Hili halina mjadala mkitaka msitake Mheshimiwa Magufuli tunamuongezea mingine,sasa jamani mtu huyu hana kasoro kubwa sana za kiuongozi na imeonekanika kabisa sio hapa Tanzania tu,dunia nzima na ulimwengu wake hata huku kwenye ulimwengu wa tatu wananchi wa nchi nyingi wanawaonea gere wananchi wa Tanzania kwa kupata kiongozi mchapa kazi,kasoro ndogondogo ni za kiubinadamu ambazo hakuna anaeweza kuziepuka,kasoro hizo wazungu au mabeberu wanaziita minor yaani vitu viduchu viduchu,ambavyo haviathiri utendaji wake wa kazi.
Sasa wewe usietaka aendelee miaka mingine unataka utuletee mjomba wako ? na mkileta za kuleta tunaondoa hata uchaguzi kwani waTanzania hawana sababu ya kufanya uchaguzi kwa kuwa aliekuwepo anatosha,yanini kupoteza hela,ambazo zinaweza kutumika kuendeleza mfumuko wa miundo mbunu,
Sasa hivi WaTanzania tunahitaji Express train Mwanza tu Mtwara na hela ikitosha tunajenda ring road ya Tanzania nzima ikienda sambamba na reli, hii Ring road ndio mwisho ,sijui hawa wapinzani hewa kama wanelewa faida ya Ring road au wanaelewa ni kitu gani.
Sasa wewe usietaka aendelee miaka mingine unataka utuletee mjomba wako ? na mkileta za kuleta tunaondoa hata uchaguzi kwani waTanzania hawana sababu ya kufanya uchaguzi kwa kuwa aliekuwepo anatosha,yanini kupoteza hela,ambazo zinaweza kutumika kuendeleza mfumuko wa miundo mbunu,
Sasa hivi WaTanzania tunahitaji Express train Mwanza tu Mtwara na hela ikitosha tunajenda ring road ya Tanzania nzima ikienda sambamba na reli, hii Ring road ndio mwisho ,sijui hawa wapinzani hewa kama wanelewa faida ya Ring road au wanaelewa ni kitu gani.