Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,107
- 1,012
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una undugu na Mh. Esther Bulaya?Na wao wabunge wakike wafungiwe mashine ya kuwatambua waliokeketwa. Pumbafu kabisa huyo mbunge kiazi mbatata.
Mbunge wa Viti Maalumu, Jacquline Ngonyani (CCM), ametaka ifungwe mashine maalumu bungeni ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa.
umesahau Arusha kuna wazungu walikamatwa na miwani ya kuchungulia maumbile ya watu sijajua kesi ilisha vipiKumbe kuna mashine zinazoangalia mashine zetu duuuh, leo ndiyo nimefahamu
Umenena vyema MkuuHuyu bila shaka kapewa Ubunge kwa Biashara hizihizi za kucheza mipira ya soksi na isiyo na soksi. Huhitaji kuingia darasani kusomea Saikolojia ya kutambua tabia, hulka na akili ya mtu...Huyu mama ni.....aliyekubuhu!!
Enheeee ngoja tumshauri naibu spika amnunulie mwanamke mwenzake hiyo miwani ili aweze kuona miche yetu vizuriumesahau Arusha kuna wazungu walikamatwa na miwani ya kuchungulia maumbile ya watu sijajua kesi ilisha vipi
Arusha: Wazungu wanne wakamatwa na miwani ya kuchungulia "maumbile" watu - JamiiForums
Wanawake Bwana. Wao wanataka kubaki na vyao. Angalia hawataki kukeketwa, Nywele ndo hivyo wanatafuta za akina Rihana wajazilizie, Kucha wamezirefusha mpaka chui haoni ndani. Sasa huku kwetu ndevu unaweza kufuga kama ni shehe au uwe na Imani kali. Wanawake muwe na huruma na sisi
Ameshtuka nini huyu mama? Au kuna mahali alidanganywa nini?
punguza makali br binadamu wote ni ndg na africa ni moja, huyo atakuwa aliliwa na jamaa ana sweta so ana stress tu.Hamna haja ya kutumia gharama kununua mashine,yeye ajitolee kunyonya nanii zote za wabunge kisha aandike report kuwa kakutana na masweta mangapi!
Huwa hawana waume,K zao ndo huwapeleka bungeni wrote akina Ummy Ghasia,Mhagama,ndo zaoWabunge wanawake wa ccm sijui huwa wanawaza nini, kwani mume wake hamtoshi, ushauri wa hovyo kabisa huu kutoka kwa mbunge
Ili iweje yaani?