Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Mbunge wa Rombo ambaye ndio kaimu Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani bungeni amesema bunge la Kenya liliweka kifaa maalumu katika mlango mkuu wa bunge kuwatambua wabunge wanaume ambao hawajatahiriwa.
Mh Selasini amesema Bunge la Kenya lilifanikiwa sana katika zoezi hili la kuwatambua wenye mikono ya sweta na kuwatahiri kwa nguvu, hivyo amemtaka Spika kuiga utaratibu huo.
Ikumbukwe mikono ya sweta huongeza kasi ya maambukizi ya ukimwi.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani wao wanafaidika na nini wakimtahiri mwenzao kinguvu, kwani angetaka kutahiriwa si angeenda mwenyeweMbunge wa Rombo ambaye ndio kaimu Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani bungeni amesema bunge la Kenya liliweka kifaa maalumu katika mlango mkuu wa bunge kuwatambua wabunge wanaume ambao hawajatahiriwa.
Mh Selasini amesema Bunge la Kenya lilifanikiwa sana katika zoezi hili la kuwatambua wenye mikono ya sweta na kuwatahiri kwa nguvu, hivyo amemtaka Spika kuiga utaratibu huo.
Ikumbukwe mikono ya sweta huongeza kasi ya maambukizi ya ukimwi.
Maendeleo hayana vyama!
Membe alitulizwa kidogo, kaambiwa wakati muafaka badojina kubwa sana kwa sasa. sijui kesho litakuja lipi? maana bongo kwa kick hatujambo. naona la Membe limeadimika mitandaoni.
Mbowe ndio kasahaulika kabisa!jina kubwa sana kwa sasa. sijui kesho litakuja lipi? maana bongo kwa kick hatujambo. naona la Membe limeadimika mitandaoni.
Hahahaha nimeona Lissu nikasema ngoja nichungulie hii habari ina nini ndaniHahahaa....... Lisu kakuleta!
Unapata faida gani kupotosha?Mbunge wa Rombo ambaye ndio kaimu Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani bungeni amesema bunge la Kenya liliweka kifaa maalumu katika mlango mkuu wa bunge kuwatambua wabunge wanaume ambao hawajatahiriwa.
Mh Selasini amesema Bunge la Kenya lilifanikiwa sana katika zoezi hili la kuwatambua wenye mikono ya sweta na kuwatahiri kwa nguvu, hivyo amemtaka Spika kuiga utaratibu huo.
Ikumbukwe mikono ya sweta huongeza kasi ya maambukizi ya ukimwi.
Maendeleo hayana vyama!
Mbunge CCM ataka ifungwe mashine Bungeni kuwabaini wabunge wasiotahiriwa - JamiiForumsMbunge wa Rombo ambaye ndio kaimu Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani bungeni amesema bunge la Kenya liliweka kifaa maalumu katika mlango mkuu wa bunge kuwatambua wabunge wanaume ambao hawajatahiriwa.
Mh Selasini amesema Bunge la Kenya lilifanikiwa sana katika zoezi hili la kuwatambua wenye mikono ya sweta na kuwatahiri kwa nguvu, hivyo amemtaka Spika kuiga utaratibu huo.
Ikumbukwe mikono ya sweta huongeza kasi ya maambukizi ya ukimwi.
Source Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Nenda kapewe bonus ya 1500 sasa ya posho yako baada ya kumtaja līssuMbwiga clip imerushwa na Clouds 360!
Hizi ndio hoja za wabunge wa ccm wanaoziwezaUnapata faida gani kupotosha?
Mkuu johnthebaptist omba radhi kwa uongo huu ili uendelee kuaminiwa hapa jukwaani! Hilo tu mkuu!
Wewe uliisikia taarifa ya Selasini bungeni?!!Mkuu johnthebaptist omba radhi kwa uongo huu ili uendelee kuaminiwa hapa jukwaani! Hilo tu mkuu!
Nimekuwekea source sasa unalialia nini?!Weka video clip
Weka hapa!Nimekuwekea source sasa unalialia nini?!
Nenda Clouds tv au TBC 2 uttaikuta hiyo clip!
Duh! Kweli we mbishi!! Unabishana hadi na redio,Tv,magazeti,mitandao na unaamini tu utashinda???Wewe uliisikia taarifa ya Selasini bungeni?!!
Mkuu usikariri hiyo clip imerushwa na Clouds 360!
Uwe unaelewa huyo msukuma na huyo viti maalumu wamezungumzia habari za bunge la Kenya?!!Duh! Kweli we mbishi!! Unabishana hadi na redio,Tv,magazeti,mitandao na unaamini tu utashinda??? View attachment 1016513