Mbunge Jesca Kishoa aliyefukuzwa CHADEMA, aibukia mkutano wa CCM na kuhutubia

Mbunge Jesca Kishoa aliyefukuzwa CHADEMA, aibukia mkutano wa CCM na kuhutubia

Kutoka Singida Mmoja wa Wabunge wasio na chama waliotimuliwa Chadema kwa Tuhuma za Usaliti , Jessica Kishoa amefumwa kwenye Mkutano wa hadhara wa ccm , uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho , Bwana Chongolo .

Kishoa akihutubia mkutano huo wa hadhara wa ccm alianza na maneno haya , nanukuu " CCM oyeee !! Kidumu chama cha Mapinduzi , Samia Oyeee " Mwisho wa kunukuu .

Mara zote sisi tumeandikika humu na kwingine kwamba , Hawa mamluki wakiongozwa na Halima Mdee wamenunuliwa na ccm , lakini kuna Wajinga wanabisha , Sasa hiki kinachotokea ni nini ?

---
MBUNGE Viti Maalum, aliyefukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jesca Kishoa, ameibuka katika mkutano wa hadhara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuwataka wananchi wameuunge mkono Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, akisema anaiendesha nchi vizuri.

View attachment 2697806
Sasa pini kama hiyo inakaaje Chadema?.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kutoka Singida Mmoja wa Wabunge wasio na chama waliotimuliwa Chadema kwa Tuhuma za Usaliti , Jessica Kishoa amefumwa kwenye Mkutano wa hadhara wa ccm , uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho , Bwana Chongolo .

Kishoa akihutubia mkutano huo wa hadhara wa ccm alianza na maneno haya , nanukuu " CCM oyeee !! Kidumu chama cha Mapinduzi , Samia Oyeee " Mwisho wa kunukuu .

Mara zote sisi tumeandikika humu na kwingine kwamba , Hawa mamluki wakiongozwa na Halima Mdee wamenunuliwa na ccm , lakini kuna Wajinga wanabisha , Sasa hiki kinachotokea ni nini ?

---
MBUNGE Viti Maalum, aliyefukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jesca Kishoa, ameibuka katika mkutano wa hadhara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuwataka wananchi wameuunge mkono Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, akisema anaiendesha nchi vizuri.

View attachment 2697806
Mwaka 2025 ni Kesho kutwa,
atagombea ubunge kwenye jimbo lipi na kwa ticket ya chama gani?

Kwa sura na afya yake kulima hataweza atafanya kazi gani?
 

Attachments

  • IMG_1465.MP4
    2.9 MB
Kutoka Singida Mmoja wa Wabunge wasio na chama waliotimuliwa Chadema kwa Tuhuma za Usaliti , Jessica Kishoa amefumwa kwenye Mkutano wa hadhara wa ccm , uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho , Bwana Chongolo .

Kishoa akihutubia mkutano huo wa hadhara wa ccm alianza na maneno haya , nanukuu " CCM oyeee !! Kidumu chama cha Mapinduzi , Samia Oyeee " Mwisho wa kunukuu .

Mara zote sisi tumeandikika humu na kwingine kwamba , Hawa mamluki wakiongozwa na Halima Mdee wamenunuliwa na ccm , lakini kuna Wajinga wanabisha , Sasa hiki kinachotokea ni nini ?

---
MBUNGE Viti Maalum, aliyefukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jesca Kishoa, ameibuka katika mkutano wa hadhara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuwataka wananchi wameuunge mkono Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, akisema anaiendesha nchi vizuri.

View attachment 2697806
Safi sana. Bora aende ccm chama cha wote .
 
hivi kuna haja gani kesi kuendelea kwa ushahidi huu ?
Kwani nyinyi chadema mnapohubiri uhuru wa mawazo na maamuzi binafsi, huwa munamaanisha nini kwaniii?? Au yeye kwenda kwenye mkutano wa ccm inatofauti gani na ile ya mbowe kupiga picha pamoja na mwenyekiti wa ccm yaan mheshimiwa raisi? Kumbukeni siasa sio uadui.
 
Ndiyo maana, baadhi ya watu walimshangaa Mbowe kumwamini Samia. Wanawake wanaweza sana unafiki. Ana uwezo wa kukuonesha anakupenda sana, na wakati huo huo akawa anafanya vioja.

Ukimchunguza kwa umakini Samia, ni vigumu sana kumwamini. Ana uwezo wa kuuma na kupuliza zaidi ya Kikwete.
Kwahiyo mukuu unamaanisha mama ni munaaa mzuri tu 😂😂
 
Back
Top Bottom