Mbunge Luhaga Mpina Alia na Uhaba wa Dola

Mbunge Luhaga Mpina Alia na Uhaba wa Dola

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Serikali ilete majibu ya pesa Tilioni 280 zimeibwa na nani?

My Take
Tukiwa na wabunge wadadisi kama Mpina Nchi itanyooka tuu.

---

MBUNGE LUHAGA MPINA ALIA NA UHABA WA DOLA

"Sekta ya fedha hapa nchini na kwa ukanda wa SADC tunategemea dola, dola hakuna na zimeadimika. Wafanyabiashara hawapati dola na hawawezi kuagiza mizigo,katika hili tujiulize tunafanyaje?" - Mhe. Luhaga Mpina, Mbunge wa Jimbo la Kisesa

"Maelezo yanayotolewa na serikali ni kwamba uwekezaji umeongezeka mara dufu, watalii nao wameongeza maradufu. Dola zimeenda wapi kama uwekezaji umeongezeka, watalii wameongezeka na mauzo ya nje yameongezeka. Serikali itatue changamoto ya kuadimika kwa dola" - Mhe. Luhaga Mpina, Mbunge wa Jimbo la Kisesa
 

MBUNGE LUHAGA MPINA ALIA NA UHABA WA DOLA

"Sekta ya fedha hapa nchini na kwa ukanda wa SADC tunategemea dola, dola hakuna na zimeadimika. Wafanyabiashara hawapati dola na hawawezi kuagiza mizigo,katika hili tujiulize tunafanyaje?" - Mhe. Luhaga Mpina, Mbunge wa Jimbo la Kisesa

"Maelezo yanayotolewa na serikali ni kwamba uwekezaji umeongezeka mara dufu, watalii nao wameongeza maradufu. Dola zimeenda wapi kama uwekezaji umeongezeka, watalii wameongezeka na mauzo ya nje yameongezeka. Serikali itatue changamoto ya kuadimika kwa dola" - Mhe. Luhaga Mpina, Mbunge wa Jimbo la Kisesa
 

Attachments

  • y2mate.com - MPINA AHOJI KUPOTEA KWA DOLA AWATAJA MSTAAFU KIKWETE NA DKT TAX KWENYE MKATABA TU...mp4
    44.7 MB
Namuunga mkono Mh Luhaga

Mnatutangazia kila siku watalii wameongezeka

Wawekezaji vile vile na uchumi umepaa sasa Dola kwanini haionekani?

Kuhusu watalii nikapata jibu kwamba mtalii anaweza akashukia KIA akaenda Serengeti akarekodiwa kama mtalii akitoka akaja Zanzibar anarekodiwa pia kwahiyo badala ya namba kuwa mtalii 1 wanakuwa 2 nilicheka sana
 
Serikali ilete majibu ya pesa Tilioni 280 zimeibwa na nani?

View: https://youtu.be/DLsYYj3JCZw?si=vEdt8FfDguPcKk1t

My Take
Tukiwa na wabunge wadadisi kama Mpina Nchi itanyooka tuu.

Ujinga mwingine bana, mtu ambaye akili yake ni ya kiwango cha kutembea na rula mfukoni ili kupima urefu wa samaki Wa kitoweo Kwa mama ntilie, leo anapata wapi akili ya kuhoji ilipo trilioni 280?

Bajeti tu ya nchi kwa mwaka hazidi trilioni 31 ikiwa supported na donors kwa 60%.

Kama nchi Ina hizo trilioni 280 kama reserve kunakuwaga na haja gani ya kutembeza bakuli Kwa wazungu kila mwaka?
 
Kama ulivyo wa hovyo mkataba wa bandari😁

Sema we sema Mpina usiogope mtu
Hakuna mkataba wa bandari aliosaini mama Samia wala serikali yake, kadanganye wajinga wenzio.

Mikataba mibovu ile iliyotukamatia ndege Holland na mengine kibao inangoja hukumu icsid. Hujaona waliyoifanya mikataba hiyo wakihenyeshwa icsid? Nikuwekee uwaone maprofesa uchwara?

Yuko wapi kabudi?
 
Hakuna mkataba wa bandari aliosaini mama Samia wala serikali yake, kadanganye wajinga wenzio.

Mikataba mibovu ile iliyotukamatia ndege Holland na mengine kibao inangoja hukumu icsid. Hujaona waliyoifanya mikataba hiyo wakihenyeshwa icsid? Nikuwekee uwaone maprofesa uchwara?

Yuko wapi kabudi?
Mmeanza kurukana eeh

Tunawasubiri mjichanganye Oktoba tukiwakishe
 
Back
Top Bottom