johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Duh...!.Mbunge wa Kilombero mh Lijualikali ana taarifa kuwa wabunge wa Chadema wamejipanga ili kutoa taarifa za uwongo na kumnusuru Mbowe.
Wapi tena mkuuWachaga kila kwenye upigaji wapi.
Na Mbowe akipona jeraha la kuanguka kwenye ulevi ataitwa Takukuru??
wapi tena mkuu
Yaani hii ndo imethibitisha kuwa hao takukuru ni mpango mkakati wa kusaidia jamaa wale walio hoi.Mbunge wa Kilombero mh Lijualikali alikuwa ni miongoni mwa wabunge wa Chadema waliohojiwa na Takukuru kuhusiana na matumizi ya fedha za chama.
Baada ya kuhojiwa mh Lijualikali aliongea na waandishi wa habari na kuwaambia mahojiano yake na Takukuru yamefanyika vizuri.
Zaidi akasema ana taarifa kuwa wabunge wa Chadema wamejipanga ili kutoa taarifa za uwongo na kumnusuru Mbowe.
Lijualikali ameapa kuwa wabunge hao hawatafanikiwa katika njama walizopanga.
Source: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!
Chuki dhidi ya wachaga inakua kwa kasi sana.Kama kweli ni wapigaji waende jela tuWachaga kila kwenye upigaji wapi.
Na Mbowe akipona jeraha la kuanguka kwenye ulevi ataitwa Takukuru??
Mkuu bado unashauri twitter pamoja na JF zifungiwe Tanzania?[emoji16][emoji16][emoji16]Duh...!.
P
Chadema kutoka kuwa chama cha kupambana na rushwa hadi kuwa chama cha kutetea rushwaMbunge wa Kilombero mh Lijualikali alikuwa ni miongoni mwa wabunge wa Chadema waliohojiwa na Takukuru kuhusiana na matumizi ya fedha za chama.
Baada ya kuhojiwa mh Lijualikali aliongea na waandishi wa habari na kuwaambia mahojiano yake na Takukuru yamefanyika vizuri.
Zaidi akasema ana taarifa kuwa wabunge wa Chadema wamejipanga ili kutoa taarifa za uwongo na kumnusuru Mbowe.
Lijualikali ameapa kuwa wabunge hao hawatafanikiwa katika njama walizopanga.
Source Eatv habari
Maendeleo hayana vyama!
Anataka kutumia ulevi kusevu kesiWachaga kila kwenye upigaji wapi.
Na Mbowe akipona jeraha la kuanguka kwenye ulevi ataitwa Takukuru??
Uko sahihi, waachwe wabwabwaje wamalize yote yaliyomo vichwani mwao, halafu tuone mwisho wao.Hao watoto waachwe waongee watakavyo ili wasiache lolote, maana wakizuiwa watahisi wanaogopwa na kuamini wao ndio wamebeba uhai wa cdm.
Hujui tu. Tulisoma sana tuhuma wizi zikiwekwa hapa na I'd ya mkulima maskini ambapo baadae ilibainika alikuwa Samson mwigamba aliyekuwa mkurugenzi wa mipango na fedha wa chadema akiwa na mtandao wa m1,m2 na m3 .hapo ni zito, kitila na mwigambadr slaa, zito, kitila hawa wote walikua vigogo ndani ya chadema lakini wameondoka bila kulalamikia ufujaji pesa pale cdm,......
hawa vijana walioondoka awamu hii ya magufuli sijui wamejifunza wapi kutukana waliowatoa jalalani
lijualikali simfahamu, lakn Silinde ameni-disappoint sana jamani, nilikua namwona kama very matured!
Usiamini kila unachosikia!. Hivi uliamini nimeshauri Twitter na jf zifungwe?!.Mkuu bado unashauri twitter pamoja na JF zifungiwe Tanzania?[emoji16][emoji16][emoji16]
Hujui tu. Tulisoma sana tuhuma wizi zikiwekwa hapa na I'd ya mkulima maskini ambapo baadae ilibainika alikuwa Samson mwigamba aliyekuwa mkurugenzi wa mipango na fedha wa chadema akiwa na mtandao wa m1,m2 na m3 .hapo ni zito, kitila na mwigambadr slaa, zito, kitila hawa wote walikua vigogo ndani ya chadema lakini wameondoka bila kulalamikia ufujaji pesa pale cdm,......
hawa vijana walioondoka awamu hii ya magufuli sijui wamejifunza wapi kutukana waliowatoa jalalani
lijualikali simfahamu, lakn Silinde ameni-disappoint sana jamani, nilikua namwona kama very matured!
dr slaa, zito, kitila hawa wote walikua vigogo ndani ya chadema lakini wameondoka bila kulalamikia ufujaji pesa pale cdm,......
hawa vijana walioondoka awamu hii ya magufuli sijui wamejifunza wapi kutukana waliowatoa jalalani
lijualikali simfahamu, lakn Silinde ameni-disappoint sana jamani, nilikua namwona kama very matured!
Duh!.....Usiamini kila unachosikia!. Hivi uliamini nimeshauri Twitter na jf zifungwe?!.
Sikiliza nilichosema.
P
dr slaa, zito, kitila hawa wote walikua vigogo ndani ya chadema lakini wameondoka bila kulalamikia ufujaji pesa pale cdm,......
hawa vijana walioondoka awamu hii ya magufuli sijui wamejifunza wapi kutukana waliowatoa jalalani
lijualikali simfahamu, lakn Silinde ameni-disappoint sana jamani, nilikua namwona kama very matured!