MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Edit: Habari za hivi punde, mbunge Jaguar amekamatwa na polisi https://www.kenyans.co.ke/news/41074-jaguar-arrested-outside-parliament-buildings
-----------------
Muda wowote mbunge Jaguar atajipeleka kwenye kituo cha polisi baada ya uchunguzi kuanza kufanywa ili kubaini sheria ipi alivunja alipotoa matamko ya kuwatishia wageni. Kwa kweli alichokifanya ni mbaya zaidi na anafaa achukuliwe hatua za kisheria, ila nauliza tu, mbona humo alitaja raia wa kutokea mataifa mengine wakiwemo Waganda, lakini wote hao wapo kimya ila kwa Tanzania jana bunge halikua linakalika, mpaka hata waziri mkuu alilazimika kutoa tamko.
Siku zote nilijua Watanzania hawana haja ya kuja Kenya, na kwamba wao husema kwao huko ni nchi ya asali na maziwa. Iweje siku Watanzania walichinjwa Afrika Kusini walipiga kimya, Watanzania mamia wamefurushwa na kuteswa Msumbij hapo jirani wao, pia kimyaaa.... lakini hapa mbunge kwa kunywa gongo/chang'aa yake akabwatuka na kutaja taja wageni wa mataifa tofauti, lakini imeongelewa Bongo yote wamelia sana.
Hii iwe funzo kwa jirani zetu mnaopenda kiburi, sote ni ndugu, tunategemeana kwa njia moja au nyingine, mna desturi ya kuonyesha chuki dhidi ya Wakenya huko kwenu mkijiona kama kwamba nyie ndio kila kitu, lakini mwenye akili kati yenu akaombe takwimu za uhamiaji aone Watanzania wangapi wanakesha wakija huku Kenya.
-------------------------
Developing: Starehe MP Jaguar to present himself at parliament police station over xenophobic remarks. More details to follow on#TheDailyBrief.
-----------------
Muda wowote mbunge Jaguar atajipeleka kwenye kituo cha polisi baada ya uchunguzi kuanza kufanywa ili kubaini sheria ipi alivunja alipotoa matamko ya kuwatishia wageni. Kwa kweli alichokifanya ni mbaya zaidi na anafaa achukuliwe hatua za kisheria, ila nauliza tu, mbona humo alitaja raia wa kutokea mataifa mengine wakiwemo Waganda, lakini wote hao wapo kimya ila kwa Tanzania jana bunge halikua linakalika, mpaka hata waziri mkuu alilazimika kutoa tamko.
Siku zote nilijua Watanzania hawana haja ya kuja Kenya, na kwamba wao husema kwao huko ni nchi ya asali na maziwa. Iweje siku Watanzania walichinjwa Afrika Kusini walipiga kimya, Watanzania mamia wamefurushwa na kuteswa Msumbij hapo jirani wao, pia kimyaaa.... lakini hapa mbunge kwa kunywa gongo/chang'aa yake akabwatuka na kutaja taja wageni wa mataifa tofauti, lakini imeongelewa Bongo yote wamelia sana.
Hii iwe funzo kwa jirani zetu mnaopenda kiburi, sote ni ndugu, tunategemeana kwa njia moja au nyingine, mna desturi ya kuonyesha chuki dhidi ya Wakenya huko kwenu mkijiona kama kwamba nyie ndio kila kitu, lakini mwenye akili kati yenu akaombe takwimu za uhamiaji aone Watanzania wangapi wanakesha wakija huku Kenya.
-------------------------
Developing: Starehe MP Jaguar to present himself at parliament police station over xenophobic remarks. More details to follow on