwin Kunambi amemuonya Mbunge (asiye na chama), Halima Mdee kuacha kuwaita wabunge wapya njuka kwa "lugha za kejeli, lugha za kuudhi ndani ya bunge na sisi wengine ni vijana pia, bado hata umri wa busara haujafika. Namuaonya tu, hamna njuka hapa.
Njuka wa JPM utawajua tu.... Wanajitutumua ili waonekane wapo pale kihalali.
 
Ila Magufuli anaaibika jamani .... kuna wakati najaribu kumhurumia lakini mwili unakataa kabisa hasa ninapowakumbuka wahanga
Pambaneni na hao nduguzenu,
C 19.
Muache shujaa wa Afrika apumzike.

Magu kazizake nzuri zitambeba milele.

Nyiewote njaatu ndio zinawasumbua na wewe siku ukipata ulaji utakuwa kama hao c19.
Mimi pia ñilikuwa namuamini sana halima lakini kumbe njala likoko niswala la mudatu.
 
Halima kapwaya nimeshindwa hata kumsikiliza. Angekuwa anakaa kimya tu
Kweli lazima apwaye.. Kwenye siasa lazima uwe na kile kinaitwa constituency .. Hicho kinakupa uhalali.. Sasa wakiangalia mzee mdee ni jibu.. Kwa maana nyingine , wanamwambia ... tutakushughulikia kwa ubunge wa kupewa ...
 
Pambaneni na hao nduguzenu,
C 19.
Muache shujaa wa Afrika apumzike.

Magu kazizake nzuri zitambeba milele.

Nyiewote njaatu ndio zinawasumbua na wewe siku ukipata ulaji utakuwa kama hao c19.
Mimi pia ñilikuwa namuamini sana halima lakini kumbe njala likoko niswala la mudatu.
 
Back
Top Bottom