Mbunge Lijualikali ahojiwa na TAKUKURU. Adai wabunge wa CHADEMA wamejipanga kudanganya lakini hawatafanikiwa!

Mbunge Lijualikali ahojiwa na TAKUKURU. Adai wabunge wa CHADEMA wamejipanga kudanganya lakini hawatafanikiwa!

Mbunge wa Kilombero mh Lijualikali alikuwa ni miongoni mwa wabunge wa Chadema waliohojiwa na Takukuru kuhusiana na matumizi ya fedha za chama.

Baada ya kuhojiwa mh Lijualikali aliongea na waandishi wa habari na kuwaambia mahojiano yake na Takukuru yamefanyika vizuri.

Zaidi akasema ana taarifa kuwa wabunge wa Chadema wamejipanga ili kutoa taarifa za uwongo na kumnusuru Mbowe.

Lijualikali ameapa kuwa wabunge hao hawatafanikiwa katika njama walizopanga.

Source Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
Hao wabunge waliohamia hiv karibuni,wanapigwa chini wote,haiwezekani kuna vijana ccm kibao wapo na chama alafu wao wnahamia ndio wateuliwe,muda wao umeshapita.wakajiandae kufanya kazi nyingine tu
 
Mbunge wa Kilombero mh Lijualikali alikuwa ni miongoni mwa wabunge wa Chadema waliohojiwa na Takukuru kuhusiana na matumizi ya fedha za chama.

Baada ya kuhojiwa mh Lijualikali aliongea na waandishi wa habari na kuwaambia mahojiano yake na Takukuru yamefanyika vizuri.

Zaidi akasema ana taarifa kuwa wabunge wa Chadema wamejipanga ili kutoa taarifa za uwongo na kumnusuru Mbowe.

Lijualikali ameapa kuwa wabunge hao hawatafanikiwa katika njama walizopanga.

Source Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
Hao wabunge waliohamia hiv karibuni,wanapigwa chini wote,haiwezekani kuna vijana ccm kibao wapo na chama alafu wao wnahamia ndio wateuliwe,muda wao umeshapita.wakajiandae kufanya kazi nyingine tu
 
Usiamini kila unachosikia!. Hivi uliamini nimeshauri Twitter na jf zifungwe?!.
Sikiliza nilichosema.

P


Paskali bana, umekimbilia kumjibu huyu jamaa, lakini kule kwenye uzi mama wa wewe kutaka twitter ifungwe ulikuwa unakwepa. Hukusema jf ifungwe, ila ulishauri twitter ifungwe kisa maoni ya huko hayakufurahishi, lakini hakuna popote unataka hao wanaokejeliwa huko wachukuliwe hatua kwa ulevi wao wa madaraka! Kama umeamua kufumbia macho uovu, acha wengine wauanike, huna uhalali wa kuelekeza platform yoyote ifungwe ili wanaogawa vyeo wakutoe kimaisha. Sijui unakwama wapi bro.
 
Kuna wakati mutu anavaa hirizi weeee kwa siri kwa muda mrefu kiunoni ila mwisho hirizi inatoboa kiuno I naanza kutokea mdomoni hyu Jamaa hirizi sasa imeanza kutokea mdomoni...Lijukali anaanza kuonyesha rangi yake sasa
 
Tena takukuru ili wasipotezee muda watu, wawaite wote wenye hasira na cdm kisha wateme hizo nyongo zao. Kisha takukuru wakajazie tuhuma ambazo zinatakiwa na serikali, ili lengo la kuihujumu cdm litimie. Lakini eti Takukuru kujifanya wanafanya uchunguzi ni utani wa mchana kweupe. Kwanini kwenye mali za ccm hawakupelekwa hao Takukuru, kama kweli sio kuwa hiyo taasisi inatumikia siasa chafu?
 
Usiamini kila unachosikia!. Hivi uliamini nimeshauri Twitter na jf zifungwe?!.
Sikiliza nilichosema.

