Mbunge Josephine Genzabuke, aishukuru Serikali ya CCM kwa kupata Mkopo wa Sh. Bilioni Laki Tatu

Mbunge Josephine Genzabuke, aishukuru Serikali ya CCM kwa kupata Mkopo wa Sh. Bilioni Laki Tatu

CCM bado wana Ndoto za Bunge la Chama kimoja imewabidi walitengeneze moja la Wizi ili kukumbushia

lolbron.png
 
Hii ndio legacy ya Jiwe kwa watanzania kwani wabunge hawa ni zao la maelekezo yake.
Huyo mbunge elimu yake duni, na wewe pia elimu yako ni duni!!

Hakuna utofauti hapo, wewe elimu yako na ufahamu wako umekuelekeza kuiona hiyo ni legacy ya mtu, upumbavu tupu
 
Mbunge Viti Maalum, Josephine Genzabuke: Naomba niishukuru serikali ya CCM inayoongozwa na Jemedari, Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu kwa kufanikisha mkopo wenye Masharti nafuu kutoka benki ya maendeleo ya Afrika tukaweza kuahidiwa pesa dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.

Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja!😱


Hivi viti maalumu vifutwe havina tija na havina umaalumu wowote ni kujaza wajinga na ujinga tu bungeni
 
Huyo mbunge elimu yake duni, na wewe pia elimu yako ni duni!!

Hakuna utofauti hapo, wewe elimu yako na ufahamu wako umekuelekeza kuiona hiyo ni legacy ya mtu, upumbavu tupu
Hata Wewe umejiingiza kwenye kiwango hicho hicho cha elimu!
 
Mbunge Viti Maalum, Josephine Genzabuke: Naomba niishukuru serikali ya CCM inayoongozwa na Jemedari, Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu kwa kufanikisha mkopo wenye Masharti nafuu kutoka benki ya maendeleo ya Afrika tukaweza kuahidiwa pesa dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.

Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja!😱

Hawa ni wabunge vilaza walio pitishwa na mzee meko ili waje wamuongezee muda wa madaraka.
 
pesa mingi au?

Mbunge amesema kwamba serikali wamempata mkopo wa USD 140 ambayo kuhalisia ni sawa na 140x2319 = 324,600 Tsh ila sasa mbunge alivyoibadili USD 140 ndio ikaja ni sawa na Bilioni 324,400 ambayo ni sawa na Trilioni 324 na bilioni 400.
 
Duh sasa mbunge hata hajui kuwa pesa inaanza kutajwa namba kubwa halafu inafuata ndogo. Mwishowe wote tumevurugwa na hizo fedha alizotaja.
Wala haihitaji elimu kubwa kutambua kuwa huyu elimu yake ni darasa la 7 B.
Halafu meza ya mwisho kwenye darasa hakuwa akimsikia mwl vizuri
 
Mbunge Viti Maalum, Josephine Genzabuke: Naomba niishukuru serikali ya CCM inayoongozwa na Jemedari, Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu kwa kufanikisha mkopo wenye Masharti nafuu kutoka benki ya maendeleo ya Afrika tukaweza kuahidiwa pesa dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.

Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja!😱

dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.[emoji2815][emoji2815][emoji2815][emoji2815][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbunge Viti Maalum, Josephine Genzabuke: Naomba niishukuru serikali ya CCM inayoongozwa na Jemedari, Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu kwa kufanikisha mkopo wenye Masharti nafuu kutoka benki ya maendeleo ya Afrika tukaweza kuahidiwa pesa dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.

Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja!😱

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bilion laki tatu inaandikwa hivi TSH 300,000 Bilioni- Sasa ukiandika kwa tarakimu tu badala ya neno bilion ongeza sifuri Tisa(9) ambayo sasa itakuwa hivi TSH 300, 000, 000,000,000/- ambayo ni sawa TSH 300 Trilioni. Inakaribiana na trilioni za makinikia za mwendazake tulizokuwa tunawadai Barrick- Kwa mawazo yangu yuko sahihi kumuenzi mwendazake
Hakuna hesabu ya laki tatu bilion. Maana bilioni zikifika elfu tu inakuwa tilion. Hivyo hesabu inaanza na tilion 300

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
na alitoboa usiku akipiga hilo hesabu ndio mwishowe akapata hilo jawabu akapiga na mstari asome kesho
 
Mbunge Viti Maalum, Josephine Genzabuke: Naomba niishukuru serikali ya CCM inayoongozwa na Jemedari, Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu kwa kufanikisha mkopo wenye Masharti nafuu kutoka benki ya maendeleo ya Afrika tukaweza kuahidiwa pesa dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.

Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja!😱


Yaani huyu naye!!! Anafurahia mkopo wa
Mbunge Viti Maalum, Josephine Genzabuke: Naomba niishukuru serikali ya CCM inayoongozwa na Jemedari, Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu kwa kufanikisha mkopo wenye Masharti nafuu kutoka benki ya maendeleo ya Afrika tukaweza kuahidiwa pesa dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.

Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja!😱


Huyu naye wa ajabu!!! Anafurahia maumivu!!! hajui kama hiki ni kitanzi kwa watanzania? Pesa zenyewe watazitumbua tu wala hazitafanya kazi zilizoombewa!!! Watu ni wale wale na kufisadi ni kulekule!!!
 
Back
Top Bottom