Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya siri ni ya Mungu, bali yaliyo funuliwa ni yetu! Kama mnataka legacy nzuri ya mwanakwendazake, na hata mapungufu pokeeni pia!Anazidi kukuchapa tu.....
Mungu pekee ndio anajua nani msafi
Huyo mbunge elimu yake duni, na wewe pia elimu yako ni duni!!Hii ndio legacy ya Jiwe kwa watanzania kwani wabunge hawa ni zao la maelekezo yake.
Mbunge Viti Maalum, Josephine Genzabuke: Naomba niishukuru serikali ya CCM inayoongozwa na Jemedari, Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu kwa kufanikisha mkopo wenye Masharti nafuu kutoka benki ya maendeleo ya Afrika tukaweza kuahidiwa pesa dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.
Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja!😱
Hata Wewe umejiingiza kwenye kiwango hicho hicho cha elimu!Huyo mbunge elimu yake duni, na wewe pia elimu yako ni duni!!
Hakuna utofauti hapo, wewe elimu yako na ufahamu wako umekuelekeza kuiona hiyo ni legacy ya mtu, upumbavu tupu
Hawa ni wabunge vilaza walio pitishwa na mzee meko ili waje wamuongezee muda wa madaraka.Mbunge Viti Maalum, Josephine Genzabuke: Naomba niishukuru serikali ya CCM inayoongozwa na Jemedari, Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu kwa kufanikisha mkopo wenye Masharti nafuu kutoka benki ya maendeleo ya Afrika tukaweza kuahidiwa pesa dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.
Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja!😱
Ina maana unahesabu bilioni moja, mbili, tatu.........mpaka zifikie 324,400 au nami nimebugiTsh 324,400 Bilioni.
Ina maana unahesabu bilioni moja, mbili, tatu.........mpaka zifikie 324,400 au nami nimebugi
pesa mingi au?Hahaha Haujabugi ndiyo hivyo hivyo Mh Mbunge alivyomaanisha.
pesa mingi au?
Halafu meza ya mwisho kwenye darasa hakuwa akimsikia mwl vizuriDuh sasa mbunge hata hajui kuwa pesa inaanza kutajwa namba kubwa halafu inafuata ndogo. Mwishowe wote tumevurugwa na hizo fedha alizotaja.
Wala haihitaji elimu kubwa kutambua kuwa huyu elimu yake ni darasa la 7 B.
dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.[emoji2815][emoji2815][emoji2815][emoji2815][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbunge Viti Maalum, Josephine Genzabuke: Naomba niishukuru serikali ya CCM inayoongozwa na Jemedari, Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu kwa kufanikisha mkopo wenye Masharti nafuu kutoka benki ya maendeleo ya Afrika tukaweza kuahidiwa pesa dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.
Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja!😱
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbunge Viti Maalum, Josephine Genzabuke: Naomba niishukuru serikali ya CCM inayoongozwa na Jemedari, Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu kwa kufanikisha mkopo wenye Masharti nafuu kutoka benki ya maendeleo ya Afrika tukaweza kuahidiwa pesa dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.
Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja!😱
Hakuna hesabu ya laki tatu bilion. Maana bilioni zikifika elfu tu inakuwa tilion. Hivyo hesabu inaanza na tilion 300Bilion laki tatu inaandikwa hivi TSH 300,000 Bilioni- Sasa ukiandika kwa tarakimu tu badala ya neno bilion ongeza sifuri Tisa(9) ambayo sasa itakuwa hivi TSH 300, 000, 000,000,000/- ambayo ni sawa TSH 300 Trilioni. Inakaribiana na trilioni za makinikia za mwendazake tulizokuwa tunawadai Barrick- Kwa mawazo yangu yuko sahihi kumuenzi mwendazake
Hatubishanii hilo mpwa- Hiyo hesabu ipo ila tatizo haina uhalisia- Ndo maana wengine wanaweza kusema 1500B badala ya 1.5T na yote yana maana mojaHakuna hesabu ya laki tatu bilion. Maana bilioni zikifika elfu tu inakuwa tilion. Hivyo hesabu inaanza na tilion 300
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Mbunge Viti Maalum, Josephine Genzabuke: Naomba niishukuru serikali ya CCM inayoongozwa na Jemedari, Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu kwa kufanikisha mkopo wenye Masharti nafuu kutoka benki ya maendeleo ya Afrika tukaweza kuahidiwa pesa dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.
Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja!😱
Mbunge Viti Maalum, Josephine Genzabuke: Naomba niishukuru serikali ya CCM inayoongozwa na Jemedari, Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu kwa kufanikisha mkopo wenye Masharti nafuu kutoka benki ya maendeleo ya Afrika tukaweza kuahidiwa pesa dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.
Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja!😱