Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Duupingu zilishafunguka wewe ni shakula ya katelephone hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duupingu zilishafunguka wewe ni shakula ya katelephone hicho
Limbwata haikunasia kwa Muha Tu2?😄😄pingu zilishafunguka wewe ni shakula ya katelephone hicho
Sasa pini kama hiyo inakaaje Chadema?.[emoji23][emoji23][emoji23]Kutoka Singida Mmoja wa Wabunge wasio na chama waliotimuliwa Chadema kwa Tuhuma za Usaliti , Jessica Kishoa amefumwa kwenye Mkutano wa hadhara wa ccm , uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho , Bwana Chongolo .
Kishoa akihutubia mkutano huo wa hadhara wa ccm alianza na maneno haya , nanukuu " CCM oyeee !! Kidumu chama cha Mapinduzi , Samia Oyeee " Mwisho wa kunukuu .
Mara zote sisi tumeandikika humu na kwingine kwamba , Hawa mamluki wakiongozwa na Halima Mdee wamenunuliwa na ccm , lakini kuna Wajinga wanabisha , Sasa hiki kinachotokea ni nini ?
---
MBUNGE Viti Maalum, aliyefukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jesca Kishoa, ameibuka katika mkutano wa hadhara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuwataka wananchi wameuunge mkono Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, akisema anaiendesha nchi vizuri.
View attachment 2697806
Mwaka 2025 ni Kesho kutwa,Kutoka Singida Mmoja wa Wabunge wasio na chama waliotimuliwa Chadema kwa Tuhuma za Usaliti , Jessica Kishoa amefumwa kwenye Mkutano wa hadhara wa ccm , uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho , Bwana Chongolo .
Kishoa akihutubia mkutano huo wa hadhara wa ccm alianza na maneno haya , nanukuu " CCM oyeee !! Kidumu chama cha Mapinduzi , Samia Oyeee " Mwisho wa kunukuu .
Mara zote sisi tumeandikika humu na kwingine kwamba , Hawa mamluki wakiongozwa na Halima Mdee wamenunuliwa na ccm , lakini kuna Wajinga wanabisha , Sasa hiki kinachotokea ni nini ?
---
MBUNGE Viti Maalum, aliyefukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jesca Kishoa, ameibuka katika mkutano wa hadhara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuwataka wananchi wameuunge mkono Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, akisema anaiendesha nchi vizuri.
View attachment 2697806
CCM imewatumia vizuri mwisho inawatupaHawa wote wanahangaika hivi sasa bila kujua wapi pakutokea au wapi pakupatia amani. Safari zao za kisiasa ndiyo hivyo tena zimeshafika ukingoni.
Aibu tupuUsemalo Ni Kweli Wala Halihitaji Rocket Science Kulijua
Ni mambo ya aibu sn, shida hata mahakama hatunaMchepuko wa Majaliwa. Yaani hii nchi hawana chama na wamo Bungeni.
Kafulila alishaoa wale hawana ndoa tenaHuu uzi ni wa Mrs Kafulila wewe umekazana na mh Rais.
Acha Hizo bwashee!
Kwa mujibu wa Biblia Tu2 atakuwa anazini na Jesca anazini huko aliko!Kafulila alishaoa wale hawana ndoa tena
Hakuna kitu kama hicho hizo ni hadithi tupu, cheti cha ndoa kinatoka kwa DAS hakuna cheti cha RC, KKKT wala islamicKwa mujibu wa Biblia Tu2 atakuwa anazini na Jesca anazini huko aliko!
Funguka basi tuelewe , mbona mna siri sana nyie ?Mchepuko wa Majaliwa. Yaani hii nchi hawana chama na wamo Bungeni.
Hiyo inatosha.Funguka basi tuelewe , mbona mna siri sana nyie ?
Safi sana. Bora aende ccm chama cha wote .Kutoka Singida Mmoja wa Wabunge wasio na chama waliotimuliwa Chadema kwa Tuhuma za Usaliti , Jessica Kishoa amefumwa kwenye Mkutano wa hadhara wa ccm , uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho , Bwana Chongolo .
Kishoa akihutubia mkutano huo wa hadhara wa ccm alianza na maneno haya , nanukuu " CCM oyeee !! Kidumu chama cha Mapinduzi , Samia Oyeee " Mwisho wa kunukuu .
Mara zote sisi tumeandikika humu na kwingine kwamba , Hawa mamluki wakiongozwa na Halima Mdee wamenunuliwa na ccm , lakini kuna Wajinga wanabisha , Sasa hiki kinachotokea ni nini ?
---
MBUNGE Viti Maalum, aliyefukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jesca Kishoa, ameibuka katika mkutano wa hadhara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuwataka wananchi wameuunge mkono Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, akisema anaiendesha nchi vizuri.
View attachment 2697806
Kwani nyinyi chadema mnapohubiri uhuru wa mawazo na maamuzi binafsi, huwa munamaanisha nini kwaniii?? Au yeye kwenda kwenye mkutano wa ccm inatofauti gani na ile ya mbowe kupiga picha pamoja na mwenyekiti wa ccm yaan mheshimiwa raisi? Kumbukeni siasa sio uadui.hivi kuna haja gani kesi kuendelea kwa ushahidi huu ?
Alishatimuliwa na mahakama.Huu uzi ni wa Mrs Kafulila wewe umekazana na mh Rais.
Acha Hizo bwashee!
Mzee wa Piko.Kassim Majaliwa anasemaje?
Kwahiyo mukuu unamaanisha mama ni munaaa mzuri tu 😂😂Ndiyo maana, baadhi ya watu walimshangaa Mbowe kumwamini Samia. Wanawake wanaweza sana unafiki. Ana uwezo wa kukuonesha anakupenda sana, na wakati huo huo akawa anafanya vioja.
Ukimchunguza kwa umakini Samia, ni vigumu sana kumwamini. Ana uwezo wa kuuma na kupuliza zaidi ya Kikwete.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mzee wa Piko.