P


P,

Ukweli huwezi kuchagua habari kwenye enzi hizi. Mitandao ni kama vijiwe hivyo ni mtu binafsi kuchagua mtandao gani wakuingia. Kwa nchi changa kama yetu ni bora uwaache watu ujue wanavyofikiria badala ya kuwa wanafiki. Tukisema tuanze funga funga tufatunga kila kitu. Badala ya kufikiria mabaya tunatakiwa tufikirie mazuri ya mitandao.
 
We jamaa unachekesha sana! yaani mtu aibe hela za umma halafu asisemwe eti kisa wewe utakua disappointed!! hell no!! lazima Takukuru wafanye kazi yao kwa uhuru na DJ awajibishwe.

Hapana. Si wote wanahojiwa? Tatizo ni la namna njema ya kufikiri na kusema la huyo mwenzenu (Juakali)...

Anadai anataka kila anayehojiwa, aseme kama yeye asemavyo. Kinyume chake watakuwa wanadanganya....

I see.... What a stupid argument is this from mbunge who calls himself msomi...??

Kama ni hivyo kuwa mnakubaliana mambo ndivyo yalivyo, mnaenda "mahakamani" kufanya nini sasa?

This man is so desperate. Hawezi kuhimili mambo. Ana hasira na chuki zisizo na kipimo. Just see the way he talks.....

Unaona shida ilipo? Nani anayeamua huyu anadanganya na huyu siyo?

JIBU NI HILI RAHISI:

Ni nyaraka halali kisheria za kifedha za MAPATO na MATUMIZI za taasisi na kwa upande mwingine ni huyo "hakimu " anayeamua mgogoro/ugomvi huu....

Mwamuzi hawezi kuwa Juakali. Tusubiri dakika 90 za mchezo ziishe tupate matokeo
 
Mbunge wa Kilombero mh Lijualikali alikuwa ni miongoni mwa wabunge wa Chadema waliohojiwa na Takukuru kuhusiana na matumizi ya fedha za chama.

Baada ya kuhojiwa mh Lijualikali aliongea na waandishi wa habari na kuwaambia mahojiano yake na Takukuru yamefanyika vizuri.

Zaidi akasema ana taarifa kuwa wabunge wa Chadema wamejipanga ili kutoa taarifa za uwongo na kumnusuru Mbowe.

Lijualikali ameapa kuwa wabunge hao hawatafanikiwa katika njama walizopanga.

Source Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
Lijualikali awe na subira japo kidogo.
Machozi ya kukamua yanafaaga kwenye vikao vya mipasho tu, kama bunge la Ndugai.
 
usiweke miba kwenye njia ambayo hujui kama utapita teba ama abadani hutapita. Lijuakali nafikiri kinywa chako kinapaswa kua na nidhamu hao wanakutuma na kukupa kiburi kusema lolote dhidi ya mbowe ujue kuna mda na nyakati usizo zijua utakosa hio back up.
Mimi sio mwanasiasa wala siafiki sio muumini wa fitina. Mbowe alianza kusakamwa tangu ile list ya wauza unga ilitajwa na Makonda na haya yanayotokea leo na mwendelezo wa uonevu dhidi ya mbowe ili tuu aachane na kuitelekeza CHADEMA
 
Dr Slaa, Zito, Kitila hawa wote walikua vigogo ndani ya chadema lakini wameondoka bila kulalamikia ufujaji pesa pale cdm,......

Hawa vijana walioondoka awamu hii ya Magufuli sijui wamejifunza wapi kutukana waliowatoa jalalani.

Lijualikali simfahamu, lakn Silinde ameni-disappoint sana jamani, nilikua namwona kama very matured!
Wamewatukana vipi?
 
Mbunge wa Kilombero mh Lijualikali alikuwa ni miongoni mwa wabunge wa Chadema waliohojiwa na Takukuru kuhusiana na matumizi ya fedha za chama.

Baada ya kuhojiwa mh Lijualikali aliongea na waandishi wa habari na kuwaambia mahojiano yake na Takukuru yamefanyika vizuri.

Zaidi akasema ana taarifa kuwa wabunge wa Chadema wamejipanga ili kutoa taarifa za uwongo na kumnusuru Mbowe.

Lijualikali ameapa kuwa wabunge hao hawatafanikiwa katika njama walizopanga.

