Mbunge Josephine Genzabuke, aishukuru Serikali ya CCM kwa kupata Mkopo wa Sh. Bilioni Laki Tatu

Na hii usishangae kuikuta kwenye Hansard za Bunge la Ndungai
 
Hapo hakuna bunge bali ni kundi la bundi wanaogawana mizoga.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Viti maalum kigezo huwa nini? Au 'Power of Pussy'
 
ndo shida yakutaka kujimilikishia serikali ya umma kua yamtu mmoja...mapinduzi haya mana hawa ndo wangepitisha na kubadili vifungu kikatiba bila kuhoji mwendazake atuongoze hadi kifochake...mungu mwema
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ aieee raha sana duh!
yaani dola 140 si hata mi ningewapa!!
elimu inahitajika sana nchini
Uko sahihi. Dola 140 million ni sawa na pesa walizojilipa watumishi wa wizara ya fedha posho za honorarium, vikao vya kutathimini athari za mazingira yaliyosababishwa na kimbunga Jobo na kufuatilia siku ya wanawake duniani na ya wafanyakazi duniani aka mei mosi! Ni peanut.
 
Mama ateue MAPEMA wale wenye UWEZO wakawasaidie humo ndan jaman
 
Hii ndio legacy ya Jiwe kwa watanzania kwani wabunge hawa ni zao la maelekezo yake.
Marehemu alikuwa anawapenda watu wajinga, watu wa kumshangilia bila kuhoji, hata afanye ujinga wa kiwango gani.
 
CCM ni hawa hawa tuko nao mitaani na JF ambao ni hopeless. Watoke wapi wengine
 
Wabunge wa mwenda zake, hao vodafasta,MUNGU alisaidie TAIFA letu,""nao wakapiga makofi bwa bwa bwa"
 
USD 140 = Tsh 324,400 Bilioni.

Hawa ndio wamepita bila kupingwa na ndio think tank wa THITHIEMU.
Halafu eti nae anasimama bila aibu kutoa mchango wake kwa Taifa!! Na wakati huo huo wale wagonga meza nao walimpongeza. Hapo ndipo utajua ni Bunge la aina gani tulilo nalo.
 
Kuna tofauti ndogo sana kati ya ''Jiwe'' na Nduli yule wa Uganda kwenye kufanya mambo yao.Au sababu sijui wote wanatoka kanda moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…