Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Mbunge Viti Maalum, Josephine Genzabuke: Naomba niishukuru serikali ya CCM inayoongozwa na Jemedari, Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu kwa kufanikisha mkopo wenye Masharti nafuu kutoka benki ya maendeleo ya Afrika tukaweza kuahidiwa pesa dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.
Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja! Trilioni 300 ni bajeti yetu ya miaka 10😱
Pia, Soma=> Orodha ya mikopo iliyokopwa awamu ya sita tangu Rais Samia Suluhu aingie madarakani March 19, 2021
Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja! Trilioni 300 ni bajeti yetu ya miaka 10😱
Pia, Soma=> Orodha ya mikopo iliyokopwa awamu ya sita tangu Rais Samia Suluhu aingie madarakani March 19, 2021