Source Eatv habari

Maendeleo hayana vyama!
Anazidi kudhihirisha ushamba na ulimbukeni wake
 
Huyu mbunge Anangalia Tumbo lake
Ccm wamrudishe kilombero

Ova
 
Anataka kutumia ulevi kusevu kesi

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Niko pande fulani chalinze nataka niji boost
Kwa mangi

Ova
20200611_201609.jpg
 
Hujui tu. Tulisoma sana tuhuma wizi zikiwekwa hapa na I'd ya mkulima maskini ambapo baadae ilibainika alikuwa Samson mwigamba aliyekuwa mkurugenzi wa mipango na fedha wa chadema akiwa na mtandao wa m1,m2 na m3 .hapo ni zito, kitila na mwigamba

Kwa upande wa slaa yeye aliondoka akidai lowasa ameuziwa nafasi ya kugombea

Nyie vijana wa leo hamjui wizi wa ndani ya chadema ulivyokuwa na history ndefu

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Ila CAG eti hajui kuna wizi..... lakini USSR usie hta na diploma ya accounting unafaham kuna ufisadi CHADEMA ?

Hii nchi inafurahisha sana
 
Paskali bana, umekimbilia kumjibu huyu jamaa, lakini kule kwenye uzi mama wa wewe kutaka twitter ifungwe ulikuwa unakwepa. Hukusema jf ifungwe, ila ulishauri twitter ifungwe kisa maoni ya huko hayakufurahishi, lakini hakuna popote unataka hao wanaokejeliwa huko wachukuliwe hatua kwa ulevi wao wa madaraka! Kama umeamua kufumbia macho uovu, acha wengine wauanike, huna uhalali wa kuelekeza platform yoyote ifungwe ili wanaogawa vyeo wakutoe kimaisha. Sijui unakwama wapi bro.
Duh...!, yaani Mkuu Tindo, hata wewe?!. Nimesema sijasema popote Twitter ifungwe na nimekuwea clip ya nilichosema lakini bado unaamini nilisema Twitter ifungwe !.

P
 
usiweke miba kwenye njia ambayo hujui kama utapita teba ama abadani hutapita. Lijuakali nafikiri kinywa chako kinapaswa kua na nidhamu hao wanakutuma na kukupa kiburi kusema lolote dhidi ya mbowe ujue kuna mda na nyakati usizo zijua utakosa hio back up.
Mimi sio mwanasiasa wala siafiki sio muumini wa fitina. Mbowe alianza kusakamwa tangu ile list ya wauza unga ilitajwa na Makonda na haya yanayotokea leo na mwendelezo wa uonevu dhidi ya mbowe ili tuu aachane na kuitelekeza CHADEMA
Wachawi ni wale wale
Waliyobomoa Bilicanas, wakaharibu mashamba ya HAI, wakajaribu bila mafanikio kumhusisha na madawa ya kulevya.
Wakarudi kivingine
ETI mwokozi maisha ya Tundu Lissu ndie atuhumiwe shambulizi lake; uchunguzi wa Polisi haupo, si ruhusa waTz kumuombea Lissu wala hastahili kulipiwa matibabu, kidogo kavuliwa ubunge lakini wazushi wao wazawadiwa u waziri.
Sasa wamerudi tena
Porojo za akina Lijualikali, Ndugai, Suzana,Sabrina; uchunguzi wa TAKUKURU, shambulio la mwili likichombezwa na vijembe vya haohao; SIO za bahati mbaya ni vya kupangwa na wa chama kilichoishiwa mvuto sasa chategemea dola ili kupumua.

Kwa muda mrefu sana
wamehangaika sana kuua upinzani na hasa CHADEMA.
Wamejaribu kuwamaliza Tundu Lissu, Freeman Mbowe, Msigwa ili kufikia malengo hayohayo.

Pamoja na kutamba sana wameshindwa na HAWATAKUJA FANIKIWA.
CHADEMA iko imara, We shall overcome. Amen
 
Duh.

Uliongea kwa hisia sana.
Kwa namna ulivyowasilisha kauli yako na namna ulivyohukumiwa kuna haja ya kuombwa msamaha.
 
Back
Top Bottom